Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Job creation nayo ni challenge kubwa. Kwa vioongzi wetu njie pakee wanayotegemea ni Uwekezaji tena wa nje. Na serikali amabayo ndiyo muajiri mkubwa kuna shemu nyigine kuna watu wafanyakazi wengi zaidi ya mahitaji na mbaya zaidi smometime perfomence haiendani na idadi.

Ebu tuambiane katika local level
  • How can job be created.
  • Ni jukumu la nani kutengeza ajira. ( Kila mwanamanchi ,viongozi, serikali, wenye uwezo)
Jobs can be created through policies and implementations.
 
Economic incentives as a broader term/issue, ina drive uchumi kukuwa kwasababu watu watawekeza because of that(incentives).

Lakini kama unazungumzia incentives za kufanya kazi, basi ni mishahara, bonuses nk. So hizo ni different perspectives.

However hapa, the latter siyo the main issue, since there aint no jobs, mainly due to the fact kuwa there aint no incentives economicwise for people to invest, hence less job creations.

Jmush1,

Ingawaje unatafuta tofauti. Vitu vyote ulivyovitaja hapo juu viko inter-related. Chukua mfano huu. Kwa nini kwenye nchi zenye high level of job creation or very low unemployment rate, mishahara na bonus zinakuwa kubwa?
 
Jmush1,

Ingawaje unatafuta tofauti. Vitu vyote ulivyovitaja hapo juu viko inter-related. Chukua mfano huu. Kwa nini kwenye nchi zenye high level of job creation or very low unemployment rate, mishahara na bonus zinakuwa kubwa?
Sikutafuta utofauti, ila ulikuwepo, "economic incentives" uliitumia kwa namna ya tofauti.

Kuhusiana na mishahara na bonus kubwa kwenye nchi both masikini na tajiri, hilo lisikushangaze, kwani hujui pia kuna watu wanaishi kwenye nchi masikini lakini maisha yao ni ya hali ya juu zaidi ya tajiri wa nchi tajiri?
 
Sikutafuta utofauti, ila ulikuwepo, "economic incentives" uliitumia kwa namna ya tofauti.

Kuhusiana na mishahara na bonus kubwa kwenye nchi both masikini na tajiri, hilo lisikushangaze, kwani hujui pia kuna watu wanaishi kwenye nchi masikini lakini maisha yao ni ya hali ya juu zaidi ya tajiri wa nchi tajiri?

Jmush1,

Wow, I didn't expect this from you. The number of well to do Tanzanians per capital is insignificant even though they exist.
 
Jmush1,

Wow, I didn't expect this from you. The number of well to do Tanzanians per capital is insignificant even though they exist.
Their number might be insignificant, but the percentage of the nation's wealth they they posses might be significant in whatever terms you're reffering to.

Mkuu, income inequality inaathiri zaidi nchi masikini.
 
Job creation nayo ni challenge kubwa. Kwa vioongzi wetu njie pakee wanayotegemea ni Uwekezaji tena wa nje. Na serikali amabayo ndiyo muajiri mkubwa kuna shemu nyigine kuna watu wafanyakazi wengi zaidi ya mahitaji na mbaya zaidi smometime perfomence haiendani na idadi.

Ebu tuambiane katika local level
  • How can job be created.
  • Ni jukumu la nani kutengeza ajira. ( Kila mwanamanchi ,viongozi, serikali, wenye uwezo)
Labda mimi nichangie kidogo kulingana na jinsi navyofahamu na mtazamo wangu.
Kwanza kabisa ni lazima tu identify Mahitaji yetu kisha ili tuyakidhi mahitaji hayo tunahitaji misingi na nguzo zipi, kishwa tujenge policies zinazowezesha ujenzi wake ili tupate kuzalisha vitu vinavyokidhi mahitaji hayo. Huwezi kufikiria kuongeza ajira nchini ikiwa swala kubwa lkama umeme na maji ni shida. Huwezi kufikiria kuongeza ajira ilwa Elimu na Afya huvipi umuhimu zaidi ya kubakia kwenye makabrasha..

Kitu anachozungumziia Nyani Ngabu kuhusiana na DNA, hakipo isipokuwa sisi waafrika kwa ujumla wetu hatuna MAHITAJI ya maendeleo zaidi ya fikra au niseme ile mentality ya kuiga. Kama tungekuwa kweli tunathamini nguvu ya maji na umeme ktk kukuza uchumi wa nchi basi leo hii nchi nzima ingekuwa na umeme au maji kabla hata ya kufanya mengineyo. Lakini SHIDA na uhaba wa vitu imekuwa utamaduni wetu (umaskini) ambao hatuoni sababu ya kubwa ya maendeleo zaidi ya kujikimu na shida hizo siku hadi siku (day by day).

Hata Yule Simba wa Serengeti angekuwa akiishi Ulaya basi angejifunza kula na kuwinda wakati wa Spring hadi Fall (Autum) na kuweza kujichimbia wakati wa winter na mwili wake ku hibernate. Na kwa jinsi hiyo mnyama anayeishi Iceland au Yellow Knife ataonekana ana akili zaidi ya huyu wa Serengeti iwe ktk mawindo na hata ujenzi wa hifadhi (nyumba). Tofauti za mazingira ndizo sababu ya activeness ya viumbe wake, na imetokea kwamba sisi waafrika tunaoishi karibu na Tropical ndio tunaonekana tuko nyuma sana kuliko mataifa mengineyo maana sii joto sana wala baridi na hivyo tume jilimit ktk mahitaji..

Ni jukumu letu sote, toka serikali, viongozi na wananchi kwa nafasi zetu kutambua kwanza NECESSITIES na kisha kutumia fursa zilizopo kuunda policies zitakazo tuwezesha kukidhi mahitaji hayo. Innovation sio Ubunifu bali uwezo wa kuboresha huduma au services zilizopo ambazo zimeshindwa kukidhi mahitaji hayo iwe hata Umeme. Sasa tunapobishana juu ya umeme ilihali mazinira yetu yana Upepo mkubwa sehemu za Singida, tuna jua kali masaa 12 kwa siku, tuna makaa ya mawe na kadhalika lakini inachukua miaka 50 tumeshindwa kabisa kuboresha nguvu hizi wakati mahitaji yake yamezidi mara 100. Inabidi sisi kujiuliza uwezo wetu ktk kufikiri na hasa umakini wetu wa kukidhi mahitaji haya.

Mbali kabisa na utumwa wa fikra nadhani pia IMANI zetu za dini zimevuka kiwango cha kuamini tunafanya kufuru au bado kabisa tamaduni na mila za zetu zinachukua nafasi kubwa ktk maamuzi yetu. Kwa sababu haiwezekani watu wanakufa kwa malaria kila mwaka sii chini ya millioni lakini hadi leo hatuna kinga wala kuandaa mazingira ambayo yatazuia mbu hawa kuzaana ila jibu kubwa ni KAZI YA MUNGU, bwana ametupa bwana ametwaa!. Kwa hiyo tunaendeleza utamaduni wa kushughulikia kitu kinapokuwa epidemic kwa kusema ni kazi ya Mungu...Utamaduni wa maintanance hatuna unakuta mtu bomba la maji linavuja mtu anafunga na mpira hadi siku litakapo haribika kabisa beyond repair..

Kwa hiyo Job creation inatakiwa sisi tuthamini vitu vyetu, tujithamini sisi wenyewe kwa kuyapenda maendeleo na sio kujaribu kuiga tuonekane tunapendeza kama wazungu au Ulaya.. Let's start with ourselves, tubadilike na kuwekea mkazo mkubwa ktk ELIMU, AFYA, MAJI na UMEME vitu vingine vitajipanga tu kutokana na mahitaji yatakayo jitokeza.
 
Jobs can be created through policies and implementations.

Nadhani upande wa policy tanzania inaweza kuwa na policy nzuri zaidi katika afria mshariki lakini je zinatekeezeka??? na ziko realisitic. Nakubaina na wewe ila naona tuna tatizo kwenye Implimentation

Sasa sometime inashangaza Mradi fuani wa waizara ya kilimo resouces zake nyingi (kama magari na watendaji ) ziko stationed Dar!!!!!!!

Hivi hapo kweli kuna kilimo kwanza?? VX 10 za agriculture extension project ziko dar moja ndio Iko rukwa au iringa. Meneja mradi na watedaj wakuu wanakula posho kwa maproposal kwa mgongo wa wa mikoa ya big four hawajui hata vumbi la rukwa ikoje........
 
Kwa hiyo Job creation inatakiwa sisi tuthamini vitu vyetu, tujithamini sisi wenyewe kwa kuyapenda maendeleo na sio

Nakubaina na wewe mkandara . tatizo ni pale wanasiasa na viongzoi wanaotaikiwa kuwa mfano wanapokuwa mabingwa wa kuyasema haya bila wao kunyesha vitendo.

Mifano
  • Niliangalia ile picha ya Ikulu JK akikutana na vingozi wa vyama mbai mbali kuhusu katiba nikawa najiuliza humo ndani ya kile chumba what is made in Tanzania. Nilipenda kujua japo ilee michro ya ukutani ni ya nani Lakini sijafaniiwa kujua. Tusishangae hata carpet ya Ikuu itoke china lakini hata paniting au kinyago nacho kinatoka Italy??????? then wanakuja wanasias a wanasea tupende bidhaa zetu. Au watasema vinyago vya kitaznaia havina quality ya kukaa ikulu. Au hakuna muhunzi ,mchoraji Tanzania...


  • Huwa najiuliza vipi kia mbunge akiamua kuwa mfano ,katika seti zake za viatu kwa mwaka moja au mbii azichongeshe kwa mkono kwa mafundi wa mtaani . au vipi katika suti anazovaa Mheshimiwa Ziitto Au January au Dr Dslaa Au Kikwete tusikie baadhi zimetengenezwa na Khadija mwanamboka na sio za Italy.........



  • Huko nyumna pia nimetaja tatizo la kutopendea viwanda au watu wa nyubani. Samani za ikulu zinatoka "China" au Uaya za wizarani nazo hivyo hivyo .... Lakini hata samani za Ofisi ya Mkuu wa wilaya nazo zitoke china ?????? Hapa sasa ndio vingozi wetu wanatakiwa kungalia kulazimisha kuwa tender fulani katka eve fuanii tazame local made product. Hiiz ni baadhi ya sera chache za kukuza ajira. Nilitoea mfano wa Mkoa wa Tabora. Mheshimwa Sita ambaye mkoa wake una miti na mbao anaamua kunua viti hata chakuaia wageni kutoka dar na dar wanaagiza kutoka china. So vijanawa mkoa wa taora kazi yao ni kubeba tu maboksi ya vitu hivyo. Sasa mtu ofisi hitumiii hata kwa siku 60 kwa mwaka kwa nn japo asingesema moja ya kikundi kinachotengeza samani tabora ndio kisuppy vifaa vya samani ofisni kwangu . Au tender haiwezekani kushindanisha viwanda vidogo vidogo. Huu mfano ni Kwa wabunge wote.

Lakini Kwa majibu mepesi huwa tumaambiwa Ni quality......... Na mwansiasa gani yuko tayari achongeshe japo kiatu kwa mangi au ashoneshe suti kwa Mtanzania .........
 
Nadhani upande wa policy tanzania inaweza kuwa na policy nzuri zaidi katika afria mshariki lakini je zinatekeezeka??? na ziko realisitic. Nakubaina na wewe ila naona tuna tatizo kwenye Implimentation

Sasa sometime inashangaza Mradi fuani wa waizara ya kilimo resouces zake nyingi (kama magari na watendaji ) ziko stationed Dar!!!!!!!

Hivi hapo kweli kuna kilimo kwanza?? VX 10 za agriculture extension project ziko dar moja ndio Iko rukwa au iringa. Meneja mradi na watedaj wakuu wanakula posho kwa maproposal kwa mgongo wa wa mikoa ya big four hawajui hata vumbi la rukwa ikoje........
Watu wanadhani mfumo wa uongozi hauna role kubwa zaidi kwenye kuleta maendeleo, binafsi, naamini kabisa kuwa wakuu wa mikoa na hata wale wa wilaya wanatakiwa wawe wanachaguliwa na wananchi, wawe ni watu waliotokana na wananchi, watu watakaofanya kazi na wananchi, na watu watakaokuwa accountable kwa wananchi na si Rais kama ilivyo sasa ambapo ni kama mfumo wa kisultani ukiangalia namna nafasi hizo zinavyotolewa, mfumo wetu wa uongozi haufai, ndo maana tuna matazamio mapya yatakayotokana na katiba mpya.
 
Kitu kingine sisi hatuna 'a can do spirit/ attitude'.
Hatuna ujasiri wa kuthubutu kujaribu kufanya makubwa. Tunaogopa kujaribu kufanya ambayo hatujawahi kufanya.
Hatuchukui risks - na bila kuchukua risk kuna mambo mengi yatatupita.
Bila kubadili mental attitude we will continue to wallow in poverty and misery for many generations ahead.
 
Nakubaina na wewe mkandara . tatizo ni pale wanasiasa na viongzoi wanaotaikiwa kuwa mfano wanapokuwa mabingwa wa kuyasema haya bila wao kunyesha vitendo.

Mifano
  • Niliangalia ile picha ya Ikulu JK akikutana na vingozi wa vyama mbai mbali kuhusu katiba nikawa najiuliza humo ndani ya kile chumba what is made in Tanzania. Nilipenda kujua japo ilee michro ya ukutani ni ya nani Lakini sijafaniiwa kujua. Tusishangae hata carpet ya Ikuu itoke china lakini hata paniting au kinyago nacho kinatoka Italy??????? then wanakuja wanasias a wanasea tupende bidhaa zetu. Au watasema vinyago vya kitaznaia havina quality ya kukaa ikulu. Au hakuna muhunzi ,mchoraji Tanzania...


  • Huwa najiuliza vipi kia mbunge akiamua kuwa mfano ,katika seti zake za viatu kwa mwaka moja au mbii azichongeshe kwa mkono kwa mafundi wa mtaani . au vipi katika suti anazovaa Mheshimiwa Ziitto Au January au Dr Dslaa Au Kikwete tusikie baadhi zimetengenezwa na Khadija mwanamboka na sio za Italy.........



  • Huko nyumna pia nimetaja tatizo la kutopendea viwanda au watu wa nyubani. Samani za ikulu zinatoka "China" au Uaya za wizarani nazo hivyo hivyo .... Lakini hata samani za Ofisi ya Mkuu wa wilaya nazo zitoke china ?????? Hapa sasa ndio vingozi wetu wanatakiwa kungalia kulazimisha kuwa tender fulani katka eve fuanii tazame local made product. Hiiz ni baadhi ya sera chache za kukuza ajira. Nilitoea mfano wa Mkoa wa Tabora. Mheshimwa Sita ambaye mkoa wake una miti na mbao anaamua kunua viti hata chakuaia wageni kutoka dar na dar wanaagiza kutoka china. So vijanawa mkoa wa taora kazi yao ni kubeba tu maboksi ya vitu hivyo. Sasa mtu ofisi hitumiii hata kwa siku 60 kwa mwaka kwa nn japo asingesema moja ya kikundi kinachotengeza samani tabora ndio kisuppy vifaa vya samani ofisni kwangu . Au tender haiwezekani kushindanisha viwanda vidogo vidogo. Huu mfano ni Kwa wabunge wote.

Lakini Kwa majibu mepesi huwa tumaambiwa Ni quality......... Na mwansiasa gani yuko tayari achongeshe japo kiatu kwa mangi au ashoneshe suti kwa Mtanzania .........
Unayoyasema ni kweli kabisa maana tunachojaribu sisi kufanya ni kujibadilisha kuwa kama wazungu. Na ndio maana tunahitaji vitu vyao vilivyotengenezwa kwa mahitaji yao kwanza na kama unakumbuka Tommy Hilfiger aliwahi kusema sikutengeneza nguo zangu kwa ajili ya watu weusi, watu wakamchukuia sana na kuanza kampeni za kutovaa nguo zake lakini wakanunua za Keneth Cole mzungu mwingine..

Kuhusu viongozi wetu mimi nadhani kwa ujumla wetu hatuna Uzalendo..Hatujui kuthamini vyetu na ningependa sana kuwauliza swali moja - Ni sababu gani viwanda vyetu vilikufa? sitopenda majibu ya kulaumu Nyerere na siasa za Ujamaa na Kujitegemea kwa sababu viwanda haviwezi kufa kutokana na mfumo. Vingekufa China, Urusi na Cuba kabla yetu lakini wao ndivyo vinavyoendesha uchumi wao hadi leo hii. Tena Cuba wanazo gari za Kimarekani zilizotengenezwa mwaka 1934 na zipo barabarani hadi leo wakati Marekani penyewe hawana.

Mfano mdogo tu tazama Tanganyika Packers, hawa waliweza kuchinja nyama wakazisambaza na hata kusindika nyama za makopo beef tukaziuza hadi nchi za nje. Leo kiwanda hicho sio tu kimekufa bali hadi mitambo yake imekufa kabisaa beyond repair. Sii UDA, UFI, TanGold, viwanda vya nguo, na hata kiwanda cha viatu kilichoitwa Bora sio kiwanda tena kwa hadhi hata ile waliyokiuza. What went wrong!.. na kwa nini tuliubali vife ilihali viliweza kukidhi mahitaji yetu muhimu japokuwa sii kwa standard ama grade ya juu.

Mashirika na viwanda vyote tulivyouza vimekufa hata baada ya kuingia Ubepari. wakati wa Nyerere tulikuwa na asilimia 20 ya wafanyakazi, leo hii hatufiki hata hiyo asilimia 20 kutokana na kufa kwa viwanda vyetu wenyewe. Je, nini sababu ya kufa kwa viwanda nchini kiasi kwamba imeathiri hata uzalishaji wa Pamba, Katani na mazao mengine ya biashara na chakula. Nadhani hatuwezi ku create kazi mpya wakati hatujui kwa nini tulia kazi zilizokuwa created before.
 
Their number might be insignificant, but the percentage of the nation's wealth they they posses might be significant in whatever terms you're reffering to.

Mkuu, income inequality inaathiri zaidi nchi masikini.

Which income inequality are you talking about? Are you talking internal income inequality between people of the same nation, or inequality between nations?

If you are talking about the former, in 70s and 80s, Tanzania tried to distribute national wealth proportionally, but the exercise didn't work out as plan. So don't blame it for your country's misfortunes.
 
.............................
na hata kiwanda cha viatu kilichoitwa Bora sio kiwanda tena kwa hadhi hata ile waliyokiuza. What went wrong!.. na kwa nini tuliubali vife ilihali viliweza kukidhi mahitaji yetu muhimu japokuwa sii kwa standard ama grade ya juu.

Mkandara umesema Bora niekumbuka design moja ya raba ilienda kwa jina a DH (Hope wanajamvi mnazikumbuka) . Wakati bora wakitoa Hizi DH watu/wanafuzni waliozivaa walichekwa. Na zilipewamajina ya kebehi... . Miaka 20 baadae Bora imekufa (Sijui kenya kama BATA bado ipo) RaBa za design ya DH sasa ukivaa wewe ni kati ya "wajanja". Just because may be zinatoka nje .

Who know may be hata patent ya "DH" asili yake ni africa kama Si tanzania lakini sabau hatukuthamini Idea zetu ndio wanachukua na kutuuzia

Na kwenye soko huria hili tumekaririshwa neno ubora kama moja kigezo kutufanya tudisqualify vya kwetu kirahisi
 
Kitu kingine sisi hatuna 'a can do spirit/ attitude'.
Hatuna ujasiri wa kuthubutu kujaribu kufanya makubwa. Tunaogopa kujaribu kufanya ambayo hatujawahi kufanya.
Hatuchukui risks - na bila kuchukua risk kuna mambo mengi yatatupita.
Bila kubadili mental attitude we will continue to wallow in poverty and misery for many generations ahead.

NNg,

Kila taifa lina national spirit yake. Na hiyo spirit inatokana na viongozi wa mwanzo. Watanzania tulianza na siasa, na matokeo yake kila mtu anajua porojo.
 
Kitu kingine sisi hatuna 'a can do spirit/ attitude'.
Hatuna ujasiri wa kuthubutu kujaribu kufanya makubwa. Tunaogopa kujaribu kufanya ambayo hatujawahi kufanya.
Hatuchukui risks - na bila kuchukua risk kuna mambo mengi yatatupita.
Bila kubadili mental attitude we will continue to wallow in poverty and misery for many generations ahead.

NN mfano u re given a decision kuchagua One risk tanzaia should take na ifanyiwe kazi . Itakuwa ni ipi hiyo...
 
Mkandara umesema Bora niekumbuka design moja ya raba ilienda kwa jina a DH (Hope wanajamvi mnazikumbuka) . Wakati bora wakitoa Hizi DH watu/wanafuzni waliozivaa walichekwa. Na zilipewamajina ya kebehi... . Miaka 20 baadae Bora imekufa (Sijui kenya kama BATA bado ipo) RaBa za design ya DH sasa ukivaa wewe ni kati ya "wajanja". Just because may be zinatoka nje .

Who know may be hata patent ya "DH" asili yake ni africa kama Si tanzania lakini sabau hatukuthamini Idea zetu ndio wanachukua na kutuuzia

Na kwenye soko huria hili tumekaririshwa neno ubora kama moja kigezo kutufanya tudisqualify vya kwetu kirahisi


Bata bado hipo hata Kenya. Baada ya vita vya pili vya dunia na Czechslovakia kuwa chini ya wakomunisti, Bata alihamua kununua mitambo ya zamani ya kutengeneza vitabu na kuja huku kweli kuanzisha biashara.

Serikali ya Tanzania ilipohamua kufuata ujamaa ilitaifisha viwanda vya Bata na kuwa Bora. Lakini kutokana na poor investment ambayo serikali iliweka katika kiwanda cha bora, mitambo ilishindwa kufanya kazi vizuri.

Niliwahi kufanya industrial training kwenye kiwanda cha bora pale Pugu Road, na mambo hayakuwa mazuri.

Hivyo biashara ya viatu ilikufa sio kwa sababu watanzania walikuwa hawataki viatu, bali kulikuwa hakuna business model yenye kuweza kufanya kazi.
 
Unayoyasema ni kweli kabisa maana tunachojaribu sisi kufanya ni kujibadilisha kuwa kama wazungu. Na ndio maana tunahitaji vitu vyao vilivyotengenezwa kwa mahitaji yao kwanza na kama unakumbuka Tommy Hilfiger aliwahi kusema sikutengeneza nguo zangu kwa ajili ya watu weusi, watu wakamchukuia sana na kuanza kampeni za kutovaa nguo zake lakini wakanunua za Keneth Cole mzungu mwingine..

Kuhusu viongozi wetu mimi nadhani kwa ujumla wetu hatuna Uzalendo..Hatujui kuthamini vyetu na ningependa sana kuwauliza swali moja - Ni sababu gani viwanda vyetu vilikufa? sitopenda majibu ya kulaumu Nyerere na siasa za Ujamaa na Kujitegemea kwa sababu viwanda haviwezi kufa kutokana na mfumo. Vingekufa China, Urusi na Cuba kabla yetu lakini wao ndivyo vinavyoendesha uchumi wao hadi leo hii. Tena Cuba wanazo gari za Kimarekani zilizotengenezwa mwaka 1934 na zipo barabarani hadi leo wakati Marekani penyewe hawana.

Mfano mdogo tu tazama Tanganyika Packers, hawa waliweza kuchinja nyama wakazisambaza na hata kusindika nyama za makopo beef tukaziuza hadi nchi za nje. Leo kiwanda hicho sio tu kimekufa bali hadi mitambo yake imekufa kabisaa beyond repair. Sii UDA, UFI, TanGold, viwanda vya nguo, na hata kiwanda cha viatu kilichoitwa Bora sio kiwanda tena kwa hadhi hata ile waliyokiuza. What went wrong!.. na kwa nini tuliubali vife ilihali viliweza kukidhi mahitaji yetu muhimu japokuwa sii kwa standard ama grade ya juu.

Mashirika na viwanda vyote tulivyouza vimekufa hata baada ya kuingia Ubepari. wakati wa Nyerere tulikuwa na asilimia 20 ya wafanyakazi, leo hii hatufiki hata hiyo asilimia 20 kutokana na kufa kwa viwanda vyetu wenyewe. Je, nini sababu ya kufa kwa viwanda nchini kiasi kwamba imeathiri hata uzalishaji wa Pamba, Katani na mazao mengine ya biashara na chakula. Nadhani hatuwezi ku create kazi mpya wakati hatujui kwa nini tulia kazi zilizokuwa created before.

Mkandara and Mtazamaji,

Mkandara kwenye posti zako umesema kuwa viwanda au biashara inafanywa kuhudumia wazungu na sio sisi.

Ukweli wa statement hii unajionyesha hata kwenye viwanda ulivyotaja. UFI walikuwa wanatengeneza majembe kwa specifications zao. Hata siku moja walikuwa hawafanyi research za kuangalia mkulima anataka nini.

Wenyeji wa Mbeya na Sumbawanga walikuwa ni wazuri tu kwenye kufua chuma. Na nakumbuka UFI ilishindwa kupata soko kwenye mikoa hiyo kwa sababu bidhaa zao hazikuweza kushindana na local technical skills.

Bora walikuwa wanatengeneza viatu bila kujua watu wanataka nini. Kwa sababu soko lilikuwepo, wao wakaona chochote watakachotengeneza, kitanunuliwa. Kuna wakati mafundi wa viatu wa mikono waliweza kufanya vizuri kuliko bora.
 
Hivyo biashara ya viatu ilikufa sio kwa sababu watanzania walikuwa hawataki viatu, bali kulikuwa hakuna business model yenye kuweza kufanya kazi.
Mada nzuri sana hii
Hapana nadhani unachosema weweni sehemu ya tatizo . Hata mimi nakumbuka kama aivyosema mtazamaji ulikuwa ukivaa product ya Bora unachekwa. Sasa hiyo sio tatizo la businesss model ni perception ya bidhaa zetu nayo iliichangia.
 
Mada nzuri sana hii
Hapana nadhani unachosema weweni sehemu ya tatizo . Hata mimi nakumbuka kama aivyosema mtazamaji ulikuwa ukivaa product ya Bora unachekwa. Sasa hiyo sio tatizo la businesss model ni perception ya bidhaa zetu nayo iliichangia.

Hiyo perception ni zao la brainwashing
 
Back
Top Bottom