nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
Rombo ArushaRombo ni wilaya ya kwanza tz vijiji vyake vyote kuwa na umeme 100%.
Rombo Hakuna nyumba ya nyasi hata moja ,route za mabasi ya mikoan kuja ROMBO ni nyingi mno hii inaashiria mzunguko mkubwa wa pesa.
- Rombo_dodoma(shabiby)
- Rombo mwanza(mghamba)
- Rombo moro (Bm)
- Rombo singida(mtei exp)
- Pia bus za ROMBO Dar Ni zaidi ya 10
Rombo Tanga