Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Unaongelea madhaifu ya wanawake wa kikristo alafu hapo hapo unasema ume date na mmoja tu, ss hapo nguvu ya kukosoa unaitoa wapi?

Ok, kwa experience yng naona wanawake wengi wa ss hawana utofauti mkubwa japokuwa kwa ninavyoona mm wanawake wengi wa kiislamu huwa ni waongo, wasio na mapenzi ya dhati na wabinafsi. Hii yote ni kutokana na ukweli kwamba wengi wao wanatokea familia duni hivyo kulazimika kutokuwa na upendo.

Njaa ni mbaya sn, na hii ndiyo inayosabanisha waafrica wengi kutokuwa na mapenzi ya dhati.
Nazani ujasoma vizuri uzi wangu sijasema nimedate na mwanamke wa kikristo mmoja
 
Unaongelea madhaifu ya wanawake wa kikristo alafu hapo hapo unasema ume date na mmoja tu, ss hapo nguvu ya kukosoa unaitoa wapi?

Ok, kwa experience yng naona wanawake wengi wa ss hawana utofauti mkubwa japokuwa kwa ninavyoona mm wanawake wengi wa kiislamu huwa ni waongo, wasio na mapenzi ya dhati na wabinafsi. Hii yote ni kutokana na ukweli kwamba wengi wao wanatokea familia duni hivyo kulazimika kutokuwa na upendo.

Njaa ni mbaya sn, na hii ndiyo inayosabanisha waafrica wengi kutokuwa na mapenzi ya dhati.
So true...Na wengi wao ni wavivu na wacheza ngoma tu.
 
Angalia hata level ya mahusiano ya kimapenzi huko kwenye ndoa umeenda mbali wamewaacha Sana wanawake wakikristo kwanza wengi wao sio wapigaji wa vizinga
Hawakupigi vizinga labda kwa sababu hivyo vizinga venyewe huna.

Ila nawajua sana wadada wa kiislam, wana upendo yes, na unafiki pia wanao sana tu so anaweza ku fake so much kwenye mapenzi vilevile ..

Besides, point iko pale pale , ni tabia ya mtu.Be it Mkristo au muislam.Tena wakristo wengi wavumilivu and wanasemehe..Muislamu akikochoka anaomba talaka hapo hapo.
 
awakupigi vizinga labda kwa sababu hivyo vizinga venyewe huna.
Ili upigwe vizinga unatakiwa uwe na kipato gani? Ngoja nikupe elimu dada yangu ukiwa na tabia ya kupiga vizinga Sana hajalishi una date na mwenye kipato kiasi gani na ndio maana wanapiga vizinga kutokana na kipato ulichonacho narudia mademu wa kislamu Wana staha Sana na wamefundwa na kufundika wengi wao ndio maana hawapigi vizinga vya kipumbavu kama wakikristo ukishamuhudumia vizuri haitaji kukupiga vizinga labda tu itokee anashida sensitive lakini mademu wakikristo utawauhudumia na vizinga watakupiga kama kawa
 
Ili upigwe vizinga unatakiwa uwe na kipato gani? Ngoja nikupe elimu dada yangu ukiwa na tabia ya kupiga vizinga Sana hajalishi una date na mwenye kipato kiasi gani na ndio maana wanapiga vizinga kutokana na kipato ulichonacho narudia mademu wa kislamu Wana staha Sana na wamefundwa na kufundika wengi wao ndio maana hawapigi vizinga vya kipumbavu kama wakikristo ukishamuhudumia vizuri haitaji kukupiga vizinga labda tu itokee anashida sensitive lakini mademu wakikristo utawauhudumia na vizinga watakupiga kama kawa
Sawa, hongera kwa kuwajua mademu wote wa kiislamu na kikristo.
 
Sifahamu ni ufahamu mdogo ama ni mtu wa dini nyingine kujifanya wa dini nyingine kwa maslahi ya dini yake sahihi ama ni ulumbukeni tu,
Mahusiano ya uasherati wenu yana uhusiano gani na dini?
Maana katika hizo dini hakuna inayofundisha malezi mabovu ama uasherati,
Malezi yenu mabovu ya mnakotokea ndiyo yanayopelekea mauhuni yenu na sio dini.
 
Hawakupigi vizinga labda kwa sababu hivyo vizinga venyewe huna.

Ila nawajua sana wadada wa kiislam, wana upendo yes, na unafiki pia wanao sana tu so anaweza ku fake so much kwenye mapenzi vilevile ..

Besides, point iko pale pale , ni tabia ya mtu.Be it Mkristo au muislam.Tena wakristo wengi wavumilivu and wanasemehe..Muislamu akikochoka anaomba talaka hapo hapo.
Wakislamu Wana vitu kama viwili hivi sensitive Sana kwenye mahusiano yoyote ambavyo sisi Wanaume tunapenda ndio wamezidi nyinyi

1. Mahaba kwenye Hili eneo mmepigwa gape kubwa Sana wao kwenye mahaba wameenda extra mile ambavyo nyinyi hamfanyi na wala usiwe mbishi kwenye Hili
Tunavuliwa hadi nguo tukishatoka kwenye mishe zetu na hapa sio kwenye kufanya sex nyinyi mnaweza? Tunaogeshwa nyinyi mnafanya? Tunalishwa nyinyi mnafanya? Tunafuliwa nguo zetu na si kwamba tunaomba tufanyiwe hivyo ni wao wenyewe ndio wanaamua Tena kwenye level ya mahusiano ya kimapenzi tu n.k

2.Wavumilivu Hili mmezidiwa hasa kwenye eneo moja tu mwanamke wakislamu anaweza kumvulia mwanaume hata anapokuwa amefulia au uchumi kuyumba kwenye kipindi fulani na pia wanawake wakislamu anaweza hata kuolewa na mwanaume mwenye kipato kidogo ikiwa wanapendana ili nimeona mitaa Mingi Sana unakuta demu ni mkali kweli kweli lakini kaolewa na mtu tu ambaye anauza juice za miwa kwa budget mdogo.
DeepPond una Maoni gani kuhusu hili
 
Wakislamu Wana vitu kama viwili hivi sensitive Sana kwenye mahusiano yoyote ambavyo sisi Wanaume tunapenda ndio wamezidi nyinyi

1. Mahaba kwenye Hili eneo mmepigwa gape kubwa Sana wao kwenye mahaba wameenda extra mile ambavyo nyinyi hamfanyi na wala usiwe mbishi kwenye Hili
Tunavuliwa hadi nguo tukishatoka kwenye mishe zetu na hapa sio kwenye kufanya sex nyinyi mnaweza? Tunaogeshwa nyinyi mnafanya? Tunalishwa nyinyi mnafanya? Tunafuliwa nguo zetu na si kwamba tunaomba tufanyiwe hivyo ni wao wenyewe ndio wanaamua Tena kwenye level ya mahusiano ya kimapenzi tu n.k

2.Wavumilivu Hili mmezidiwa hasa kwenye eneo moja tu mwanamke wakislamu anaweza kumvulia mwanaume hata anapokuwa amefulia au uchumi kuyumba kwenye kipindi fulani na pia wanawake wakislamu anaweza hata kuolewa na mwanaume mwenye kipato kidogo ikiwa wanapendana ili nimeona mitaa Mingi Sana unakuta demu ni mkali kweli kweli lakini kaolewa na mtu tu ambaye anauza juice za miwa kwa budget mdogo.
Mbona hayo yote nafanya na zaidi [emoji23][emoji23][emoji23] na siyo muislamu.

Acha kukariri wewe.
 
Habari wanajf wenzangu

Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu.

Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate nao wanawake ambao
Huo Utafiti wako hujakidhi vigezo wanawake wanane tu umehitimisha Utafiti,hata hivyo jitahidi kuacha uzinzi kama unataka mahaba ya kweli funga ndoa.
 
Naona wagalatia mmepaniki ndo hivyo mtake msitake cheupe lazima kiwe cheupe na cheusi lazima kiwe cheusi😬
Bahati nzuri niliyeleta uzi ni mkristo angekuwa ni mslamu wangesema anajipakulia manyama so hakuna haja ya kubishana badala yake tubishane kwa hoja na Huu uzi uwe sehemu ya watu kujifunza na kuongeza ujuzi ili tujenge mahusiano ya kimapenzi imara ambayo yatasaidia kujenga ndoa imara.Wewe ni mslamu ebu tujibuni nini kinawafanya muwe na mahaba na wanyenyekevu kwa mwanaume?
 
Mbona hayo yote nafanya na zaidi [emoji23][emoji23][emoji23] na siyo muislamu.

Acha kukariri wewe.
Ukiambiwa Tanzania ni nchi maskini haimanishi hakuna matajiri bali wanachozungumzia percentage kubwa hapo so nilichozungumzia kwa kuangalia kiasi kikubwa wapo hivyo kwa zingatia kigezo Cha kwanza kupitia mahusiano yangu na wengine ambao wanaweza wakawa marafiki wenzangu au kwenye mijadala ya kiume
 
Wakislamu Wana vitu kama viwili hivi sensitive Sana kwenye mahusiano yoyote ambavyo sisi Wanaume tunapenda ndio wamezidi nyinyi

1. Mahaba kwenye Hili eneo mmepigwa gape kubwa Sana wao kwenye mahaba wameenda extra mile ambavyo nyinyi hamfanyi na wala usiwe mbishi kwenye Hili
Tunavuliwa hadi nguo tukishatoka kwenye mishe zetu na hapa sio kwenye kufanya sex nyinyi mnaweza? Tunaogeshwa nyinyi mnafanya? Tunalishwa nyinyi mnafanya? Tunafuliwa nguo zetu na si kwamba tunaomba tufanyiwe hivyo ni wao wenyewe ndio wanaamua Tena kwenye level ya mahusiano ya kimapenzi tu n.k

2.Wavumilivu Hili mmezidiwa hasa kwenye eneo moja tu mwanamke wakislamu anaweza kumvulia mwanaume hata anapokuwa amefulia au uchumi kuyumba kwenye kipindi fulani na pia wanawake wakislamu anaweza hata kuolewa na mwanaume mwenye kipato kidogo ikiwa wanapendana ili nimeona mitaa Mingi Sana unakuta demu ni mkali kweli kweli lakini kaolewa na mtu tu ambaye anauza juice za miwa kwa budget mdogo.
DeepPond una Maoni gani kuhusu hili
Ulikua unataka tu kuponda dini za watu. Madrasa ipi inayofundisha mambo ya chumbani? Hiyo ni madrasa au kitchen party. Hapo hata uislam wenyewe huusifii bali unafanya uonekane tofauti maana mambo ya uislam unayahusisha na uzinzi wako.

Nikukumbushe tu wale makungwi wanaofundisha wanawake mambo ya kwenye ndoa ndio wanao ongoza kwa kuachika.
 
Back
Top Bottom