nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
Rombo ArushaRombo ni wilaya ya kwanza tz vijiji vyake vyote kuwa na umeme 100%.
Rombo Hakuna nyumba ya nyasi hata moja ,route za mabasi ya mikoan kuja ROMBO ni nyingi mno hii inaashiria mzunguko mkubwa wa pesa.
- Rombo_dodoma(shabiby)
- Rombo mwanza(mghamba)
- Rombo moro (Bm)
- Rombo singida(mtei exp)
- Pia bus za ROMBO Dar Ni zaidi ya 10
Hao Masingle maza uliwaacha salama kweli?vijana wa rombo ni wavivu ,dada zao ni mama huruma,yaani hawa si wachoyo kabisa ukimuomba anakupa bila shida mahaba. Ukioa kule basi kuchapiwa lazma maana kujipendekeza wanaongoza.suala la ulevi rombo sijui tatizo n nn,aise rombo wanatisha.wanawake wengi wa rombo ni ma single maza,nadhani kwa u single mother. Rombo wanaongoza,sijui inshu ni huu ulevi au tatizo ni Nini!
Unataka useme mmeizidi Wilaya ya Ilala kwa Hospital?Nimetembea nchi nzima,nambie ni mkoa upi wilaya zake zina hospitali Zaid ya moja na uzitaje kama nilivyotaja
Huku Rombo ukija kama huna hela tutakukata vibao... Ombaomba toka Dodoma huku ni mwiko!Wewe kitimoto tulia.
Nakuja huko Rombo ili nione uthibitisho wa huu uongo wenu maana wachagga ni mabingwa wa kujimwambafai.
Niko hapa Rombo, hakuna kitu.Huku Rombo ukija kama huna hela tutakukata vibao... Ombaomba toka Dodoma huku ni mwiko!
Nitajie Gari inayofanya ruti ya kahama kwenda dodoma or dodoma kwenda kahamaHow about Kahama? Kahama wanaruti nyingi za mikoani hiyo Rombo cha mtoto
Wewe kumbe haunazo kabisa,majumba ya wachaga yapo vijijin huko tembelea vijijin ujionee,nipatie picha za ulikotembeleaNiko hapa Rombo Mkuu, ni pa kawaida mnoooo.
Unapiga picha za hapa na pale huko Tarakea halafu unaleta stori za uongo humu.
Hivi hapa Rombo utaita ni mjini kweli ???
Tena nimegundua wewe mwenyewe hujawahi kufika Rombo.
Nimepita Same, Mwanga, Moshi na sasa Rombo yaani ukiacha Moshi mjini, Kilimanjaro hakuna maajabu.
Hahaha umemjibu mubasharaMaduka ya madawa yanawekwa sehemu ambazo watu wanaugua marakwa mara sasa utafungua duka la dawa sehemu ambayo watu wake hawaumwi utakua mgonjwa wa akili
Sawasawa kagera wanafunzi wetuWilaya ya muleba mkoani kagera ina hospital nne
Rubya hospital
Kagondo hospital
Ndolage kamachumu hospital
Izimbya hospital
Wilaya ya bukoba kagera
Bukoba district hospital
Bukoba council hospital
bukoba regional hospital
Cosad hospital
ndolage bukoba hospital
Wilaya ya misenyi kagera
mugana hospital
kajunguti hospital
Misenyi district hospital
Kagera sugar hospital
Nk mk.
Kimsingi mkoa wa kagera wilaya zote zina hospital zaidi ya moja
Sasa kama hawaugui waende kushangaa wodi auLabda ni uhitaji maana lazima vituo vifunguliwe kwa uhitaji kwa huko Rombo unaweza fungua vituo vya Afya vikabaki Tupu/Empty / NIL sasa sijui ni ubahili wa wachaga kwenye matibabu?...Hivi ile Hospitali ya Ngoyoni ukiacha Ile ya Mkuu nayo ina wagonjwa wengi? kwa anayefahamu..........
Weka pichaNiko hapa Rombo Mkuu, hivi hapa ndio wilayani mjini au kijijini ???
Aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa miji ya Nini? Miji si ni huko mkoani? Sisi tunadhamin vijijin Zaid,wewe ni Shahid umeona jinsi vijiji vimejaa mijumba kila Kona na mandhari sad,Huduma nyingi zipo vijijin Hakuna haja ya kwenda mjinMkuu, ni kweli Kilimanjaro kwa ujumla wamejitahidi kujenga nyumbani, ingawa majumba mengi ni empty na kupangilia miji na kutunza mazingira ila miji bado sana Mkuu.
Karibu rombo uchagani wewe,mkoa wenye makazi bora kwa 90%Mkuu nyumba mmejenga na mabanzi ya mbao yale reject unasema hamna nyumba ya nyasi
Nyumba za kisasa ni nyingi kuliko zisizo za kisasaRombo iko nyuma sana. Nyumba za miti na tope ni nyingi sana. Hali ngumu ya maisha inafanya wakazi wake kunywa pombe Kwa wingi kuondoa sonoma
Tembelea vijiji jiran tu ujionee mijumba tembea ibukoni,ikuini,kelamfua,makiidi au shimbi then unipe mrejeshoNapatikana hapa NMB au hapa Gereza Kuu.
Kahama ni Manispaa as of now.How about Kahama? Kahama wanaruti nyingi za mikoani hiyo Rombo cha mtoto
Vijana wengi kule wale ambao hawakutoka nj'e ya Rombo ni vichaa huwezi amini.Gharama za maisha inategemeana,rombo ni wilaya ya kibiashara,kule mtu anaefanya Bodaboda tu unakuta Ana maendeleo Sana,kwahyo usipochakarika utabaki unahesabu magari