mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Huyo jamaa aliyeimba mwanzo anaitwa nani?bado yupo hai?kama unamjua jina nitajie.Anaonekana alikuwa mhamasishaji mzuri sanaHistoria inasema Maréchal papa Mobutu wa iliyokuwa Zaire ambayo sasa ni DR Congo alipenda kila alipo au alipoenda azungukwe na umati, bendi, sarakasi, kwaya na kazi zote zisimame kwa siku hiyo aliyokuwa ana tukio au ziara huku chama chake cha Mapinduzi MPR kilihakikisha nchi inasimama kwa attention yote ielekee kwa bwana mkubwa mfalme wa machifu wote wa Zairoise video clip inaonesha hapa chini
Yeye kaona anahujumiwa ili hali sisi tunapomuuliza maswali mustakabali wa kero zetu anatuuelekeza tukawaambie wa chini yake, kwani sisi hatujawaona hao wa chini yake? Kwaiyo kaona lake halijawekwa sawa ndio anaropoka.Vip kuhusu matatizo yetu? Tunapomueleza afu anayatupa kapuni ww kwa ubongo wako ni sawa?Mbona Magufuli alikua anayatatua hapo kwa papo kama linahusiana na mahakama anampa mtu wa mahakama aliangalie kwa haki.Hili si suala la wanawake, marais wote wa Tanzania wameuza sura.
Na kwa kweli, kuuza sura ni sehemu ya kazi ya urais.
Wanasheria wana msemo wao kwamba haki si tu ifanyike, bali pia ionekane kwamba imefanyika.
Kwenye siasa nako ni hivyo hivyo, watu wana haki ya kikatiba ya kujulishwa habari za uongozi wa nchi yao.
Kwa hivyo, kwa upande fulani, rais asiyejali image ni rais asiyejua kazi yake.
Ila, kuna namna ya ku handle image bila ya kufanya habari ya image iwe ina derail mazungumzo.
Samia kashindwa kuweka proportion, inaonekana kuwa anakereka sana na anavyosemwa, na hana kifua cha kupuuzia maneno asiyajibu wakati hapohapo anayafanyia kazi.
Kwenye kujali image ni sawa rais kujali image. Na marais wote wamekuwa so careful kwenye image.
Iko hivi, huo umati zaidi ya 70% wanahudhuria kwa vitisho na shuruti,na hao wapiga picha wanajua ni umati wa mchongo. Kwanini wapige picha za kuhadaa umma kwa umati wa kulazimisha?Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha wazi kutoridhika na utendaji kazi wapiga picha walioko kwenye msafara wake kwa kushinda kupiga picha nzuri zinazoonyesha umati wa watu wanaofika kumpokea.
Rais Samia akiwa Njombe amelazimika kuwaagiza wapiga picha kupanda juu ya magari ili waweze kuchukua picha za umati wa watu na kuzifikisha kwenye umma ili kuondoa uzushi unaosambazwa kwenye mitandao kwamba mikutano yake haina watu wanaokwenda kumpokea zaidi ya maafisa wa Serikali tu.
"Watu wa kamera pandeni juu ya gari chukueni huu umati wa watu labda hawawaoni ndio maana wanaandika na kila mkifika kila kituo chukueni umati wa watu" amesema Rais Samia.
Sote tunajiuliza iweje hao wapiga picha washindwe kutekeleza majukumu yao hadi kufikia hatua ya Mkuu wa nchi kuwalalamikia kwamba wanashindwa ku Cover mikutano yake vizuri.
Je tukisema wapiga picha hao wanaendesha hujuma nzito dhidi ya ziara za Rais ili aonekane kwenye umma hapokelewi na watu wa kutosha au tutakuwa tumekosea?
Mnaofahamu zaidi tuambizane.
Chuki mchukieni HAKI YAKE MPENI!Mh Rais mama Samia Alipokelewa kwa shangwe Sana huku mkoani Mbeya Tangia aliposimama katika mji wa Mbalizi, kwa kuwa wananchi wanamkubali Sana na wanamuunga mkono
Hujuma za waziwazi hizi wako ambao wanaumia kweli juu ya urais wa MH. SAMIA, alipaswa kubadilisha timu yote ya mwendazake mara moja, ndio wanaohujumu kwani hamfahamu katika ziara za namna hii hapo baadae hupunguza UGUMU wa kampeni maana mama anakwenda kila chochoro nyanda za juu kusini huku akifungua miradi mingi kweli tena mizito lakini maredioni hatuoni zile taarifa zilizotufikia wakati huu kama ilivyokuwepo wakati hule.
Mh Rais mama Samia Alipokelewa kwa shangwe Sana huku mkoani Mbeya Tangia aliposimama katika mji wa Mbalizi, kwa kuwa wananchi wanamkubali Sana na wanamuunga mkono
Kwani huko kampeni zimeanza mpaka mtu kutaka kuwe na nyomi?Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha wazi kutoridhika na utendaji kazi wapiga picha walioko kwenye msafara wake kwa kushinda kupiga picha nzuri zinazoonyesha umati wa watu wanaofika kumpokea.
Rais Samia akiwa Njombe amelazimika kuwaagiza wapiga picha kupanda juu ya magari ili waweze kuchukua picha za umati wa watu na kuzifikisha kwenye umma ili kuondoa uzushi unaosambazwa kwenye mitandao kwamba mikutano yake haina watu wanaokwenda kumpokea zaidi ya maafisa wa Serikali tu.
"Watu wa kamera pandeni juu ya gari chukueni huu umati wa watu labda hawawaoni ndio maana wanaandika na kila mkifika kila kituo chukueni umati wa watu" amesema Rais Samia.
Sote tunajiuliza iweje hao wapiga picha washindwe kutekeleza majukumu yao hadi kufikia hatua ya Mkuu wa nchi kuwalalamikia kwamba wanashindwa ku Cover mikutano yake vizuri.
Je tukisema wapiga picha hao wanaendesha hujuma nzito dhidi ya ziara za Rais ili aonekane kwenye umma hapokelewi na watu wa kutosha au tutakuwa tumekosea?
Mnaofahamu zaidi tuambizane.
Hapo wanamuombea aishi milele 🤣Historia inasema Maréchal papa Mobutu wa iliyokuwa Zaire ambayo sasa ni DR Congo alipenda kila alipo au alipoenda azungukwe na umati, bendi, sarakasi, kwaya na kazi zote zisimame kwa siku hiyo aliyokuwa ana tukio au ziara huku chama chake cha Mapinduzi MPR kilihakikisha nchi inasimama kwa attention yote ielekee kwa bwana mkubwa mfalme wa machifu wote wa Zairoise video clip inaonesha hapa chini
Hakika Hali yake ya kumpongeza na kumtia moyo Tunampatia mh RAIS wetu Mama Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa afanyazo kututumikia wananchi wake, sisi vijana tunaendelea kumuunga mkono Rais wetuChuki mchukieni HAKI YAKE MPENI!
Hapo wanamuombea aishi milele 🤣
Ils pensaient que le maréchal Mobutu est immortel.Voilà
Ngoja kwanza nipige nduru!Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha wazi kutoridhika na utendaji kazi wapiga picha walioko kwenye msafara wake kwa kushinda kupiga picha nzuri zinazoonyesha umati wa watu wanaofika kumpokea.
Rais Samia akiwa Njombe amelazimika kuwaagiza wapiga picha kupanda juu ya magari ili waweze kuchukua picha za umati wa watu na kuzifikisha kwenye umma ili kuondoa uzushi unaosambazwa kwenye mitandao kwamba mikutano yake haina watu wanaokwenda kumpokea zaidi ya maafisa wa Serikali tu.
"Watu wa kamera pandeni juu ya gari chukueni huu umati wa watu labda hawawaoni ndio maana wanaandika na kila mkifika kila kituo chukueni umati wa watu" amesema Rais Samia.
Sote tunajiuliza iweje hao wapiga picha washindwe kutekeleza majukumu yao hadi kufikia hatua ya Mkuu wa nchi kuwalalamikia kwamba wanashindwa ku Cover mikutano yake vizuri.
Je tukisema wapiga picha hao wanaendesha hujuma nzito dhidi ya ziara za Rais ili aonekane kwenye umma hapokelewi na watu wa kutosha au tutakuwa tumekosea?
Mnaofahamu zaidi tuambizane.
Je suis d'accordIls pensaient que le maréchal Mobutu est immortel.
Huyo jamaa aliyeimba mwanzo anaitwa nani?bado yupo hai?kama unamjua jina nitajie.Anaonekana alikuwa mhamasishaji mzuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app