Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Kwani DNA hai-determine melanin?

Na kuhusu huyo mwanasayansi aliyenyang'anywa haki zake kitaaluma, haya mambo ni controversial sana kiasi kwamba kupata watu wa kuhoji utofauti wa DNA bila severe consequences ni ngumu sana.

Kwa dunia ya sasa iliyo politically correct kwa kiasi kikubwa, yeyote yule atakayehoji utofauti baina ya races ataitwa mbaguzi na atakuwa ostracized.

Lakini mwisho wa siku ukweli wa mambo uko kwenye hali halisi. Ni ukweli usiopingika kuwa Wazungu wamechangia sana katika uvumbuzi wa vitu vingi sana na katika nyanja nyingi sana.

Hata hili li-www wamevumbua na kuliendeleza wao na leo mimi na wewe tunalitumia kujadili mada mbalimbali. Wazungu hao hao wameenda katika sehemu nyingi sana za dunia na wamezitawala kwa kila aina. Angalia Autralia...angalia New Zealand...angalia Brasil hususan sehemu zile za wazungu...angalia Afrika Kusini. Angalia hata Zimbabwe baada tu ya uhuru.

Kwa wakati huo huo angalia Afrika kusini mwa jangwa sa Sahara. Kuna kitu sisi weusi tunakikosa! Angalia Haiti...angalia Jamaica....

Surely kuna kitu mahali....
Moja: hata watu weusi wamegunduwa vitu vingi sana mfano helicopter, Baiskeli, peanut butter nk.

Pili: Hao wazungu unaowasifia kila kukicha wana attribute most of their great innovations to Wars, from internet unayozungumzia, compyuta, GPS, pretty much almost everthing that has made life what it is today.

What to learn: Mnaotafuta superiority kwenye DNA na color mnashangaza sana, no wonder kuna watu wanalipa mahari kubwa kwa wanawake weupe, ni mentality ambayo kwa kiasi kikubwa inachochewa na unconscious inferiority complexes.
 
...Labda tujiulize, watu hawa ni wapi? Hawa vijana wasiojua kusoma na kuandika, hata jina lao, ilhali wamemaliza darasa la saba. Au tunaongelea wale walio kwenye maofisi wakipanga kununua vitu visivyodumu toka China [ili kamchezo hako kajirudie tena na tena], na kuacha vya vijana wao wenyewe wa kuwazaa, vikidoda pale Keko na kwingineko?

...Nadhani hapa ndio tutapata jawabu la juhudi zinazohitajika kuzianzisha hizo nafasi za kazi.

...Twende mbele zaidi na tujiulize, je, ni nafasi zipi za kazi zinahitajika kuanzishwa? kama umeme utaendelea kuwa si wa uhakika, na maji hakuna. Bila kusahau huduma mbaya kabisa ya usafiri wa umma.

Mzee ulikuwa wapi? Umeadimika sana aisee...
 
Mkuu kama nilivyosema hapo awali, sidhani kama mjadala huu ni kuhusu namna ya kupata uongozi mpya.

Na mimi sijasema mjadala ni kupata viongozi wapya. Na ukifualitia hoja yangu utaona kuwa nilikujibu kuwa Jobs don't fall from outer space, nikiwa na maana kuwa nafasi za kazi hazitokehi kwa miujiza. Ni lazima jamii ifanye juhudi ya kuzi-create.

Uongozi unaweza kuweka mazingira mazuri ya kufanya job creation. Lakini hiyo ni sehemu moja tu.
 
Ngur3,Kuhusiana na China, Marekani, Canada na nchi nyingine, ni kweli kuwa uongozi wao umesaidia. Lakini uongozi wao haukushuka kutoka mbiguni kama chakula cha wana waIsrael.

So the Israeli's have been handed everything on a silver platter?
 
Ni ukweli usiopingika kuwa war superiority is the beggining of the rest.
 
...Labda tujiulize, watu hawa ni wapi? Hawa vijana wasiojua kusoma na kuandika, hata jina lao, ilhali wamemaliza darasa la saba. Au tunaongelea wale walio kwenye maofisi wakipanga kununua vitu visivyodumu toka China [ili kamchezo hako kajirudie tena na tena], na kuacha vya vijana wao wenyewe wa kuwazaa, vikidoda pale Keko na kwingineko?

...Nadhani hapa ndio tutapata jawabu la juhudi zinazohitajika kuzianzisha hizo nafasi za kazi.

...Twende mbele zaidi na tujiulize, je, ni nafasi zipi za kazi zinahitajika kuanzishwa? kama umeme utaendelea kuwa si wa uhakika, na maji hakuna. Bila kusahau huduma mbaya kabisa ya usafiri wa umma.

DSL,

Hao wasio na elimu ndio wanaweza kuwa drivers wa economic activities kuliko waliosoma. You go to war with the army you have .. Donald Rumsfeld's Doctrine.
 
Na mimi sijasema mjadala ni kupata viongozi wapya. Na ukifualitia hoja yangu utaona kuwa nilikujibu kuwa Jobs don't fall from outer space, nikiwa na maana kuwa nafasi za kazi hazitokehi kwa miujiza. Ni lazima jamii ifanye juhudi ya kuzi-create.

Uongozi unaweza kuweka mazingira mazuri ya kufanya job creation. Lakini hiyo ni sehemu moja tu.
Mojawapo ya sifa za wenzetu kuchagua viongozi ni job creation, wewe unatetea status quo, sema unazungusha tu.
 
DSL,

Hao wasio na elimu ndio wanaweza kuwa drivers wa economic activities kuliko waliosoma. You go to war with the army you have .. Donald Rumsfeld's Doctrine.

As we know,
There are known knowns.
There are things we know we know.

We also know
There are known unknowns.
That is to say
We know there are some things
We do not know.

But there are also unknown unknowns,
The ones we don't know
We don't know.
 
DSL,

Hao wasio na elimu ndio wanaweza kuwa drivers wa economic activities kuliko waliosoma. You go to war with the army you have .. Donald Rumsfeld's Doctrine.
Hapa inaonekana kabisa kuwa unayakubali yale unayoyakataa at the same time.Hii ni based on this disscussion.

Wasio na elimu nafasi yao ipo sana tu kwenye shughuli za uzalishaji, sema wewe unawalaumu wananchi eti kwanini hawazalishi.

Hiyo doctrine ya Rumsfeld iko applicable kwao tu, ndo shida kubwa tuliyonayo sisi.

Tunadhani kila kitu kiko applicable as it is on its face value, we dont dig on it, na ndiyo maana tuna adapt tu bila ya kufanya analysis, tunameza mazima mazima tu.Wenzetu walifikia kwenye hatua waliyoko through stages, sisi tunaparamia tu bila kutumia akili.

Ukweli ni kwamba tumebanwa na mataifa makubwa ya kibepari, lakini hata kula kwa urefu wa kamba yetu tu hatuwezi, tuna tizama na kuimagine vya wenye kuweza kutembea na kula bila strings!
 
Mojawapo ya sifa za wenzetu kuchagua viongozi ni job creation, wewe unatetea status quo, sema unazungusha tu.

Nionyeshe sehemu niliyotetea status quo. consistently nimesema kuwa uongozi ni kitu muhimu katika maendeleo. Lakini hapohapo nasema kuwa uongozi sio sehemu pekee ya matatizo ya maendeleo.

Kwanini Watanzania ni Masikini ni paradoxical question, au Catch 22. Na siwezi kujibu bila kuzunguka. Kwa mfano ukitaka maendeleo unahitaji viongozi safi. Na viongozi safi wanachaguliwa na wenye fikra safi za maendeleo.
 
Hapa inaonekana kabisa kuwa unayakubali yale unayoyakataa at the same time.Hii ni based on this disscussion.

Wasio na elimu nafasi yao ipo sana tu kwenye shughuli za uzalishaji, sema wewe unawalaumu wananchi eti kwanini hawazalishi.

Hiyo doctrine ya Rumsfeld iko applicable kwao tu, ndo shida kubwa tuliyonayo sisi.

Tunadhani kila kitu kiko applicable as it is on its face value, we dont dig on it, na ndiyo maana tuna adapt tu bila ya kufanya analysis, tunameza mazima mazima tu.Wenzetu walifikia kwenye hatua waliyoko through stages, sisi tunaparamia tu bila kutumia akili.

Ukweli ni kwamba tumebanwa na mataifa makubwa ya kibepari, lakini hata kula kwa urefu wa kamba yetu tu hatuwezi, tuna tizama na kuimagine vya wenye kuweza kutembea na kula bila strings!


Kwikwikwi, inaonyesha umesomea science, engineering au math. People don't work for sake of it.

Nikiwa Uingereza, Marekani, na Sweden nilikaa na vijana wa kitanzania kutoka DSM, Zanzibar, Tanga n.k ambao mwengi wao hawakuwahi kufanya kazi mashambani.

Kilichonishangaza ni kuwa waliweza kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa. Je ni kitu gani kilichowapa vijana hawa motisha wa kujifunza na kutafuta kazi mashambani?

Kwanini waliopokuwepo Tanzania hawakufikiria kwenda kufanya kazi kwenye vijiji vya Tanzania?
 
Nionyeshe sehemu niliyotetea status quo. consistently nimesema kuwa uongozi ni kitu muhimu katika maendeleo. Lakini hapohapo nasema kuwa uongozi sio sehemu pekee ya matatizo ya maendeleo.

Kwanini Watanzania ni Masikini ni paradoxical question, au Catch 22. Na siwezi kujibu bila kuzunguka. Kwa mfano ukitaka maendeleo unahitaji viongozi safi. Na viongozi safi wanachaguliwa na wenye fikra safi za maendeleo.
Zakumi, with all due respect, usitake nikutafutie pahala uliposema "vebartim", ndo maana nikasema based on this disscussion..., unazungunka tu lakini umeegemea upande wa status quo na hapo ndo tunapishana.


Hili la Tanzania kuwa masikini na kwamba ni a "paradoxical question", mjadala ulianza kitambo sana, take your time uupitie huu mjadala toka mwanzo.Itatusaidia kuondoka kwenye hii mizungushano kama ya enzi za "gombania goli" na "chenga mingi"
 
Kwikwikwi, inaonyesha umesomea science, engineering au math. People don't work for sake of it.

Nikiwa Uingereza, Marekani, na Sweden nilikaa na vijana wa kitanzania kutoka DSM, Zanzibar, Tanga n.k ambao mwengi wao hawakuwahi kufanya kazi mashambani.

Kilichonishangaza ni kuwa waliweza kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa. Je ni kitu gani kilichowapa vijana hawa motisha wa kujifunza na kutafuta kazi mashambani?

Kwanini waliopokuwepo Tanzania hawakufikiria kwenda kufanya kazi kwenye vijiji vya Tanzania?
Hapa sijakuelewa kabisa, pointi yako ni nini?
 
Zakumi, with all due respect, usitake nikutafutie pahala uliposema "vebartim", ndo maana nikasema based on this disscussion..., unazungunka tu lakini umeegemea upande wa status quo na hapo ndo tunapishana.


Hili la Tanzania kuwa masikini na kwamba ni a "paradoxical question", mjadala ulianza kitambo sana, take your time uupitie huu mjadala toka mwanzo.Itatusaidia kuondoka kwenye hii mizungushano kama ya enzi za "gombania goli" na "chenga mingi"

JMush1,

1) Katika mjadala huu what's status quo?
2) Africa ina nchi zaidi ya 50. Na zote kuwa masikini is coincidence or design?
 
JMush1,

1) Katika mjadala huu what's status quo?
2) Africa ina nchi zaidi ya 50. Na zote kuwa masikini is coincidence or design?
Nitakujibu kwa kutumia numerali kama ulivyofanya kwenye swali lako...

1)Katika mjadala huu, status quo ni the same kama vile ambavyo ingekuwa kwenye mjadala wowote ule, means same shit different day, nuttin new! Kwetu sisi na Afrika kwa ujumla viongozi ni wale wale wenye sera zile zile na huku sisi tukitegemea matokeo ya tofauti.

2)Afrika ni Afrika tu! Hata mwaka 1885 ilipogawanywa kwa European super powers ilikuwa ni Afrika.Kwa hiyo impact either ni ya colonisation slavery, you name it, ni ya Afrika.So sishangazwi na mataifa ya Afrika kuwa almost the same.
 
Pointi yangu ni Economic incentives drive people to work. Kama hakuna incentives watu watafanya kazi za kujikimu tu.
Economic incentives as a broader term/issue, ina drive uchumi kukuwa kwasababu watu watawekeza because of that(incentives).

Lakini kama unazungumzia incentives za kufanya kazi, basi ni mishahara, bonuses nk. So hizo ni different perspectives.

However hapa, the latter siyo the main issue, since there aint no jobs, mainly due to the fact kuwa there aint no incentives economicwise for people to invest, hence less job creations.
 
Economic incentives as a broader term/issue, ina drive uchumi kukuwa kwasababu watu watawekeza because of that(incentives).

Lakini kama unazungumzia incentives za kufanya kazi, basi ni mishahara, bonuses nk. So hizo ni different perspectives.

However hapa, the latter siyo the main issue, since there aint no jobs, mainly due to the fact kuwa there aint no incentives economicwise, hence less job creations.

Job creation nayo ni challenge kubwa. Kwa vioongzi wetu njie pakee wanayotegemea ni Uwekezaji tena wa nje. Na serikali amabayo ndiyo muajiri mkubwa kuna shemu nyigine kuna watu wafanyakazi wengi zaidi ya mahitaji na mbaya zaidi smometime perfomence haiendani na idadi.

Ebu tuambiane katika local level
  • How can job be created.
  • Ni jukumu la nani kutengeza ajira. ( Kila mwanamanchi ,viongozi, serikali, wenye uwezo)
 
Nitakujibu kwa kutumia numerali kama ulivyofanya kwenye swali lako...

1)Katika mjadala huu, status quo ni the same kama vile ambavyo ingekuwa kwenye mjadala wowote ule, means same shit different day, nuttin new! Kwetu sisi na Afrika kwa ujumla viongozi ni wale wale wenye sera zile zile na huku sisi tukitegemea matokeo ya tofauti.

2)Afrika ni Afrika tu! Hata mwaka 1885 ilipogawanywa kwa European super powers ilikuwa ni Afrika.Kwa hiyo impact either ni ya colonisation slavery, you name it, ni ya Afrika.So sishangazwi na mataifa ya Afrika kuwa almost the same.


Jmushi,

1.) Kwa mujibu wa jibu lako la kwanza hata wale wanaong'ang'ania kuwa matatizo yetu yanatokana na matatizo ya uongozi nao wana-maintain status quo. Kwa sababu kuna issues nyingi kama vile identity. Chukua Ivory Coast. Ndio ilikuwa inasifiwa na nchi za Magharibi kwa maendeleo. Lakini wakahamua kupigana vita vya ndani kwa sababu zinazoeleweka au kutoeleweka.

2.) Kuna matatizo yaliosabisha kukwama kwa maendeleo ya Africa kabla utumwa na ukoloni. Kama yasingekuwepo matatizo hayo, Africa ingekuwa na maendeleo kabla ya 1885. Je ni matatizo gani hayo? DNA, Magonjwa, utamaduni, au dini?
 
Back
Top Bottom