Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Maandishi yako yanaakisi kilicho kifuani kwako unapomuona Muislam
 
Upo sahihi hata mimi nimeliona hili mademu wakislamu ni Wasafi sana
 
Sasa anajua kuwa dudu ni lake peke ake alaf mwisho wa siku unamnyanganya unalipeleka kwingne yeye unamtosa wakat kaisha wekeza kwako kihisia na kimalengo
Siku zote ninawashauri mabinti wenye mtazamo kama wako.
Unapoanza uhusiano na mtu usisite kutaka kujua hatima yenu ktk huo uhusiano..
Kuwa ni urafiki tu au mtaoana..
Wengi wenu huwa hamhoji mnajuaga kwa vile mmevuana nguo ndio tayari ni agano la kuoana.
Kuna mtu ni mzuri kwa urafiki pekeee..
Lakini kuna mtu anafaa kuwa baba wa familia haya uyaelewe.
 

Sema umekubali kuslimu kiroboto wewe [emoji851]ila ni udhaifu sana kufuata dini ya Mwanamke
 
Sema umekubali kuslimu kiroboto wewe [emoji851]ila ni udhaifu sana kufuata dini ya Mwanamke
Sijabadili na wala sinampango wakubadili na wala sitabadili ila nilichoongea ni reality nilichokiona kwenye mahusiano yangu na ndio maana nikaja na hili swali kama unaona nimekukwaza nisamehe ila akibadili kile nilichoongea ifike kipindi tuongee kwa njia yakujenga vitu ninavyofanyiwa na mademu wa kislamu natamani nivione kwa mademu wa kikristo
 
Na wanao ongoza kuomba ruhusa ya kwenda ngomani kila weekend ni hao hao pia. Unajuwa wanafuataga nini huko ngomani? Kijana ukikua utajua walimwengu walivyo.
 
Uislamu unafundisha UTU,HURUMA AMANI na mengineyo,lakini pia unafundisha kutafuta rizki baada ya ibada na katika hili unafundisha kuwa hutapata zaidi ya rizki yako isiyo ya kulazimisha na inafundisha kuwa kuna kukosa na hivyo kuna kuvumilia.
Angalia hata Taifa likiongozwa na Muislamu huwa kuna great sense of humanity(utu)kuliko imani nyingine,lakini pia Upwani una ubinadamu sana kwakuwa PWANI zote za Afrika mashariki zimesheni uislamu na hata lafudhi za huko siyo za kikax kama kule KANDA MAALUMU au eneo lote la kanda ya TITI na maeneo ya bara ambayo ni ya mbali na pwani.Huko hata kuua ni kawaida tu,hata Muziki wa Pwani au Mwambao ni Laini wenye kuhakisi mapenzi na mahaba zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…