Kashiba nini kitimoto? π€£
Itakua hivyo hivyo tu, πSa itakuwaje
Where is my glasses? Show me, I don't see this? What happened with you?Mtoto wa kike akikua naye ataishi style kama mama yake, hataona umuhimu wa kuolewa na kuishi pamoja na mke wake
outline what ynu don't like. Read it between line, truth is foundWhere is my glasses? Show me, I don't see this? What happened with you?
12ndoaHabari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.
Shida ni nini wadau?
Sio kweli hata uswahilini Tena wengi sana
HuJANIMISS?Itakua hivyo hivyo tu, π
Ushasema helaπ with money π· comes power,so hapa mwanaume in most cases atahitajika kusubmit kwa woman,kitu ambayo a real man can't do but a marioo can do happily π πHabari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.
Shida ni nini wadau?
π Yes nmekumiss tayari mkuu,HuJANIMISS?
Huwa wanakiburi sana kwa sababu ya pesa zao, mwanamke wa namna hiyo, huwezi ukafuliwa, kupikiwa inakuwa tabu, hata unyumba kunyimwa inakuwa sio shidaaana hujiona kama ni mabosi, tena usiombe ukapata mwenye kacheo kazini kwake anahamishia kacheo nyumbani. Kazi kwakoHabari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.
Shida ni nini wadau?
Kama hujajua sasa wanawake wengi wanapenda uhuru toka kitambo tu sema mifumo iliojengeka kiasili ilikuwa inazuia hili kwakuwa waliona madhara ya kumpa mwanamke uhuru ni kukaribisha uharibifu na ndio maana mfumo dume ulikuwa umetamalaki na ulitumika kuendesha na kusimamia familia nyingi miaka ile ya mababu zetu.Habari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.
Shida ni nini wadau?
T stand for what?Am T
To = Toto?Let me add O.....am To
πππ Aiseee I see kumbe ni weweOopss,okay...am To y_ _e
π€£π€£π€£Yes, it's meπππ Aiseee I see kumbe ni wewe
Sawa mkuu I gat you in your newest ID,π€£π€£π€£Yes, it's me