Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kuna wenzako wanasema zenji kilikua kisiwa tupu..wakaja waarabu ndio wakakianzisha na kuleta watumwa toka bara walime karafuu.

#MaendeleoHayanaChama
Wenzangu kivipi!?..ukiona sehemu/jamii Ina watu laki mbili leo,jua walikuwepo hapo kwa zaidi ya miaka Mia mbili iliyopita!?
 
Hili bandiko lina unafi ndani yake kwa mleta maada,anachokifanya ni kuwachonganisha watu na Imani yao kupitia mgongo wa nyuma,hamna mtu aliye mbora duniani,hata wewe mwenyewe yawezekana una mapungufu makubwa kuliko unavyowazalilisha wengine,mbora ni yule asiyemzarau Mwingine,hata kama huyo mtu anamapungufu
 
Kuvaa suti na shela vipi,siyo dalili za shobo!!?..na kuongea ngeli halafu ujione wa maana nazo siyo shobo!?

Cheusi mangara kujitia muarabu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]waarab wenyewe wanawashangaa na full shobo zenu
 
Kwa nini munapata homa na maisha ya watu wengine?

Kila siku mada ni za Wazenji kujifanya waarabu, hebu jitahidini kujali maisha yenu mupate maendeleo.

Ndiyo maana Watz wamebaki nyuma nyuma maana kila siku wao kujali maisha ya watu wengine.

Wewe ulie mbele mbele umepata nini
 
Kawaida tu sababu ni uislam umeenea sana,na ushawishi wa Arabism ni mkubwa sana kwenye maisha yao ya kila siku.
 
Cheusi mangara kujitia muarabu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]waarab wenyewe wanawashangaa na full shobo zenu
Na nyinyi munaojipaka mikorogo yenye sumu ili muonekane weupe hao wazungu wanawashangaa.
 
Kwa nini munapata homa na maisha ya watu wengine?

Kila siku mada ni za Wazenji kujifanya waarabu, hebu jitahidini kujali maisha yenu mupate maendeleo.

Ndiyo maana Watz wamebaki nyuma nyuma maana kila siku wao kujali maisha ya watu wengine.
Kati ya mtanzania na mzanzibar yupi yupo nyuma kumzidi mwenzie? Hivi ulishafika Pemba?
 
Na nyinyi munaojipaka mikorogo yenye sumu ili muonekane weupe hao wazungu wanawashangaa.

Huja ona wapemba wewe hadi nywele wanaeka dawa ili tu wawe waarabu na wale ndugu zenu wakojani na waTanga mashavu mpaka yanaomba poo kwa wekundu ili wawe waarab kutokujikubali tu Yan mnarithisha hadi watoto upumbavu.
 
Zamani nilikuwa najua kila mzungu ni Padri
 

sasa mkuu unataka watu waendelee kuabuu mizimu? Mpaka karne hii bado unatoka povu kwa kutetea mila za kichawi
 
Kupanga ni kuchagua wenyewe wameamua hivyo, na wewe fanya unavyotaka, uhuru wa mtu lazima uheshimiwe
 
Kwani sisi watanganyika tunajionaje mbele ya beberu? maana kila mmoja ana ndoto ya kwenda mamtoni na kutema yai kama Tony Blair.....kwa hiyo waacheni wazanziberi nao wajinafasi kwa raha zao.
 
Wewe unaona hao watu wako sawa? Si Ni kasoro kubwa hiyo. We mtu upoteze identity, hasa jina la kibantu uanze ukuabudu majina ya ajabu si kasoro hiyo ya kisaikolojia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…