Uyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaishi hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.
Ngoshwe iwe[emoji28][emoji28]
KIZAZ KICHAF KINAANZA MPONDA ALIPAMBANA TUCHAT HUMU KUJUANA MAKABILA , HUENDA HUJATEMBEA EAST AFRICA AU UMETEMBEA ILA AKIL YAKO FUPI KUONA WANAVYOBAGUAANA KISA LUGHA ZA MAKABILA , NCHI X KWENY INTERVIEW MTU ALISALIMIWA KWA LUGHA YA KITESO AKAKAA KIMYA WAKAMWAMBIA TUTAKUPIGIA SIMU IMETOKA HIYONyerere halihalibu kizazi cha watanzania kwani kuna kosa gani mtu kuongea lugha yake ya Asili mbona kiswahili na kiingereza pia ni kilugha kwa makabil mengine. huo umoja wenyewe si uone isipo kua unafiki tu. umasikini ujinga unatupiga vile vile kama nchi zingine zenye lugha nyingi.
Ekadu MosieWakina mgosi waje🤓
Tizainuka Wedi, ZumbeHaya Mghoshi Shekighenda. Kuzacha!!! Niughushia woshe uko uiko.
Taamtogoa ZumbeTizainuka Wedi, Zumbe
Ukiweya
Ni mibweshuna kabisa inu, izakosa mbui za kujadili itijadili ishwi?[emoji23][emoji23][emoji23] na visiku vya nine ngazi malihemu
Aanyeghewa kwei sio bue[emoji1787]Aanyeghewa uyu[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eka mambeza osie ngeusonwe dughushi
Ukiiva mambeza ya kighoshi nee aya [emoji23]Ni mibweshuna kabisa inu, izakosa mbui za kujadili itijadili ishwi?
Hongea maa wau umbu jangu n'yemkundisha sana[emoji7]
The soonest[emoji8]Hivi ile safari ya Kibaha......!!!
Lini itapata kibali ikakamilika...?
The soonest[emoji8]
Mnafungua club nini?maana kwa bata nyie,mtujulishe wateja wenuIgali weiting.....😜
Yadahikana uyu mbwanga ni mnyika mweikaa na kughoshoa ndima uku kwetu koongoi! Ushe akitiona tashimwea kishambaa, ataingiwa ni wizu!Uyu jamaa aetie inu mada ni mshamba, hana akii kwaio tieke kuonga kishambaa kuamba nationekane ti washamba, kishambaa nionga hohoshe na hakuna ndue ya kuniemeza, kama nzeze basi washame wakaikae hata ni uko somalia watiekee inu shi yetu wenye.Uyu jamaa ni ngoshwe kabisa
Wanapenda sana biashara ya chipsi.Kwenye huu uzi Wasambaa tumeonewa. Huyu mtoa mada hajawahi kukutana na Wasukuma na Wamasai! Hawa jamaa muda wote wanaongea lugha yao tu.
Wasambaa wamejaa hiace za Kikombero/Njiro dereva msambaa konda Msambaa hapa mwisho wa lami wanapogeuzia ndio mitaa yangu ni kisambaa kwa kwenda mbele...hata wakiwa na abiria wao wanatupa kisambaa mwanzo mwisho tena muda mwingine wanawasema watu wanaosikia...wanatamani wapige debe kwa kisambaa ni vile hatutaelewa..Mtoa mada atakuwa hajawahi kupanda gari moja na Wasukuma, au Wamasai!
NI ndani ya Wilaya mbili tu nchini (Lushoto na Korogwe) ndiyo utakutana na hao Wasambaa wakiongea kilugha ndani ya magari ya abiria/mtaani/sokoni, nk. Nje ya hizo Wilaya, ni aghalabu kukuta Msambaa anaongea kilugha hadharani.
Ila hayo makabila mawili hapo juu, hata uende Urusi, au Ukraine! Wao ni kuongea tu Kisukuma/Kimasai!!
Wasambaa huwa hatuchagui kazi.Wanapenda sana biashara ya chipsi.