Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Habari wanajf wenzangu

Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu.

Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate nao wanawake ambao nimefurahia mahusiano nao ni wanawake wa5 tu na katika hao 4 ni wakislamu na 1 ndio mkristo mwenzangu.

Vitu nilivyogundua kwa wanawake wengi wakislamu angalau unakuta wanaheshima Sana, wavumilivu especially ukiwa umefuria kwa kipindi fulani na kitu zaidi na kwangu ni kikubwa hawa watu wanamahaba Sana.

Mfano mzuri huyu mwanamke niliyonae sasa hivi ni mwislamu, ndugu ndugu ninapata mahaba ambayo sijawahi kupata kwa mademu wakikristo.

Nikifika home kwenye mishe zangu navuliwa shati, nafuliwa nguo na kupigiwa pasi,nalishwa, sipangiwi kupiga papuchi napiga ninavyotaka mimi na kingine zaidi ambacho hiki kidogo sijakikuta hata kwa mademu wa kislamu wenyewe ni kufanyiwa massage yaani ni hatari.

Shida ya wanawake wakikristo wanakwama wapi kwanini wengi wao hawana mahaba kama hawa kislamu.

Wataalamu naomba mtusaidie.
Demi
Sky Eclat
DeepPond
binti kiziwi
joseph1989
to yeye
rikiboy
Dr Dre
singojr
Statistics
Usher-smith MD
Mshana Jr
Liverpool VPN
Yna2
I LOVE GIRLS
Kunguru wa Manzese
Si useme tu kwamba una mwanamke wa kitanga
 
Umeshasema Mbeya tayari kwa hiyo jibu unalo, sijawahi kuona mkoa wenye mazezeta kama huo. Kibaka akipatwa na nyege ghafla anafungua kanisa na mazezeta kibao wanajazana kwenda kuchezewa akili na mwisho wa siku wanazalishwa na huyo Kibaka ajiitaye Mchungaji. Mbeya ni mkoa uliolaniwa, wachawi wao, mazezeta wa dini ni wao.....yaani basi tu.
Saint Anne
 
Ukiwa unaoa usisite kunialika tafadhali
Wee utasubiri mpaka mwisho wa dunia🤣🤣🤣🤣
Labda useme nikualike siku nikiwa nagegeda...hiyo ndani ya wiki hii tuu utakuwa ulipata mwaliko🤣🤣🤣🤣
 
Wee utasubiri mpaka mwisho wa dunia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda useme nikualike siku nikiwa nagegeda...hiyo ndani ya wiki hii tuu utakuwa ulipata mwaliko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa bwana nilijua tu[emoji23][emoji23]
 
Wee utasubiri mpaka mwisho wa dunia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda useme nikualike siku nikiwa nagegeda...hiyo ndani ya wiki hii tuu utakuwa ulipata mwaliko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akili yako,,,,yakutosha mwenyewe
 
Haya tuchukue mfano wa mtu aliyezaliwa na kukulia kwenye uislam kisha akaolewa na mkristo na kubadilisha dini. Hapo tabia yake nayo itabadilika?

Kuhusanisha tabia za watu na dini ni sawa na kuchanganya mlenda na pilau. Havihusiani kabisa ni wewe tu na mentality yako ya kijima
Mafunzo wanayopata inawafanya wawe vile lakini sisi upande wa dini yetu hatuna hiki kitu
 
Wanawake wa Kiislamu hata wakiwa vyuoni huko Huwa wanafundishwa Mambo ya Kutunza Waume zao, hasa ukute Familia yao wengi wao ni Waislam, kitu kinachokosekana kwa Hawa Wa Kikristu maana Kwao ni kama Dhambi kuzungumza mambo ya Ndani.

Ila Mzee Kumbuka Pia Kwenye kutunza Mume Waganga wanahusika Sana. Wanawake hao pia Kwa Waganga hawaishi
 
Back
Top Bottom