Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
mzee, majority ni wahuni tu. sisi wengine tumesoma kwa effort zetu waalimu wamefanya kazii ndogo sana. nakumbuka kipindi fulani nipo form six, ticha mmoja wa history sijui nini, akawa anafundisha anananiki desa la nyirenda ambalo mimi nimeshalitafuna lote, shule moja huko KIlimanjaro. mimi nikawa siandiki wala nini. akaja kwa fujo ati ananivamia kwanini siandiki? nikamwambia mimi notes hizo zote ninazo na nimeshazisoma...alinichukia hadi namaliza. uzuri ni kwamba nilifaulu vizuri sana. kama wewe ni mwalimu, majoirty mpo hivyo.Usiwepende kufanya generalization haraka haraka
Tumia akili wakati mwingine sio emotions
Mwalimu wa ngazi ya degree anaanza na gross ya 720,000 to 730,000Upo sahihi, kwa mwalimu mwenye degree anaeanza ni 430,000. Sasa hiyo ukigawa kwa siku 30 exactly per day unaingiza 14,333/=
Sasa hicho ni kipato cha mtu wa kawaida sana ambaye ukimuona mtaani utamdharau mfano mchoma mahindi au bodaboda.
Kinacholeta mwalimu afeli maisha na mchoma mahindi atoboe ni life expenses.
Hapa mwalimu atataka apange nyumba ya laki kwa mwezi, kiwi kila siku, msosi nyama kwa sana. N.k
Lakin huyu dereva boda atapanga chumba cha 30 elfu na maisha ya kawaida ndo maana ataweza kutoboa maisha na kuongeza kipato.
Ushaur kwako mwalimu, jiongeze kwa huo mshahar wako, ile jion pika uji tembeza au supu kwa maeneo ya mjini ila kwa vijijn unaweza ukalima mazao mbalimbl ya muda mfupi na kwa malengo ya muda mrefu nenda Iringa huko panda miti ,patachichi, chai n.k baada ya miaka kadhaa we ni don.!
waalimu wangekuwa wanapata hivyo wangesumbua sana. hata hivyo, wenye degree ni wachache mno ukilinganishana wa primary school na sekondary kwa hao wenye diploma walioungaunga, na bado wakiwa shuleni wanatutesea watoto wetu.Mwalimu wa ngazi ya degree anaanza na gross ya 720,000 to 730,000
Nilizungumzia kipato kinachobaki mfukoni mwisho wa mwezi.!Mwalimu wa ngazi ya degree anaanza na gross ya 720,000 to 730,000
SawaNilizungumzia kipato kinachobaki mfukoni mwisho wa mwezi.!
Idiot, SI walimu wote NI wa kuume!!jiongeze .....kuwa sharp.....umaskini ni akili yako....kama unaweza kufundisha watoto wetu, na wakatusua...huwezi jiuliza wewe umekwama wapi....jiongeze kieleimu na fikiria kipato kingine nje ya mshahara.........ila mchezo wenu wa kutuharibia watoto...laana inawasonga.....mhame ccm...
Tatizo lenu walimu mnawaza bifu na wanafunzi tu ndiyo sababuMimi ni mwalimu hali yangu ya uchumi sio nzuri sana kulinganisha na watu w kada nyingine, tatizo lipo wapi maana hata walimu wenzangu hali zao sio nzuri, tunakosea wapi walimu
Kama div 4 ni kufeli basi ualimu ndio kada iliyochukua wanafunzi wenye kaunafuu kuliko kada zingine!ila hiyo haiondoi ukweli kwamba ualimu kwa africa ni kada ya watu waliofeli. ukifeli form four, unaenda chuo cha ualimu. ukifeli form six unaenda chuo cha ualimu. ile cream nzuri ndio inaendela mbele. kwani uongo? sasa mfano mtu amefeli kwenda kidato cha juu, na unampa afundishe english, ambayo hata yeye haijui? no wonder tumejifunza kiingereza tulipofika chuo kikuu.
acha kujifariji, chuo gani hicho? unaweza kwenda form six kwa division four point 26? tutajie shule ishughulikiwe mapema. tuje university, mwalimu gani wa degree ambaye hakuanza na diploma alipata division one point 3,4,5,6 au hata 8 tu. tutajie.Kama div 4 ni kufeli basi ualimu ndio kada iliyochukua wanafunzi wenye kaunafuu kuliko kada zingine!
Ngazi ya cheti, wakiume walikuwa wanachukuliwa mwisho IV.27 na wakike mwisho point 28 wakati kada zingine walichukuliwa mpaka wenye 29(wakiume ) huko huko kwenye vyuo vya serikali..
Au ulikuwa mdogo sana wakati huo hata usiyajue hayo?
hatujui kitu wakati tumespend time na ninyi waalimu for 13 good years? kweli?Wengine hamjui kitu kuhusu kada ya ualimu.
Huh, umespendi ukiwa mnafanyaje?hatujui kitu wakati tumespend time na ninyi waalimu for 13 good years? kweli?
tumefundishwa na waalimu miaka saba tukiwa primary, miaka minne tukiwa sekondari, na miaka minne tukiwa advanced. piga hesabu hiyo, 7+4+2= ngapi? au wewe ulikuwa unafikiria nini mzee kwenye akili yako. manake kimtokacho mtu ndicho kilichoujaa moyo wake.Huh, umespendi ukiwa mnafanyaje?
Hilo linatosha kuwajua walimu?tumefundishwa na waalimu miaka saba tukiwa primary, miaka minne tukiwa sekondari, na miaka minne tukiwa advanced. piga hesabu hiyo, 7+4+2= ngapi? au wewe ulikuwa unafikiria nini mzee kwenye akili yako. manake kimtokacho mtu ndicho kilichoujaa moyo wake.
miaka 13 unafundishwa na waalimu, wengine ni ndugu na majirani halafu usiwajue? wewe umezijua kada zingine au unazisikia tu?Hilo linatosha kuwajua walimu?
Hivi umeelewa kweli nilichokiandika?acha kujifariji, chuo gani hicho? unaweza kwenda form six kwa division four point 26? tutajie shule ishughulikiwe mapema. tuje university, mwalimu gani wa degree ambaye hakuanza na diploma alipata division one point 3,4,5,6 au hata 8 tu. tutajie.
Yes mwalimu wa Primary aliyetumikia zaidi ya miaka 20 aki-tetire mafao yake si chini ya 150 M.Utapata utajiri ukistaafu
Hapana hauko sahihi..Upo sahihi, kwa mwalimu mwenye degree anaeanza ni 430,000. Sasa hiyo ukigawa kwa siku 30 exactly per day unaingiza 14,333/=