Kweli nchi hii inatafunwa, Rais Samia amekiri jinsi wakuu wa mashirika ya Umma, wanavyojidai, jinsi wanavyoiba pesa za Umma!

Tukiyasema twaonekana "anti-mama"...
Yaani wanazitumbuwa kama hawana akili nzuri! INATISHA SANA SANA!
 
Samia aache mara moja kulalamika, nafasi yake ni ya utendaji sio ya kulalamika, huu ni unafiq tu.
 
Kubadili Chama sio suluhu, wizi utakuwepo tu
Mbona Lissu kasema kuna tatizo pia huko
Ila Africa haiwezi kuendelea hata mfanye nini
Uaminifu hakuna kabisa
Mbunge anaibiwa simu au laptop ndani ya Bunge mnategemea wataziacha hela?
Na hao ndio wenye mishahara mikubwa ila bado wanaiba Simu
 
2 millions kwa week tena miaka ya 2000 ni ela kidogo hiyo. Ni fedha ambayo sio stahiki yake

Je kwa mwaka kuna wiki 52 unafikiri atachukua kiasi gani?
 
Cha kuhuzunisha eti Chadema ndo wanalaumiwa kwa kila madhila yanayotokea Tanzania.
 
Magufuli ndiyo alikuwa kinara wa kulalamika mpaka akafikia hatua akasema gesi wamepewa wakubwa.... Sasa hao wakubwa hakuwahi kuwataja zaidi ya kulalamika.
Nkatabaaa ule unauvunjaje na aliyefanya kosa unamwadhibuje , ndio alikuwa anapita huo nkataba kikatokea kilicho tokea sasa hatua Gani angechujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…