Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Hapo umezungumzia kwa upande mmoja tu,hata sisi waAfrika tena hata hapa kwetu Tz kuna watu wanawaona waIsrael km ndugu zao tena wanaita taifa teule..hizo zote ni shobo za kuingiziwa na watu waliotutawala wazungu/waarabu na ndio hapo tulipoletewa dini na utamaduni wao ili uwe muongozo wa maisha yetu.
 
Na google wakati nina Koran
96:2 created man from a blood-clot
Ungekua nayo ungeona pia 'created man from clay" na pia 'from sperm'...usingedandia tu huko ulikodandia,tafsiri (maana hiyo siquran Bali tafsiri ya Qur'an)uliyo nayo ya Nani!?
 
Ungekua nayo ungeona pia 'created man from clay" na pia 'from sperm'...usingedandia tu huko ulikodandia,tafsiri (maana hiyo siquran Bali tafsiri ya Qur'an)uliyo nayo ya Nani!?
Sperm ndio inakuwa damu iliyoganda kwa mda wa siku 40 tumboni kwa mwanamke

Muhammad anaelezea kwa undani
Allah's Messenger (ﷺ), the truthful and truly-inspired, said, "Each one of you collected in the womb of his mother for forty days, and then turns into a clot for an equal period (of forty days) and turns into a piece of flesh for a similar period (of forty days) and then Allah sends an angel and orders him to write four things, i.e., his provision, his age, and whether he will be of the wretched or the blessed
 
Ungekua nayo ungeona pia 'created man from clay" na pia 'from sperm'...usingedandia tu huko ulikodandia,tafsiri (maana hiyo siquran Bali tafsiri ya Qur'an)uliyo nayo ya Nani!?
Kwa hiyo alietafsir na kusema clot blood kakosea , ivi kwa nini JF waislamu ndio wanajua kiharabu kuliko walio translate, Yani ukiweka tu verse wanakwambia Alie translate kakosea , kwa nini maijipange mje na halal translation
 
Zanzibar mbali sana nenda Tanga hpo waja leo warudi leo, kuna kabila linaitwa WADIGO ni weusi kama giza lkn wanapenda kujitambulisha kama ukoo wa waarabu! Niliwai kusimuliwa kua zamani walikua wanalipia kujiita ukoo wa akina Sharif!
Dah,aisee
 
Kwa hiyo alietafsir na kusema clot blood kakosea , ivi kwa nini JF waislamu ndio wanajua kiharabu kuliko walio translate, Yani ukiweka tu verse wanakwambia Alie translate kakosea , kwa nini maijipange mje na halal translation
Kiharabu ndiyo nini!!?..
Kwa hiyo alietafsir na kusema clot blood kakosea , ivi kwa nini JF waislamu ndio wanajua kiharabu kuliko walio translate, Yani ukiweka tu verse wanakwambia Alie translate kakosea , kwa nini maijipange mje na halal translation
15:26,32:7-...kiharabu ndiyo nini!?..Qur'an imeteremshwa kiarabu,mfasiri anaweza kushawishika kwenye tafsiri yake kutokana na dhehebu lake
 
Kiharabu ndiyo nini!!?..

15:26,32:7-...kiharabu ndiyo nini!?..Qur'an imeteremshwa kiarabu,mfasiri anaweza kushawishika kwenye tafsiri yake kutokana na dhehebu lake
Mfasiri anadanganya kusema damu iliyoganda ili afaidike nini? Alafu kwa nini surah imeitwa damu iliyoganda
96 - Al Alaq (The clot)
 
Mfasiri anadanganya kusema damu iliyoganda ili afaidike nini? Alafu kwa nini surah imeitwa damu iliyoganda
96 - Al Alaq (The clot)
Kwa sababu Kuna Aya inayozungumzia damu iliyoganda,umesoma Aya nilizokupa!?
 
Kwa sababu Kuna Aya inayozungumzia damu iliyoganda,umesoma Aya nilizokupa!?
Na unataka kutuambia sura inaitwa damu iliyoganda na hakuna verse Allah kasema sperm inakuwa damu iliyoganda?

96 - Al Alaq (The clot)
 
Wote wapuuzi tu hawana tofauti na nyie mnavyojikomba komba kwa waisrael
 
Back
Top Bottom