Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au Fisadi na Tapelii.Kwa dunia ya leo hauwezi kutajirika kwa kuajiriwa, labda uwe mwizi.
Mmoja kapiga chemical engineering mwingine Medical, wote nadhani Ni bachelor degreeDuh inasikitisha kwa kweli.
Kasoma India level ipi? Kozi ipi?
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Kama una uwezo ni vizuri asome kwenye hizo English medium ina mjengea
mtoto confidence na uelewa zaidi ya hizi shule nyingine.
Wakati unasomesha pia jiandalie maisha yako ya kustaafu uwe na via asset viwili vitatu
ndio vitawasadi na hao watoto baadae
Kama huna uwezo wa kuwapeleka English Medium wakazanie kwenye hizo
za kawaida watafanikiwa pia.
Zipo ? Njombe watu wameokota ardhi.Kuna jamaa angu alijichukulia milima Chunya, hana mitaji ya kuchimba.Sasa hivi hamna ardhi ya kuokota ila zamani watu walikua wanajiokotea tu ardhi