Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Na wabara wanaoweka nywele dawa au kuweka mawigi ya kizungu unawasemaje? Ukimnyooshea mwenzako kidole ujue vinne vimekuelekea wewe.

Zanzibar nywele wala siyo issue, kama ni nywele laini hata wapemba wa asili kabisa ambao hawana udugu na waarabu wanazo. Nyinyi wabara ndiyo munapapatikia nywele muwe kama wazungu.

[emoji23][emoji23][emoji23]ingekua wana nywele hizo wale waimbaji taarabu wasingekua wanavaa mawigi basi au wale wabara nao nyie shobo zimezid sana
 
Nyerere alisoma na alikua mdini..Kama walivyo wakatoliki wenzie,acha kuifanya hiyo elimu ya test tube na nadharia za darwin kuwa ya maana kiasi Cha kumbadilisha mtu,wasomi wengi wajinga
True wasomi wengi ni wajinga na wanaokariri vitabu vya dini wengi ni wafuga majini, wachawi, wanafiki, na wajinga pia.
 
sasa mkuu unataka watu waendelee kuabuu mizimu? Mpaka karne hii bado unatoka povu kwa kutetea mila za kichawi
Aliyekuambia mizimu ni uchawi ni nani? Hivi kuna kitabu cha kichawi zaidi ya Qur'an...tuseme ukweli tu. Kwenye Qur'an uchawi, mauwaji, laana, kila kitu ambacho Mungu anapinga kimo mule.
 
Umeeleza vizuri mkuu.
Sijui kama nimeruka sehemu, lakini Karume hakushiriki mapinduzi, hakuwa na ujasiri wowote! Muulize Kassim Hanga, Babu au John Okello! Alas! They are all dead!
Kwa ujumla ulichokisema, tunaita Stockholm Syndrome.
Tuwaombee ndugu zetu Wazanzibari jamani, wanahitaji maombi ya kiakili maana ukombozi wa kuelimika hawataki wanataka kurudi tena utumwani na kuteswa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ingekua wana nywele hizo wale waimbaji taarabu wasingekua wanavaa mawigi basi au wale wabara nao nyie shobo zimezid sana
You have missed the point my dear.
Kutengeneza nywele au kuweka mawigi ni fashion tu kama zilivyo nyingine, nyinyi mumekomaa eti Wazenji wanataka kuonekana waarabu. Hiyo ni reasoning ambayo haikwenda shule kabisa.
 
Hivi kuna mwarabu anaweza kuoa Msomalia?
Yeah ipo, ila mara moja moja, maana Wasomali ni wabaguzi hata wenyewe kwa wenyewe. Wanabaguana kimakabila na kiukoo, mie nina marafiki zangu Wasomali wawili wameoa na wameolea huko huko kwao Somali Land.
 
You have missed the point my dear.
Kutengeneza nywele au kuweka mawigi ni fashion tu kama zilivyo nyingine, nyinyi mumekomaa eti Wazenji wanataka kuonekana waarabu. Hiyo ni reasoning ambayo haikwenda shule kabisa.

You missed the point too,nyie shobo nyingi kujifanya waarabu Yan mnataman huu muungano uvunjike muungane na waarabu sijui wamewapa nini[emoji23]
 
Back
Top Bottom