Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya Darasa la Saba?

Sawa mkuu
 
Okay...
 
Inabidi kuwa na juhudi za makusudi kupitia mitaala ya elimu yetu. Kuna masomo unaona ya na Faida lakini kinachofundishwa huko hujui utakitumia vipi kwa mazingira ya kwetu. Somo Kama la historia lingejikita zaidi kwenye mazingira ya TZ halafu mengine ni Ziada. Shida inakuja kwenye vitabu vya ziada na kiada ...! Watz hatuandiki historia zetu ili katika vitabu ili vitumike kama Rejea mashuleni.
 
Umenena vema mkuu...
 

Elimu ya sayansi kwa tanzania labda mwisho wa dunia kwa nini !!
Ugumu wa maisha na mjomba siasa kashikilia vyote kuliko hata elimu ya veta kuonekana hina vipaji.

Jeshini kumebaki na wavunja matofali na kubeba kilo hata yule wa tandale anayebeba magunia matatu kamzini.kwa nini ?
Jeshini ndio sehemu za uvumbuzi ukianzia silahaa (Ak47),nyuklia,madawa,magonjwa,kilimo,teknolojia zote.lakini ni afrika tu

Maprofiseli wapo bize na vibinti sio sayansi hata newton kafa bila demu.

Kuna watu wapinga sayansi wamejazana lakini wakiumwa wapo kuomba msaada hapo hapo.

Bajeti za elimu hizi kama ni barakoa bora ziende kusipo na msaada.
 
Shida inakuja kwenye vitabu vya ziada na kiada ...! Watz hatuandiki historia zetu ili katika vitabu ili vitumike kama Rejea mashuleni.
Hili nalo ni tatizo kwa kweli mkuu
 
Mambo huwa yanabadikika
Wanafunzi wasomo masomo yote kwani yote ni muhimu.
Advanced level ndipo watakapochagua nini wanataka kusoma.
 
Jeshini kumebaki na wavunja matofali na kubeba kilo hata yule wa tandale anayebeba magunia matatu kamzini.kwa nini ?
Jeshini ndio sehemu za uvumbuzi ukianzia silahaa (Ak47),nyuklia,madawa,magonjwa,kilimo,teknolojia zote.lakini ni afrika tu
Okay...
 
Maprofiseli wapo bize na vibinti sio sayansi hata newton kafa bila demu.

Kuna watu wapinga sayansi wamejazana lakini wakiumwa wapo kuomba msaada hapo hapo.

Bajeti za elimu hizi kama ni barakoa bora ziende kusipo na msaada.
Umeandika kisela sana mkuu lakini ujumbe mzuri umenifikia
 
Kabisaa.. but english language itabidi iwe compulsory.
NB: Suala la lugha ya kufundishia kati ya Kiingereza na Kiswahili kwa shule za msingi na secondary sio lengo la mada hii ninaomba tusilizungumzie kwa sasa.
 
Hujawahi kusikia mwanafunzi kufaulu vizuri mtihani wa darasa la saba lakini akiingia form one anagundulika hajui hata kuandika jina lake? Hapo ndipo penye shida.
 
Hujawahi kusikia mwanafunzi kufaulu vizuri mtihani wa darasa la saba lakini akiingia form one anagundulika hajui hata kuandika jina lake? Hapo ndipo penye shida.
Kama mitihani ya darasa la saba haiaminiki, sasa kwanini tuendelee kuamini ubora wa mitihani ya kidato cha pili na cha nne?
 
Kwani la saba miaka hii kuna mtihani au uhuni?
Walimu wanawapa wanafunzi majibu yote, hesabu ni multiple choice.
Nilibahatika kwenda shule ya vipaji 2006/2007. Kule niliwakuta waliopata mpaka 100/100 kwa baadhi ya masomo. Mimi nilipata A 4 na B 1 sikuwa na marks kubwa sana sema tu nilichaguliwa kwakuwa shule ilikuwa kijijini Sana yaani porini na ni changa wakanibeba. Wale niliowakuta na A flat na wengine kupiga 100% kwa masomo 2 au 3 niliwaburuza.
Kigezo Cha matokeo ya la 7 hakina mashiko miaka hii . Kuna vijana walikuja form one na A flat but form four wakatoka na four.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…