Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

You missed the point too,nyie shobo nyingi kujifanya waarabu Yan mnataman huu muungano uvunjike muungane na waarabu sijui wamewapa nini[emoji23]
Kama shobo zenu za kujifanya wazungu na kuzungumza kiingereza kibovu alimradi tu.
 
NAona umetaja miko kibao kuonesha kuwa ni wajinga, Hebu tutajie nahio mikoa yenu ambayo ndio wenye akili
Kagera, Kilimanjaro, mbeya, Mwanza, Mara, Arusha, ruvuma , Iringa pia ndo wanatoa viongozi makini chunguza sana utaona, viongozi wengi wa pwani, Zanzibar, , tanga, Lindi, kigoma, tabora, siyo makini na wanapemda Sana misaada yuko ladhi kutoa dhahabu ya billion moja apate misaada ya laki moja, hawapendi kufanya kazi wengi ni omba omba akiwa kiongozi ndo basi kila siku ananyanyua matako kwenda kuomba misaada chunguza mwenyewe utaona viongozi waliotoka pwani na waliyopo.
 
Katika kitu ambacho dunia inatakiwa kuwa nacho makini ni kuto ruhusu mwarabu awe powerful country. Maana yule akipata hiyo power 🤣🤣🤣 atahakikisha kwanza dunia nzima ni waislam, pili hawa waislam weusi wote wanakuwa slave,
 
Eti wanaminywa vichwa ili wasiwe na vichogo 😀 ujinga huu ulipoupata hukutaka kujishuhulisha kujua chochote. Mbona watanganyika wapo walokuwa hawana vichogo, na nyie mnaminyana itakuwa
 
Katika kitu ambacho dunia inatakiwa kuwa nacho makini ni kuto ruhusu mwarabu awe powerful country. Maana yule akipata hiyo power 🤣🤣🤣 atahakikisha kwanza dunia nzima ni waislam, pili hawa waislam weusi wote wanakuwa slave,
Ndo mkaona bora kafiri aongoze dunia, saivi anawaforce mkubali kuwa mashoga, muachane na kuamini na uwepo wamungu, mkubali tu mama zenu na dada zenu Na mabinti zenu wakae uchi mana ndio ukombozi wa mwanamke 😀 na mnafanywa watumwa mkiamini mna uhuru
 
Hayo majini alianza yesu kuyatimua,siku hizi wanatokana majini kanisani na kwenye mahubiri,huko ndiyo yapo mengi,huwezi jua kuyatoa Kama huyafugi
Na yule jini/shetani aliyemtokea Mohammed na kumpa Qur'an umemsahau enhee?
 
Hebu lete ushahidi,halafu ushetani ni sifa siyo kiumbe,unapomtongoza binti/dada ukamtwombe wewe ni shetani
Hapa ndiyo JamiiForum👇
"The angel came to him and asked him to read. The prophet added: I do not know how to read. The angel caught me (forcefully) and pressed me so hard that I could not bear it any more. He then released me and again asked me to read and I replied: I do not know how to read. Thereupon he caught me again and pressed me a second time till I could not bear it any more. He then released me and again asked me to read but again I replied: I do not know how to read (or what shall I read)? Then he caught me for the third time and pressed me, and then released me and said: Read in the name of your Lord, who has created man from a clot. Read! And your Lord is the Most Generous (96:1,2,3). Then Allah’s Apostle returned back with his heart trembling. He came to Khadija . . . and said: Cover me! Cover me! They covered him till his fear was over.[21]"

Hapo alikuwa kashukiwa na shetani aliyejifanya kuwa ni malaika Gabriel (Jibril). Baada ya hapa Mohammed akapatwa na ukichaa. Msikariri tu vitabu vya watu bila kujuwa ukweli. Mnaboa kishenzi.
 
Kwa hiyo Angel ni shetani!?...imekuaje Kama huyo ni shetani akijifanya malaika!?
 
Wazanzibar walikukosea nini??.maana sio kwa michambo hio ulinyimwa ulojo nini??.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Anyway ngoja waje wenyewe wajitetee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa Kweli umewachamba kisawasawa "eti mpaka mtoto akizaliwa anabinywa kisogo afanane na mwarabu !!!! .dahhh .sasa na haya "mapinduzi daima"inakuwaje?? Wanazuga sio
 
NA UKIWASEMA WAARABU VIBAYA, BASI UMEMTUKANA MTUME!!
 
Mtoa uzi naona kama hajielewi ivi sifungamani na pande yoyote ila alieandika uzi huu huenda anamatatizo ya akili au anachuki binafsi inamsumbua.
Utashangaa zaidi mtoa uzi jina lake anaitwa john, Lucas, peter,alex... Alafu kaumia mwenzake kuitwa Hassani, Rashidi, Abdallah

Mtoa uzi ni punguani yani kama ww ulivoamua kukumbatia western culture na mwenzako kakumbatia culture za waarabu unakasirika nini sasa hao wazungu unaoona wewe wapo juu wanafaa kuigwa ndo waliokushusha wewe na babu zako nakukuona takataka huenda huijui historia ya Martin luther, Malcom-X na ma Negro wengine waliopambana na kupoteza maisha yao kwa sababu ya takataka za hao wazungu unaowaamini na ni juzi tu miaka ya kuanzia 1950-1970 yani mtoa uzi huu ungekuepo miaka ya nyuma huenda ungekua snitch mmoja na wazee waliokua na akili kama zako ndo waliotuuza..

Siku nyingine ukiandika uzi kama huu hakikisha umesimamia kwenye utamaduni wako wakiafrica na afadhari ya hao waarabu waliishi vizuri na watu weusi ndo maana wameacha athari uko zanzibar ya upendo fatilia historia sio hao wazungu na hao chotara wakizungu wengi wao wametokana na bibi zetu kubakwa na njemba za kizungu ila mambo yakuoa wazungu bado ni magumu mpaka leo black akioa mzungu huyo mzungu anatengwa na familia

Simamia unachoona kinafaa usimseme mwenzako vibaya
 
Unamkuta Juha ana jiita Juma Omary Abdallah, Ukifatilia vitambulisho au kwenye Manzishi yake anaitwa Juma Omary Abdallah Kishoka!!
 
Mi naomba mnisamehe tu... wazanzibar wengi huwa nawaona kama mazwazwa vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…