Na ndio maana wewe sio yeye. Na usimsimange kwa msaada uliompa hata baraka huwezi kupata sasa, what if hakuwa katika nafasi ya kukusaidia kabisa?Sawasawa mkuu. Ila mimi ningekuwa yeye ningefanya kitu kuonesha shukrani. Tunatofautiana na hivyo naheshimu maamuzi yake.
Wewe kabisaaaa wa kutusimanga hivyo kweli?Hawa viumbe ni mashetani bro...sema ndio hivyo mashetani wenyewe mbususu zao tamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee huoni hapo nimetumia sandwich approach mrembo...mie na nyie viumbe tena...nawasimangje wakati utamu wa dunia unapatikana kwenuWewe kabisaaaa wa kutusimanga hivyo kweli?
Ni kweli lakini si kila mwanamke ni wa kuolewa....kuna wengine wana laana za ukoo.Japo ulimsaidia, Amekukomoa kwa sababu ulimjeruhi moyo
Inawezekana ni kweli hizo pesa hakuwanazo na angekuwa nazo angekusaidia. Huenda hizo wiki mbili alikuwa anazitafuta hizo pesa ili akusaidie, na aliposhindwa kabisa ndiyo akakutumia jibu hilo la kukushauri utafute alternative.Yeah, angalau angejibu mapema. Hamna aliyempangia matumizi.
Ulihiari mwenyewe kumsaidia. Sio lazima saana alipe ulichmfanyia. Ndio maana waswahili wakaja na Msemo Tenda wema nenda zako usingoje shukrani. Hata hivyo, kuwa earning ya 2.5 M ni kitu kimoja na kuwa cash always in hand ni kitu kingine. Ninapendekeza muendelee na urafiki n kusaidiana.
Wadada kwa kuteteana hamjambo. Kama umesoma vizuri basi utaona tatizo kubwa ni yeye kukaa kimya. Kama pale aliposoma ujumbe angenijibu kwamba hana wala isingekuwa tatizo. Alichofanya ni kama kunionesha kwamba umwamba.Kumbe ukiwa haujaolewa ndio unakuwa hauna majukumu!! Mkuu jifunze kuwa unapotoa msaada usiiweke kama deni kwa muhusika, lakini pia si kwamba kwasababu ulimsaidia basi wakati wowote atakuwa ana pesa tu zinasubiri akusaidie. Usimpangie mtu na mshahara wake maana kweli huwezi jua ana majukumu gani.
Ni simple kabisa, angeniambia wakati ule basi kisingeharibika kitu.Na ndio maana wewe sio yeye. Na usimsimange kwa msaada uliompa hata baraka huwezi kupata sasa, what if hakuwa katika nafasi ya kukusaidia kabisa?
Inawezekana kabisa, angenipa taarifa wakati ule basi kisingeharibika kitu.Inawezekana ni kweli hizo pesa hakuwanazo na angekuwa nazo angekusaidia. Huenda hizo wiki mbili alikuwa anazitafuta hizo pesa ili akusaidie, na aliposhindwa kabisa ndiyo akakutumia jibu hilo la kukushauri utafute alternative.
Uko sahihi kabisa mkuu.Binafsi sijaona tatizo kwa kushindwa kukisaidia hiyo pesa.
Ila, kutorespond ujumbe kwa muda wa majuma mawili.
Mkuu naona mmechafukwa kabisa.Na Bado hilo Treila kwenye kikao tulishakubaliana ila wewe umekiuka.Hatawahi kukusaidia hata elfu 10, pambana mwenyewe mpaka ufe
Mbona Inaonesha Wazi ulikua unamuhonga na kumtumia kingono....kwa kigezo cha Kumsaidia....ndoo maana na yeye Kauku"tema kiroho mbaya....Huyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.
Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.
Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.
Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.
Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.
Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.
Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Rudia kusoma boss maana mida hii ni usiku sana.😄Mbona Inaonesha Wazi ulikua unamuhonga na kumtumia kingono....kwa kigezo cha Kumsaidia....ndoo maana na yeye Kauku"tema kiroho mbaya....
Ndio kanuni ya kutenda wema .Sasa hapo kuna kusaidiana gani tena wakati upande mwingin hutaki kusaidia.
Tatizo kubwa ni wewe kumsaidia na yeye kushindwa kukusaidia, soma title yako. Hata angekujibu bado ungekuwa na notion hiyo hiyo maana ndicho unacholalamikia. Mara nyingi watu huwa tunaona matatizo tuliyonayo ndio makubwa kuliko ya wenzetu.Wadada kwa kuteteana hamjambo. Kama umesoma vizuri basi utaona tatizo kubwa ni yeye kukaa kimya. Kama pale aliposoma ujumbe angenijibu kwamba hana wala isingekuwa tatizo. Alichofanya ni kama kunionesha kwamba umwamba.
Unajua ni kwasababu gani hakukuambia kwa wakati huo unaouongelea wewe? Au umeamua tu kumhukumu kwasababu unamdai?Ni simple kabisa, angeniambia wakati ule basi kisingeharibika kitu.
Sawa, ngoja nikupe ushindi wa mezani. Itakuwa mimi ndio nina tatizo kwenye mtazamo wangu.Tatizo kubwa ni wewe kumsaidia na yeye kushindwa kukusaidia, soma title yako. Hata angekujibu bado ungekuwa na notion hiyo hiyo maana ndicho unacholalamikia. Mara nyingi watu huwa tunaona matatizo tuliyonayo ndio makubwa kuliko ya wenzetu.