Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
- Thread starter
-
- #121
dfini tofauti inachallenge sana, skufichi tulia endelea kua na subra atakuja tu amini ninachokuambia na hata ukizaka shingo uolewe naye hivohivo ukubali kuolewa lakini nduguzo mtakua hampatani kwa hilo jipe muda hua tuna mtindo wa kua na haraka kupata majibu yetu ya vile tubavyoomba lakini subra ndio yenye majibuAlhamdulillah naswali sana na Mungu ananipa hasa ninaoomba tumatch ila sijui why Huwa dini tofaut na wazazi wangu hawataki hata kusikia ilo suala
Zaid ya mara Tatu wanafukuza wachumba sabbu ya dini
jichanganye sasaKumbe nimejifunza wanawake wakuoa ni wale maharage ya mbeya...ukiona demu anakizungusha huyo hakupendi. Asante kwa funzo
Kuna kitu umesema kilinigusa! Nilishindwa kusamehe.naomba sana Mungu kila mtu ampe hitaji la moyo wake, wewe ishi ukiamini ubavu wako upo sehem hivi saa hizi na yeye anvurugwa na mahaba huko lakini mtakutana tu 😜😜
Sasa jamani nyie magarage ya mbeya ndio wife material.jichanganye sasa
we ulijiwekea expectations zipi aje yoyote tu kwneye dini? mimi nilijiambia aje wa dini yangu awe hivi anipende nimpendeInataka moyo kushinda huo mtihani hasa uwe na mtu anaekupenda na kukuelewa nafikiria mapito ya shida na maradhi Kuna kipind nilipitia huyohuyo ndo alisimama na mm
Kumtenga kisa dini najiona katili sana
Mungu anisaidie
Mimi sioi na mbinguni nitaendaNaona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano thabiti
Fast forward hiki kisa kinanihusu mm japo kuna vitu sitaexpose sana na 95% kinanihusu mwenyewe.
Ilitokea siku moja nimekwenda mkoa fulani kwa ajili ya likizo, ni mwishoni mwa mwaka 2009, sjui nisemeje lakini sehemu niliokwenda nikakutana na huyu mwanaume ile kumuona tu kwa mara ya kwanza kuna kitu nikahisi hakiko sawa kwenye nafsi yangu na mwili wangu, nilikua natamani kumuona yan nimuone apite tu roho yangu iridhike, niko radhi khjitumisha dukan bila sababu ya msingi ili mradi tu nimuone na ilikua tukionana tu lazima atabasam bas mm mwenzie nakua hoi sijiwez.
Nikajikaza mtoto wakike nisonekane dhaifu tenambele ya stranger,lakini tukionana lazima tupeane eye contact halafu aniachie zawadi ya tabasam lake, bas nahisi hata yeye alikua amenielewa na hapo mwenyewe sio kua nilikua virgin siku mingi ilishakwenda hivi,nilishajua mapenzi n nn yanaumaje japo sio kiviiile lakini hizo exprience tayar nilishakua nazo so hakikua kitu geni then boom moyo unamuangukia mtu hata sjawah kujua ningekuja kukutana naye,bas mimi hapo kumbuka niko likizo ugenini,
Mungu sio athumani akanipa sound unaitwa nani nikamjibu, mimi sitaki kujua yeye anaitwa nani anafanya nn anaishi wapi eneo hilo mana tunaonana tu nyumba yetu ilikua barabarani so watu wengi hupita na movements n nyingi na maduka mengi hupatikana eneo hilo karibu na kwetu, hii siku sitaisahau mimi sina subiri nikufikirie sijui kuchelewesha wakat mtu ninayemwelewa ninaye mbele ya macho yangu.
Nikatabasamu akamwaga vyombo mimi nimetokea kukupenda sana nimeona leo nikuambie tu kilichopo moyoni, mimi meno yote niliyobarikiwa nje nikamkubalia nikaondokanzangu kurud nyumbani, sasa baada ya kurud nyumban ndio akili inarudi mahali pake nikaanza kujiuliza hivi mm n mzima au kitu gani, huyu mtu nimemkubali bila hata kumpa muda wa kumjua kama kaniona mgeni mtaani anitumie tu anibwage?
Sijui anaishi wapi sjui chochote kumhusu nimeanza lini kua mwehu wa kuhangaika na mapenzi? nimesahau kilichotokea nyuma? mimi ni mtu hua napenda kusema na nafsi yangu unaweza sema niko kimya kumbe nina kikao kizito cha kunihusu, bas najiuliza hayo huku majibu hutoka papo kwa papo, mpe muda utamjua, huwez jua watu hawafanani, lakini unakiri moyoni mwako unampenda s unajiona unavyobehave juu yake, kubali unampenda, mengine utayajua taratibuu!!
itaendelea.
Ukafunguka mutoto ya Joseph 😃Story yako mwanzon inafana Na yangu...tulikutana kanisan Ibada ilivoisha kwenye kusalimiana....the way alivokua ananiangalia while tunaongea made me fall in love with him hata siku alivokuja kunifungukia sikupoteza muda Kesho yake nilimpa jibu la yes
awa sawaMimi sioi na mbinguni nitaenda
Sina dhambi
Kataa ndoa mixx by yaas
Nikiri hiko kipande huenda sikuzingatia nilibase kwenye mengine zaidi na ninapata sifa zote karibia 90%ninazohitaji Yan kabla sijasema nimeitikiwa,nikiomba kitu napewa napendwa natambulishwa Kwa ndugu bila kuomba napendwa na ndugu zake but huku kwangu ndio mtitiwe
we ulijiwekea expectations zipi aje yoyote tu kwneye dini? mimi nilijiambia aje wa dini yangu awe hivi anipende nimpende
Hao unaowaona ni mabishoo Wanaume Au Mume Akija Kwako Kwa Akili ya Kawaida Unamzalau Kumbe ndio Jembe hilo Ila kwa Akili za Kawaida huwezi Kumzania Huwaga wapo Kawaida tuu Kuna Siri Kumpata Mume wa Kweli Muombe Mungu Akufunulie ya RohoniMtupe mbinu za kuchagua aisee
Nawish kuwa na ndoa yenye amani hata nikiangalia rafikizangu na ndoa zao hazitii moyo ukiangalia vijana wa kiume wengi ni wajinga na utoto kibao
weka kmyupi umtakaye atakuja huku ukiweka imani yupo hata hayo yanaytokea amini ni lazima ulikua upitie hiyo segment ujueNikiri hiko kipande huenda sikuzingatia nilibase kwenye mengine zaidi na ninapata sifa zote karibia 90%ninazohitaji Yan kabla sijasema nimeitikiwa,nikiomba kitu napewa napendwa natambulishwa Kwa ndugu bila kuomba napendwa na ndugu zake but huku kwangu ndio mtiti
Nawaombea Dua mdumu katika ndoa yenu hadi mpate wajukuutulikua broke, yan huyu tulipotoka na tulipo ni history nitakuja hadithia wajukuu hope nitakua na umri huo
NikweliiKumbe nimejifunza wanawake wakuoa ni wale maharage ya mbeya...ukiona demu anakizungusha huyo hakupendi. Asante kwa funzo
Sikutaka kupoteza muda kwakweliUkafunguka mutoto ya Joseph 😃
Mwanaume Cha kwanza uwezo wa kufikiri uwe juu kuliko mwanamke wakoHao unaowaona ni mabishoo Wanaume Au Mume Akija Kwako Kwa Akili ya Kawaida Unamzalau Kumbe ndio Jembe hilo Ila kwa Akili za Kawaida huwezi Kumzania Huwaga wapo Kawaida tuu Kuna Siri Kumpata Mume wa Kweli Muombe Mungu Akufunulie ya Rohoni
aaaamin,Nawaombea Dua mdumu katika ndoa yenu hadi mpate wajukuu
Maharage YA mbeya ndo huwa wakoje mkuuKumbe nimejifunza wanawake wakuoa ni wale maharage ya mbeya...ukiona demu anakizungusha huyo hakupendi. Asante kwa funzo
ukitongozwa hapohapo umekubali mahusiano yameanza haina ngoja ngoja naogopaMaharage YA mbeya ndo huwa wakoje mkuu
Kwa kweli Kam ilikuwa ni lazima nipigie kwakweli sahiz naona wananionea Sasa 😀weka kmyupi umtakaye atakuja huku ukiweka imani yupo hata hayo yanaytokea amini ni lazima ulikua upitie hiyo segment ujue