Wako brainwashed tuwahurumie na kuwaombea.cha kunishangaza zaidi wanawaona waarabu ndugu zao wa damu kuliko hata wabara ilhali wanasahau walisombwa kwa makundi kupelekwa visiwani wakitokea huku bara na maeneo mengine ya jirani kwa mijeledi, fedheha na manyanyaso makubwa, ila leo hii mtanzania bara ukienda kule utaangaliwa kwa jicho la husda, lakini mwarabu atapokelewa kwa bashasha zote
Ya tende na barakashia au sio.kusubiria misaada
View attachment 2193108
Wazanzibari wengi ni kama wamesahau kabisa historia ya chimbuko lao kwamba babu zao walitolewa huku bara na maeneo ya jirani wakiwa kama wakimbizi waliodakwa, makabila dhaifu yaliyoshindwa vita, koo zilizotengwa, n.k hawa ndio waliuzwa kwa wafanya biashara wa utumwa kama Tipu tipu na kisafirishwa kwenda Zanzibar kwajili ya kuuzwa kuwa watumwa nje ya nchi ama kubaki Zanzibar kulima mikarafuu,
Leo hii utashuhudia hivi vituko [emoji23][emoji23]
1-Utasikia na kuzoea sana kuambiwa waarabu ni ndugu zao hapo unakuta mtu mweusi hafikii hata robo ya ngozi ya mwarabu.
2-Nilisoma habari >> hii hapa B] watoto huminywa visogo ili wawe flat kama waarabu na barkshia zitumbukie kirahisi.
3-Wengine ndoto zao ni bora waishi uarabuni kufanya kazi za ndani kuliko kwenda marekani.
4-Mzanibari anaweza akawa hayajui majiji kama New york, Paris, London. ila yani majiji ya Dubai na Muscat atayajua tu.
5-yani huko Oman akitokeaga mmama wa kiarabu hata mwenye miaka 47 aliepewa talaka anatafta mwanaume, basi huyo bado ni mbichi kabisa kwa wazanzibari, atashambuliwa kama binti mdogo.
6-Ukitaka mzanzibari afurahi wewe mwambie tu ana asili kama ya waarabu, hapo utayaona meno yake yote kwa tabasamu ataloachia.
7.huwaona waarabu kama wakamilifu, wengi wanadhani kila mwarabu ni mstaarabu na hatendi makosa. hata uwaonyeshe video za wale wafanyakazi wanaotokea Zanzibar wanavyopigwa huko uarabuni na mabosi wao wa kiarabu, wao watatetea ngozi ya mtume haiwezi fanya hivyo, video ya uongo.
Mbaya zaidi hata hapo Zanzibar waarabu wapo kivyao sana, kwenye kuchangamana labda ni ile kuwa na viongozi wa juu ili dili zao ziende, hawaozeshi hata mabinti zao kwa wazanzibari weusi ama waarabu wa pori (wapo kama salama),
kiingereza lugha ya dunia hio, inatumika shuleni, chuoni, kwenye simu, computer na hata hapa jf tunaminya thanks kutoa like, reply kumjibu mtu, create thread kutengeneza post, n.k. lugha haikwepeki hii.Kumix lugha isiyo yako wakat mwenye lugha yake hajawahi kumix na lugha yako huko ni kujipendekeza Kama hao wazenji wanavyo jipendekeza
Mnachofanya Kati yenu ni Kama mke mdogo na mke mkubwa kuoneana wivu
Mwafrika aoe binti wa kiarabu? dah hapo ni shughuli pevu aisee... kiukweli waarabu ni wabaguzi sana kwenye swala la kuoana.Swali moja muhimu sana.
Kule kwa wazungu kuna mchanganyiko(half casts). Maana yake kuna wazungu wanaoa weusi na weusi wanaoa wazungu!
Nipe nchi moja tu ya kiarabu yenye system kama hiyo!
Black Arabs sahau kuhusu hilo.Swali moja muhimu sana.
Kule kwa wazungu kuna mchanganyiko(half casts). Maana yake kuna wazungu wanaoa weusi na weusi wanaoa wazungu!
Nipe nchi moja tu ya kiarabu yenye system kama hiyo!
Ni sheria ya serikali au uamuzi binafsi?Black Arabs sahau kuhusu hilo.
Ndo mana huko watoto vilaza wengi sanaKumix lugha ya dunia (kiingereza) hio kawaida [emoji16][emoji16], ila sasa duuuh! kweli kuna haja gani ya kuminya vichwa vya watoto ili visogo viwe flat [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah mpaka uwe na hela na uwe muislamu unaoaMwafrika aoe binti wa kiarabu? dah hapo ni shughuli pevu aisee... kiukweli waarabu ni wabaguzi sana kwenye swala la kuoana.
Sasa wivu wa nn Kwa wazenji wakitaka kuwa kama waarabu si uwaache mbona upande wako wa dini yako unajifanya uko salamaMzungu ndie kashikilia dunia, hata waarabu kwa mzungu hawana cha kusema, ๐๐. Vita vya wao kwa wao vinazungumziwa dunia nzima ila ni vita ngapi za waarabu zimepita tu kama ugomvi wa uswazi ๐๐
Tatizo letu wabara tunapenda kuwasema sana wazanzibar sijui wivu Kwa mfano mtoa mada halafu uzungu anausapot eti umekamata DuniaNi Kama mabrazamen na masista du wa huku bara tu kutwa kuchanganya kingereza na kiswahili na ukimwambia "mwanangu we mzungu sana " anaona unyama sana kumbe fala mmoja
Wote mnaojifananisha na wazungu na waarabu ni mafala tu
Na wewe uzungu uko sahihi washenzi Sana unajiona uko sawa kumbe mjinga kila mtu anachagua anapopenda mbona wao hawaanzishi nyuzi kumisema wazunguWako brainwashed tuwahurumie na kuwaombea.
#MaendeleoHayanaChama
takataka sana hili jamaaKuna mwanangu mmoja huku mkoa x nilifika mkoa x kumuulizia KWA jinร lake halisi mtaa anaoishi mpaka eneo lake la kazi hawamfahamu.. inabidi nitoe maelezo jinsi alivyo ni mweusi haswa .. ndo mmoja akajibu ahaaaaaa unamuulizia mwarabu ... Niliangua kicheko. [emoji849][emoji23][emoji23][emoji23] Ilibidi nimuulize hapo baadae inakuwaje Mzee unajiita mwarabu akasema YEYE NI MWARABU WA NAFSI
sio kuoana tu ni makatili kiwango cha SGR. Yalicastrate na kuuza wazee wetu bila huruma. Mashenzi sanaMwafrika aoe binti wa kiarabu? dah hapo ni shughuli pevu aisee... kiukweli waarabu ni wabaguzi sana kwenye swala la kuoana.
View attachment 2193296
Wazanzibari wengi ni kama wamesahau kabisa historia ya chimbuko lao kwamba babu zao walitolewa huku bara na maeneo ya jirani wakiwa kama wakimbizi waliodakwa, makabila dhaifu yaliyoshindwa vita, koo zilizotengwa, n.k hawa ndio waliuzwa kwa wafanya biashara wa utumwa kama Tipu tipu na kisafirishwa kwenda Zanzibar kwajili ya kuuzwa kuwa watumwa nje ya nchi ama kubaki Zanzibar kulima mikarafuu,
Leo hii utashuhudia hivi vituko ๐๐
1-Utasikia na kuzoea sana kuambiwa waarabu ni ndugu zao hapo unakuta mtu mweusi hafikii hata robo ya ngozi ya mwarabu.
2-Nilisoma habari >> hii hapa << watoto huminywa visogo ili wawe flat kama waarabu na barkshia zitumbukie kirahisi.
3-Wengine ndoto zao ni bora waishi uarabuni kufanya kazi za ndani kuliko kwenda marekani.
4-Mzanibari anaweza akawa hayajui majiji kama New york, Paris, London. ila yani majiji ya Dubai na Muscat atayajua tu.
5-yani huko Oman akitokeaga mmama wa kiarabu hata mwenye miaka 47 aliepewa talaka anatafta mwanaume, basi huyo bado ni mbichi kabisa kwa wazanzibari, atashambuliwa kama binti mdogo.
6-Ukitaka mzanzibari afurahi wewe mwambie tu ana asili kama ya waarabu, hapo utayaona meno yake yote kwa tabasamu ataloachia.
7.huwaona waarabu kama wakamilifu, wengi wanadhani kila mwarabu ni mstaarabu na hatendi makosa. hata uwaonyeshe video za wale wafanyakazi wanaotokea Zanzibar wanavyopigwa huko uarabuni na mabosi wao wa kiarabu, wao watatetea ngozi ya mtume haiwezi fanya hivyo, video ya uongo.
Mbaya zaidi hata hapo Zanzibar waarabu wapo kivyao sana, kwenye kuchangamana labda ni ile kuwa na viongozi wa juu ili dili zao ziende, hawaozeshi hata mabinti zao kwa wazanzibari weusi ama waarabu wa pori (wapo kama salama),