Kwanini wasomi (wazazi) wengi wa siku hizi hawamiliki assets?

Kwanini wasomi (wazazi) wengi wa siku hizi hawamiliki assets?

Usemacho kinawezekana ila ni graduates wachache sana wanao toboa kimaisha. Nahisi elimu wanayo pata shule ni kama huwa inawaondolea uwezo wa kutumia common sense
Kwa hili sikatai ukisoma hadi chuo elimu huwa inatutenga mno na mbinu za uzalishaji Sasa ukimaliza usipate ajira ya kile umesomea kurudi kujitafuta huwa ni mtihani mkubwa sana
Na hapa ndio wasomi hujikuta wako desperate
Lakini pia being caught in a dream Kila siku unaota utapata ajira ajira ajira mwisho umri unasonga nguvu zinapungua na creativity inashuka hii huwakuta na watu wanaoamini kwenye vipaji kama soka na mziki
So kujipata ukisoma ni kazi sana
 
100% prefect.

Hawa watanzania wenye vipato vya kuunga wanao jistress kulipia watoto wao mamilioni kwenye EMs wafanyiwe utafiti aisee. Hesabu zao wanazipiga kinyume nyume. Wanafikiri kujitesa na kujistress ndio kufanikiwa.
Kabisa me siwez jitesa kuwaza ada nampeleka kayumba ila nampa support yote.

Maana saiv sio kusoma tu akimalza chuo uwaze unampa kazi au mtaji.
 
Kwa hili sikatai ukisoma hadi chuo elimu huwa inatutenga mno na mbinu za uzalishaji Sasa ukimaliza usipate ajira ya kile umesomea kurudi kujitafuta huwa ni mtihani mkubwa sana
Na hapa ndio wasomi hujikuta wako desperate
Lakini pia being caught in a dream Kila siku unaota utapata ajira ajira ajira mwisho umri unasonga nguvu zinapungua na creativity inashuka hii huwakuta na watu wanaoamini kwenye vipaji kama soka na mziki
So kujipata ukisoma ni kazi sana
Ukweli mchungu mkuu
 
Kwa hili sikatai ukisoma hadi chuo elimu huwa inatutenga mno na mbinu za uzalishaji Sasa ukimaliza usipate ajira ya kile umesomea kurudi kujitafuta huwa ni mtihani mkubwa sana
Na hapa ndio wasomi hujikuta wako desperate
Lakini pia being caught in a dream Kila siku unaota utapata ajira ajira ajira mwisho umri unasonga nguvu zinapungua na creativity inashuka hii huwakuta na watu wanaoamini kwenye vipaji kama soka na mziki
So kujipata ukisoma ni kazi sana
100% perfect
 
Mbay zaidi unamsomesha Feza School mamililni ya fedha anamaliza Chuo tunakuta a na Bahasha la CV anaomba kazi ya Mshahara wa Laki 7.

You must be sick.

Kama unauwezo wa kumsomesha mtoto wako Shule ya gharama kubwa basi jiandae mwanao ashike mambo makubwa a apomalizachuo.

Mfano uwe na Kampuni yako atakayosimamia na kufanya kazi, au Msafirishe Nje ya Nchi akafanye kazi za kimataifa na makampuni reputable.

Hizi nyingine ni kujidhalilisha na kupoteza fedha bure.
Mkuu hivi hizo shule za ada ndefu hawana extra curricular activities kama namna ya kuanzisha kampuni, matumizi ya ICT, music na talent nyingine ?
So wanafunzi wanavuna nini hapo ?
 
Kizazi cha late 70s hadi mid 80s kilipata neema ya mwisho mwisho katika maswala ya ajira na kujiajiri na wengi wao hawakuvipata kwa kurithishwa.

Watu wanamiliki assets na naamini wapo wengi, tatizo ni wao kuweza kuwamilikisha watoto wao.

Hili tatizo labda kwa kizazi cha 90s na y2k.
 
Mkuu hivi hizo shule za ada ndefu hawana extra curricular activities kama namna ya kuanzisha kampuni, matumizi ya ICT, music na talent nyingine ?
So wanafunzi wanavuna nini hapo ?
Kitu pekee wanachofaidi ni kuongea kingereza kilichonyooka.

Nje ya hapo hakuna.

Sasa kama mzazi uamue kama unalipia mamilioni sababu ya kingereza au la!
 
Back
Top Bottom