Kwanini wasomi (wazazi) wengi wa siku hizi hawamiliki assets?

Kwanini wasomi (wazazi) wengi wa siku hizi hawamiliki assets?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mmezaliwa miaka ya 70 Mwishoni, themanini mwanzoni hadi themanini katikati ( 1985).

Wazazi wenu hawakuwa hata na kipato kikubwa kihivyo lakini walifanikiwa kujenga nyumba (wengine zaidi ya moja).

Wamewaachia mashamba na mali nyinginezo nyingi.

Lakini ninyi mmesoma hadi vyuo vikuu na mna kazi au shughuli zinazo waingizia kipato ila hamna assets halisi (real property)

Sababu ni nini?

Point huwaga ni zile zile siku zote; 👇👇👇👇👇👇👇👇

1. Lack of leadership (Poor management of time and resources)

2. Poor infrastructure.

3. Poor social services.

4. Lack of unity.

Etc.

Anyways inayo wahusu nyie ni hiyo ya kwanza.

Matumizi mabaya ya pesa na muda.

Kukosa vipaumbele au kuwa na vipaumbele ambavyo havina tija.

Kwa mfano mnatumia pesa zenu kununua " assets" ambazo sio asset halisi.

Kwa mfano unalipa mamilioni ya pesa mtoto wako asome kwenye shule ya English Medium na una watoto lets say watatu.

Wakati huo huo unaishi kwenye nyumba ya kupanga.

Huna hata kiwanja wala shamba wala akiba ya hela. Unaishi kwa stress ya ada. Muda wote unawaza kulipa ada. Kwanini usiwe masikini?

Kwani umezaliwa ili uje ujistress kulipa ada?

Kwa mwaka unatumia karibu milioni kumi kusomesha watoto wako.

Kwa miaka kumi na 2 unakuwa umetumia kiasi gani?

Na watoto wako ukiwasomesha shule za private kuanzia primary, wakifika chuo hakuna mkopo. Utatakiwa kuwapa boom wewe.

Kwanini usiwe masikini?

Unajistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums wakati shule za bure zipo na wewe unajijua uwezo wako mdogo. Are u sick?

Kwani umeambiwa mtoto wako akisoma Kayumba ndio Chuo Kikuu hafiki? Au ndio hatokuja kuwa na maisha mazuri.?

Au ndo wewe mliokuwaga mnasema " EDUCATION IS BETTER THAN MONEY? "

Kwa maana ya kwamba yani hiyo pesa yako unayo peleka kwenye shule ya ENGLISH MEDIUM, haina thamani, ila hicho anacho enda kukipata mtoto wako kwenye shule hiyo ndio kina thamani.

Is that what u think bro? Think again bro, you are failing it big time

Anyways keshokutwa shule zinafunguliwa. Mr.Mugetta wa Mugetta English Medium Nursery and Primary School, anataka ada yake. Hataki maelezo.

Kuna jamaa yangu mmoja bado yupo brainwashed na hii " brand" ya English Medium, Kaja kuomba nimkopeshe laki 5 alipe ada ya mtoto wake atanirudishia mwisho wa mwezi.

Nimemwambia, kamata watoto wako watoe English Mediums, peleka Kayumba haraka sana.

Laki 5 ya kukukopesha ninayo lakini siwezi kumpa mtu hela yangu akaitupe jalalani hata kama namkopesha.

Afadhali angesema hata amefiwa ningempatia hela bila hata kumdai.

Nimemwambia aingie Jf asome nyuzi za mtu anaitwa Likud zimfungue akili kuhusu shule za English Mediums.

Kama hawezi aache watoto wake wake nyumbani ili aone "uchungu" akatafute hela anapopajua akawalipie watoto wake ada, halafu wakifikisha miaka 16, wa kike anakuwa na x boyfriends watatu na wa kiume anakuwa anatiana bila kutumia kinga (watoto wa siku hizi hawaogopi Ukimwi)

Leo Jumapili wacha niende kijijini kwetu Homboza. Nitapita Chanika pale Butiama kwa sirro kuangalia mechi ya Makolo..

Mnaojistress kutafuta mamilioni kulipa ada shule za Ems. Hongereni sana kwa stress
 
Hapo nadhani unaongelea circle Yako mkuu ila ukienda hapo kinyerezi Kuna vijana Wana nyumba ni nyoko,ukienda pwani vijana wanashindana kulima heka na heka za mboga mboga hapo hatujaongelea biashara kariakoo
Hao sio Graduate mkuu ! Graduate wa kibongo hawanaga assets halisi. Assets pekee walizo nazo ni vyeti, c.v na experience.

Unless otherwise hao vijana wa Kinyerezi wataje majina yao so that we be sure that you are not talking about ghosts or robots.
 
Mmezaliwa miaka ya 70 Mwishoni, themanini mwanzoni hadi themanini katikati ( 1985)

Wazazi wenu hawakuwa hata na kipato kikubwa kihivyo lakini walifanikiwa kujenga nyumba ( wengine zaidi ya moja)

Wamewaachia mashamba na mali nyinginezo nyingi.

Lakini ninyi mmesoma hadi vyuo vikuu na mna kazi au shughuli zinazo waingizia kipato ila hamna assets halisi ( real property)


Sababu ni nini?

Point huwaga ni zile zile siku zote; 👇👇👇👇👇👇👇👇

1. Lack of leadership (Poor management of time and resources)

2. Poor infrastructure.

3. Poor social services.

4. Lack of unity.

Etc.

Anyways inayo wahusu nyie ni hiyo ya kwanza.

Matumizi mabaya ya pesa na muda.

Kukosa vipaumbele au kuwa na vipaumbele ambavyo havina tija.

Kwa mfano mnatumia pesa zenu kununua " assets" ambazo sio asset halisi.

Kwa mfano unalipa mamilioni ya pesa mtoto wako asome kwenye shule ya English Medium na una watoto lets say watatu.

Wakati huo huo unaishi kwenye nyumba ya kupanga.

Huna hata kiwanja wala shamba wala akiba ya hela.
Unaishi kwa stress ya ada.
Muda wote unawaza kulipa ada. Kwanini usiwe masikini?

Kwani umezaliwa ili uje ujistress kulipa ada?

Kwa mwaka unatumia karibu milioni kumi kusomesha watoto wako.

Kwa miaka kumi na 2 unakuwa umetumia kiasi gani?

Na watoto wako ukiwasomesha shule za private kuanzia primary, wakifika chuo hakuna mkopo. Utatakiwa kuwapa boom wewe.

Kwanini usiwe masikini?

Unajistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums wakati shule za bure zipo na wewe unajijua uwezo wako mdogo. Are u sick?

Kwani umeambiwa mtoto wako akisoma Kayumba ndio Chuo Kikuu hafiki? Au ndio hatokuja kuwa na maisha mazuri. ?

Au ndo wewe mliokuwaga mnasema " EDUCATION IS BETTER THAN MONEY? "

Kwa maana ya kwamba yani hiyo pesa yako unayo peleka kwenye shule ya ENGLISH MEDIUM, haina thamani, ila hicho anacho enda kukipata mtoto wako kwenye shule hiyo ndio kina thamani.

Is that what u think bro? Think again bro, you are failing it big time

Anyways keshokutwa shule zinafunguliwa. Mr.Mugetta wa Mugetta English Medium Nursery and Primary School, anataka ada yake. Hataki maelezo.

Kuna jamaa yangu mmoja bado yupo brainwashed na hii " brand" ya English Medium, Kaja kuomba nimkopeshe laki 5 alipe ada ya mtoto wake atanirudishia mwisho wa mwezi.

Nimemwambia, kamata watoto wako watoe English Mediums, peleka Kayumba haraka sana.

Laki 5 ya kukukopesha ninayo lakini siwezi kumpa mtu hela yangu akaitupe jalalani hata kama namkopesha.

Afadhali angesema hata amefiwa ningempatia hela bila hata kumdai.

Nimemwambia aingie Jf asome nyuzi za mtu anaitwa Likud zimfungue akili kuhusu shule za English Mediums.

Kama hawezi aache watoto wake wake nyumbani ili aone "uchungu" akatafute hela anapopajua akawalipie watoto wake ada, halafu wakifikisha miaka 16, wa kike anakuwa na x boyfriends watatu na wa kiume anakuwa anatiana bila kutumia kinga ( watoto wa siku hizi hawaogopi Ukimwi)


Leo Jumapili wacha niende kijijini kwetu Homboza. Nitapita Chanika pale Butiama kwa sirro kuangalia mechi ya Makolo..

Mnaojistress kutafuta mamilioni kulipa ada shule za Ems. Hongereni sana kwa stress
5. Poor political party-ccm
6. Invasion of killing squad by wasiojulikana
 
Unajistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums wakati shule za bure zipo na wewe unajijua uwezo wako mdogo. Are u sick?

Kwani umeambiwa mtoto wako akisoma Kayumba ndio Chuo Kikuu hafiki? Au ndio hatokuja kuwa na maisha mazuri. ?
Mbay zaidi unamsomesha Feza School mamililni ya fedha anamaliza Chuo tunakuta a na Bahasha la CV anaomba kazi ya Mshahara wa Laki 7.

You must be sick.

Kama unauwezo wa kumsomesha mtoto wako Shule ya gharama kubwa basi jiandae mwanao ashike mambo makubwa a apomalizachuo.

Mfano uwe na Kampuni yako atakayosimamia na kufanya kazi, au Msafirishe Nje ya Nchi akafanye kazi za kimataifa na makampuni reputable.

Hizi nyingine ni kujidhalilisha na kupoteza fedha bure.
 
Hao sio Graduate mkuu ! Graduate wa kibongo hawanaga assets halisi. Assets pekee walizo nazo ni vyeti, c.v na experience.

Unless otherwise hao vijana wa Kinyerezi wataje majina yao so that we be sure that you are not talking about ghosts or robots.
Kutaja majina hapana ila ni graduates ambao walijiongeza kwenye biashara wengine walipata kazi nzuri na wengine walienda hadi nje ya nchi na kupata maarifa mapya
Nadhani ungesema baadhi ya graduates ningekubaliana na wewe
Unajua hivi Sasa Kuna vijana wanakataa kazi na kufata ndoto zao na huenda siku za usoni wakawa matajiri wazuri
 
Mbay zaidi unamsomesha Feza School mamililni ya fedha anamaliza Chuo tunakuta a na Bahasha la CV anaomba kazi ya Mshahara wa Laki 7.

You must be sick.

Kama unauwezo wa kumsomesha mtoto wako Shule ya gharama kubwa basi jiandae mwanao ashike mambo makubwa a apomalizachuo.

Mfano uwe na Kampuni yako atakayosimamia na kufanya kazi, au Msafirishe Nje ya Nchi akafanye kazi za kimataifa na makampuni reputable.

Hizi nyingine ni kujidhalilisha na kupoteza fedha bure.
100% prefect.

Hawa watanzania wenye vipato vya kuunga wanao jistress kulipia watoto wao mamilioni kwenye EMs wafanyiwe utafiti aisee. Hesabu zao wanazipiga kinyume nyume. Wanafikiri kujitesa na kujistress ndio kufanikiwa.
 
Kutaja majina hapana ila ni graduates ambao walijiongeza kwenye biashara wengine walipata kazi nzuri na wengine walienda hadi nje ya nchi na kupata maarifa mapya
Nadhani ungesema baadhi ya graduates ningekubaliana na wewe
Unajua hivi Sasa Kuna vijana wanakataa kazi na kufata ndoto zao na huenda siku za usoni wakawa matajiri wazuri
Usemacho kinawezekana ila ni graduates wachache sana wanao toboa kimaisha. Nahisi elimu wanayo pata shule ni kama huwa inawaondolea uwezo wa kutumia common sense
 
Mmezaliwa miaka ya 70 Mwishoni, themanini mwanzoni hadi themanini katikati ( 1985).

Wazazi wenu hawakuwa hata na kipato kikubwa kihivyo lakini walifanikiwa kujenga nyumba (wengine zaidi ya moja).

Wamewaachia mashamba na mali nyinginezo nyingi.

Lakini ninyi mmesoma hadi vyuo vikuu na mna kazi au shughuli zinazo waingizia kipato ila hamna assets halisi (real property)


Sababu ni nini?

Point huwaga ni zile zile siku zote; 👇👇👇👇👇👇👇👇

1. Lack of leadership (Poor management of time and resources)

2. Poor infrastructure.

3. Poor social services.

4. Lack of unity.

Etc.

Anyways inayo wahusu nyie ni hiyo ya kwanza.

Matumizi mabaya ya pesa na muda.

Kukosa vipaumbele au kuwa na vipaumbele ambavyo havina tija.

Kwa mfano mnatumia pesa zenu kununua " assets" ambazo sio asset halisi.

Kwa mfano unalipa mamilioni ya pesa mtoto wako asome kwenye shule ya English Medium na una watoto lets say watatu.

Wakati huo huo unaishi kwenye nyumba ya kupanga.

Huna hata kiwanja wala shamba wala akiba ya hela. Unaishi kwa stress ya ada. Muda wote unawaza kulipa ada. Kwanini usiwe masikini?

Kwani umezaliwa ili uje ujistress kulipa ada?

Kwa mwaka unatumia karibu milioni kumi kusomesha watoto wako.

Kwa miaka kumi na 2 unakuwa umetumia kiasi gani?

Na watoto wako ukiwasomesha shule za private kuanzia primary, wakifika chuo hakuna mkopo. Utatakiwa kuwapa boom wewe.

Kwanini usiwe masikini?

Unajistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums wakati shule za bure zipo na wewe unajijua uwezo wako mdogo. Are u sick?

Kwani umeambiwa mtoto wako akisoma Kayumba ndio Chuo Kikuu hafiki? Au ndio hatokuja kuwa na maisha mazuri.?

Au ndo wewe mliokuwaga mnasema " EDUCATION IS BETTER THAN MONEY? "

Kwa maana ya kwamba yani hiyo pesa yako unayo peleka kwenye shule ya ENGLISH MEDIUM, haina thamani, ila hicho anacho enda kukipata mtoto wako kwenye shule hiyo ndio kina thamani.

Is that what u think bro? Think again bro, you are failing it big time

Anyways keshokutwa shule zinafunguliwa. Mr.Mugetta wa Mugetta English Medium Nursery and Primary School, anataka ada yake. Hataki maelezo.

Kuna jamaa yangu mmoja bado yupo brainwashed na hii " brand" ya English Medium, Kaja kuomba nimkopeshe laki 5 alipe ada ya mtoto wake atanirudishia mwisho wa mwezi.

Nimemwambia, kamata watoto wako watoe English Mediums, peleka Kayumba haraka sana.

Laki 5 ya kukukopesha ninayo lakini siwezi kumpa mtu hela yangu akaitupe jalalani hata kama namkopesha.

Afadhali angesema hata amefiwa ningempatia hela bila hata kumdai.

Nimemwambia aingie Jf asome nyuzi za mtu anaitwa Likud zimfungue akili kuhusu shule za English Mediums.

Kama hawezi aache watoto wake wake nyumbani ili aone "uchungu" akatafute hela anapopajua akawalipie watoto wake ada, halafu wakifikisha miaka 16, wa kike anakuwa na x boyfriends watatu na wa kiume anakuwa anatiana bila kutumia kinga (watoto wa siku hizi hawaogopi Ukimwi)

Leo Jumapili wacha niende kijijini kwetu Homboza. Nitapita Chanika pale Butiama kwa sirro kuangalia mechi ya Makolo..

Mnaojistress kutafuta mamilioni kulipa ada shule za Ems. Hongereni sana kwa stress
Mkuu watu sasa hivi ni kwenye digital assets ma NTF, stocks na cryptos huko. Mambo ya kumiliki mashamba na nyumba ulishapitwa na wakati. Tunaenda na wakati.
 
Siku hizi hakuna ardhi za kurithi

Siku hizi kila mmoja kashashtuka kwenye thamani ya ardhi.. Mambo ya kwenda km 20 nje ya mji ukajikatia eneo au ukapewa kwa bei sawa na bure hakuna

Siku hizi watu ni wengi na mbaya zaidi wengi wameelimika hivyo mbanano katika fursa ni mkubwa. Huwezi kulinganisha nchi ile ile ikiwa na watu milioni 20 iwe sawa na sasa watu wapo milioni 60

Na unajua implications za watu wanapokuwa wengi hata gharama za maisha zinapanda.

Ndio maana zamani waalimu, manurse na mtu yoyote aliyeajiriwa walionekana kama royalties. Na wanazaa hata watoto 9 lakini wanawafikisha pazuri. Zaa sasa hivi uone
 
Kwa wazazi wenye vipato vya kati ambao mna watoto waliozaliwa miaka hii ya elfu 2010s msijitese kutumia mamilioni kuwasomesha watoto wenu ENGLISH mediums. Mtaishia kujuta hapo baadae. Mfumo huo wa maisha ( kumsomesha mtoto shule ili aje awe mtu fulani sasa hivi sio valid tena)

Hiyo pesa bora wekeza kwenye assets. Msomeshe shule za kawaida. Msimamie. Mfundishe skills za maisha. Utakuja kunishukuru baadae..
 
Back
Top Bottom