Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kwasababu hakuna muajiriwa tajiri ila waajiriwa wote ni maskini wenye hafadhali
Ajira ni sehem ya kutafutia mtaji wa kuanzisha biashara zako zingine na siyo kitu cha kukitegemea kwa asilimia [emoji817]
Chaguo ni lako mshahara ukitoka uendee bar ukaimbe beer tamu au ujichange kuanzisha mradi wako
Ajira ni sehem ya kutafutia mtaji wa kuanzisha biashara zako zingine na siyo kitu cha kukitegemea kwa asilimia [emoji817]
Chaguo ni lako mshahara ukitoka uendee bar ukaimbe beer tamu au ujichange kuanzisha mradi wako