Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kuna mwanangu mmoja huku mkoa x nilifika mkoa x kumuulizia KWA jinร  lake halisi mtaa anaoishi mpaka eneo lake la kazi hawamfahamu.. inabidi nitoe maelezo jinsi alivyo ni mweusi haswa .. ndo mmoja akajibu ahaaaaaa unamuulizia mwarabu ... Niliangua kicheko. ๐Ÿ™„๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ilibidi nimuulize hapo baadae inakuwaje Mzee unajiita mwarabu akasema YEYE NI MWARABU WA NAFSI
 
Wako brainwashed tuwahurumie na kuwaombea.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukweli mchungu.
 
Kumix lugha isiyo yako wakat mwenye lugha yake hajawahi kumix na lugha yako huko ni kujipendekeza Kama hao wazenji wanavyo jipendekeza

Mnachofanya Kati yenu ni Kama mke mdogo na mke mkubwa kuoneana wivu
kiingereza lugha ya dunia hio, inatumika shuleni, chuoni, kwenye simu, computer na hata hapa jf tunaminya thanks kutoa like, reply kumjibu mtu, create thread kutengeneza post, n.k. lugha haikwepeki hii.

Hata wazanzibar hutumia kiingereza kama lugha ya pili, kiarabu lugha ya tatu
 
Swali moja muhimu sana.
Kule kwa wazungu kuna mchanganyiko(half casts). Maana yake kuna wazungu wanaoa weusi na weusi wanaoa wazungu!
Nipe nchi moja tu ya kiarabu yenye system kama hiyo!
Mwafrika aoe binti wa kiarabu? dah hapo ni shughuli pevu aisee... kiukweli waarabu ni wabaguzi sana kwenye swala la kuoana.

Labda kama una cheo kikubwa sana serikalini ama una pesa nyingi sana ndio utakubaliwa ili utumike kama ngazi.
 
Hayo yako na wengi wanaocomment humu ni mawazo ya watu wenye roho mbaya na chuki + ujinga, hivyo vitu vyote unavyovisema hapo unaongea kwa hisia za chuki, but sikulaumu sana coz ndivyo mnavyofundishwa huko badala ya kuelimika
 
Mzungu ndie kashikilia dunia, hata waarabu kwa mzungu hawana cha kusema, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Vita vya wao kwa wao vinazungumziwa dunia nzima ila ni vita ngapi za waarabu zimepita tu kama ugomvi wa uswazi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa wivu wa nn Kwa wazenji wakitaka kuwa kama waarabu si uwaache mbona upande wako wa dini yako unajifanya uko salama


Endelea kuleta shobo
 
Ni Kama mabrazamen na masista du wa huku bara tu kutwa kuchanganya kingereza na kiswahili na ukimwambia "mwanangu we mzungu sana " anaona unyama sana kumbe fala mmoja
Wote mnaojifananisha na wazungu na waarabu ni mafala tu
Tatizo letu wabara tunapenda kuwasema sana wazanzibar sijui wivu Kwa mfano mtoa mada halafu uzungu anausapot eti umekamata Dunia

Mtu nikimuona kama mtoa mada eti uzungu naona kama anahalalisha ushoga
We sky soldier tutolee ushoga wako
 
Wako brainwashed tuwahurumie na kuwaombea.

#MaendeleoHayanaChama
Na wewe uzungu uko sahihi washenzi Sana unajiona uko sawa kumbe mjinga kila mtu anachagua anapopenda mbona wao hawaanzishi nyuzi kumisema wazungu
 
takataka sana hili jamaa
 

Ukimsema vibaya mwarabu yeyote, wazenji wanafikiri unatukana dini ya mtume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ