Kwanini wanawake wengi wa siku hizi wana makalio makubwa?

Siku hizi na wao wanakuja juu hawataki kupitwa.
Pia kuna kampeni kubwa sana inayapiganiwa kwa sasa ya matumizi ya line ya pili.
Nasikia ttcl haishiki nikwel?πŸ˜…πŸ˜‚
 
Hiyo ya makalio makubwa kwa wanaume umejisemea wewe

Nasisitiza tena hapo umejisemea wewe
 
Dah humu ndani ni shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]saiv wachina wameleta vitu kama hv[emoji116][emoji116]
 

Attachments

  • JamiiForums390048234.jpg
    48.5 KB · Views: 13
Yaani leo nipo kkoo katika wanawake 10 unaopishana nao basi 7 wamefungasha na wana mizigo kweli. Nini siri ya mafanikio? English figure zinaanza kupotea
Kuna vigodoro siku hizi vinauzwa madukani humo pia kuna madawa ya mchina ya kuongeza makalio kwahiyo Sio ishu za kushangaa. Wenyewe wanawake wanashauriana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…