Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kuna wenzako wanasema zenji kilikua kisiwa tupu..wakaja waarabu ndio wakakianzisha na kuleta watumwa toka bara walime karafuu.

#MaendeleoHayanaChama
Wenzangu kivipi!?..ukiona sehemu/jamii Ina watu laki mbili leo,jua walikuwepo hapo kwa zaidi ya miaka Mia mbili iliyopita!?
 
Hili bandiko lina unafi ndani yake kwa mleta maada,anachokifanya ni kuwachonganisha watu na Imani yao kupitia mgongo wa nyuma,hamna mtu aliye mbora duniani,hata wewe mwenyewe yawezekana una mapungufu makubwa kuliko unavyowazalilisha wengine,mbora ni yule asiyemzarau Mwingine,hata kama huyo mtu anamapungufu
 
Kuvaa suti na shela vipi,siyo dalili za shobo!!?..na kuongea ngeli halafu ujione wa maana nazo siyo shobo!?

Cheusi mangara kujitia muarabu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]waarab wenyewe wanawashangaa na full shobo zenu
 
Kwa nini munapata homa na maisha ya watu wengine?

Kila siku mada ni za Wazenji kujifanya waarabu, hebu jitahidini kujali maisha yenu mupate maendeleo.

Ndiyo maana Watz wamebaki nyuma nyuma maana kila siku wao kujali maisha ya watu wengine.

Wewe ulie mbele mbele umepata nini
 
View attachment 2193296


Wazanzibari wengi ni kama wamesahau kabisa historia ya chimbuko lao kwamba babu zao walitolewa huku bara na maeneo ya jirani wakiwa kama wakimbizi waliodakwa, makabila dhaifu yaliyoshindwa vita, koo zilizotengwa, n.k hawa ndio waliuzwa kwa wafanya biashara wa utumwa kama Tipu tipu na kisafirishwa kwenda Zanzibar kwajili ya kuuzwa kuwa watumwa nje ya nchi ama kubaki Zanzibar kulima mikarafuu,

Leo hii utashuhudia hivi vituko 😂😂

1-watakwambia waarabu ni ndugu zao hapo unakuta mtu mweusi hafikii hata robo ya ngozi ya mwarabu.

2-wanavaa kama Waarabu wakiwa wanafunga ndoa. Unamkuta mtu hadi ana jambia kiuononi!

3. wengi wamebadili majina yote yawe ya kiarabu, yale ya ukoo wameyafukia, utawakuta kina Abdul Mohamed, Ally Saleh, Abubakar Sharriff, n.k

4-Nilisoma habari >> hii hapa << watoto huminywa visogo ili wawe vichwa flat kama waarabu na barakashia zitumbukie kirahisi.

5-Kwa wazanzibari wengi jiji la Muscat lililopo nchi ya Oman ni kama pepo, humwaambii kitu aisee, hilo jiji kwao ni zaidi ya London, New York, Paris, n.k

6. yani akitokeaga mmama wa kiarabu hata mwenye miaka 47 aliepewa talaka tatu na anatafta mwanaume mpya, basi huyo bado ni mbichi kabisa kwa wazanzibari, atashambuliwa kama mchele ukimwagia kuku.

7-Ukitaka mzanzibari afurahi wewe mwambie tu ana asili kama ya waarabu, hapo utayaona meno yake yote kwa tabasamu ataloachia.

8.huwaona waarabu kama wakamilifu, wengi wanadhani kila mwarabu ni mstaarabu na hatendi makosa. hata uwaonyeshe video za wale wafanyakazi wanaotokea Zanzibar wanavyopigwa huko uarabuni na mabosi wao wa kiarabu, wao watabisha ni video ya uongo.


Cha kushangaza mwarabu ni kama hata huo undugu hautaki, labda uwakute wapo na viongozi wa juu ili dili zao ziende, huwa hawaozeshi hata mabinti zao kwa wazanzibari weusi na wale waarabu pori
Kawaida tu sababu ni uislam umeenea sana,na ushawishi wa Arabism ni mkubwa sana kwenye maisha yao ya kila siku.
 
Cheusi mangara kujitia muarabu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]waarab wenyewe wanawashangaa na full shobo zenu
Na nyinyi munaojipaka mikorogo yenye sumu ili muonekane weupe hao wazungu wanawashangaa.
 
Kwa nini munapata homa na maisha ya watu wengine?

Kila siku mada ni za Wazenji kujifanya waarabu, hebu jitahidini kujali maisha yenu mupate maendeleo.

Ndiyo maana Watz wamebaki nyuma nyuma maana kila siku wao kujali maisha ya watu wengine.
Kati ya mtanzania na mzanzibar yupi yupo nyuma kumzidi mwenzie? Hivi ulishafika Pemba?
 
Na nyinyi munaojipaka mikorogo yenye sumu ili muonekane weupe hao wazungu wanawashangaa.

Huja ona wapemba wewe hadi nywele wanaeka dawa ili tu wawe waarabu na wale ndugu zenu wakojani na waTanga mashavu mpaka yanaomba poo kwa wekundu ili wawe waarab kutokujikubali tu Yan mnarithisha hadi watoto upumbavu.
 
Zamani nilikuwa najua kila mzungu ni Padri
 
Yes, case in point waangalie wazanzibari au jamii zingine hapa Tanzania zinazoendekeza udini (dini za kuletewa).....utakuta wengi wao ni watu wasiojitambua ama watu wasio na elimu. Hawataki kusoma kujuwa ukweli wao bali wamekariri mistari tu ya vitabu vinavyosadikika kuwa ni vya Mungu na kuamini kila kitu. Mtu anashindwa kabisa kufikiri anaposoma kitabuni kwamba Mungu kaamuru watu kuua wenzao na wakati Mungu huyo huyo kakataza kuua. Waafrika tumepotoka sana na ujinga huu wa dini, tunashadadia tu bila kujitambua.

sasa mkuu unataka watu waendelee kuabuu mizimu? Mpaka karne hii bado unatoka povu kwa kutetea mila za kichawi
 
View attachment 2193296


Wazanzibari wengi ni kama wamesahau kabisa historia ya chimbuko lao kwamba babu zao walitolewa huku bara na maeneo ya jirani wakiwa kama wakimbizi waliodakwa, makabila dhaifu yaliyoshindwa vita, koo zilizotengwa, n.k hawa ndio waliuzwa kwa wafanya biashara wa utumwa kama Tipu tipu na kisafirishwa kwenda Zanzibar kwajili ya kuuzwa kuwa watumwa nje ya nchi ama kubaki Zanzibar kulima mikarafuu,

Leo hii utashuhudia hivi vituko 😂😂

1-watakwambia waarabu ni ndugu zao hapo unakuta mtu mweusi hafikii hata robo ya ngozi ya mwarabu.

2-wanavaa kama Waarabu wakiwa wanafunga ndoa. Unamkuta mtu hadi ana jambia kiuononi!

3. wengi wamebadili majina yote yawe ya kiarabu, yale ya ukoo wameyafukia, utawakuta kina Abdul Mohamed, Ally Saleh, Abubakar Sharriff, n.k

4-Nilisoma habari >> hii hapa << watoto huminywa visogo ili wawe vichwa flat kama waarabu na barakashia zitumbukie kirahisi.

5-Kwa wazanzibari wengi jiji la Muscat lililopo nchi ya Oman ni kama pepo, humwaambii kitu aisee, hilo jiji kwao ni zaidi ya London, New York, Paris, n.k

6. yani akitokeaga mmama wa kiarabu hata mwenye miaka 47 aliepewa talaka tatu na anatafta mwanaume mpya, basi huyo bado ni mbichi kabisa kwa wazanzibari, atashambuliwa kama mchele ukimwagia kuku.

7-Ukitaka mzanzibari afurahi wewe mwambie tu ana asili kama ya waarabu, hapo utayaona meno yake yote kwa tabasamu ataloachia.

8.huwaona waarabu kama wakamilifu, wengi wanadhani kila mwarabu ni mstaarabu na hatendi makosa. hata uwaonyeshe video za wale wafanyakazi wanaotokea Zanzibar wanavyopigwa huko uarabuni na mabosi wao wa kiarabu, wao watabisha ni video ya uongo.


Cha kushangaza mwarabu ni kama hata huo undugu hautaki, labda uwakute wapo na viongozi wa juu ili dili zao ziende, huwa hawaozeshi hata mabinti zao kwa wazanzibari weusi na wale waarabu pori
Kupanga ni kuchagua wenyewe wameamua hivyo, na wewe fanya unavyotaka, uhuru wa mtu lazima uheshimiwe
 
Kwani sisi watanganyika tunajionaje mbele ya beberu? maana kila mmoja ana ndoto ya kwenda mamtoni na kutema yai kama Tony Blair.....kwa hiyo waacheni wazanziberi nao wajinafasi kwa raha zao.
 
Wewe unaona hao watu wako sawa? Si Ni kasoro kubwa hiyo. We mtu upoteze identity, hasa jina la kibantu uanze ukuabudu majina ya ajabu si kasoro hiyo ya kisaikolojia?
 
Back
Top Bottom