Kwanini wanaompokea Rais Samia huko Manyara wametokea Dar es Salaam?

Duuh kikosi kazi
Anayelalama yupo songwe sisi watu wa manyara hatujasema kitu!
 
Umesoma vyema ulichoandika?
 
Kwamba ili kusaidiwa nchi hii ni mpaka uonane na Rais ?
Acha uongo wewe, basi kusingekuwepo na watendaji wengine. Muongo sana wewe Ajuza.
 
Acha uongo wewe, basi kusingekuwepo na watendaji wengine. Muongo sana wewe Ajuza.
Kwani ulikatazwa kuwaona watendaji wengine? Sasa uongo uko wapi hapo?

Mimi siyo wale ambao amri zao kumi hakuna inayosema "usiseme uongo".
 
Mama amezungukwa na Machawa sijui kama anajua hali halisi ya Maisha ya dhiki wanayopitia Watanzania
"Maisha ya dhiki wanayopitia waTanzania"?

Umeziangalia vizuri hizo picha mkuu 'imhotep', na kuona mtu mweye kuonyesha maisha ya dhiki katika hao wote walioonyeshwa kwenye picha?

Huu ndio "uwekezaji" anaouhimiza mama kila mahali. Yeye mwenyewe yupo mstari wa mbele kutekeleza "maono" yake ya uongozi.

Kuna mahela chungu nzima, mama hajui ayatumie vipi. Hao unaowasema kuwa na "dhiki" tatizo lao ni kutojua tu jinsi ya kumfanya mama ayatumie kwao.

Waeleze hao "waTanzania" wako jinsi wanavyoweza kunufaika. Kama nawe hujui, waulize hao wanaonufaika sasa waliweza vipi kuwa kitega uchumi kwa mama.
 
Usichokijua Huo Ni Mchanganyiko Wa Chawa Na Kunguni Sasa Hapo Wanatafuta Connection Kama Ujuavyo Nchi Imefunguka
Tukizima Mwenge Ziara Singida Mpaka Tabora
Kote Huko Utaona Chawa Na Kunguni Wengi Sana Sana
 
Sasa wewe ulitaka apokelewe na akina Dr. Slaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…