Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Alhamdulillah naswali sana na Mungu ananipa hasa ninaoomba tumatch ila sijui why Huwa dini tofaut na wazazi wangu hawataki hata kusikia ilo suala
Zaid ya mara Tatu wanafukuza wachumba sabbu ya dini
dfini tofauti inachallenge sana, skufichi tulia endelea kua na subra atakuja tu amini ninachokuambia na hata ukizaka shingo uolewe naye hivohivo ukubali kuolewa lakini nduguzo mtakua hampatani kwa hilo jipe muda hua tuna mtindo wa kua na haraka kupata majibu yetu ya vile tubavyoomba lakini subra ndio yenye majibu
 
naomba sana Mungu kila mtu ampe hitaji la moyo wake, wewe ishi ukiamini ubavu wako upo sehem hivi saa hizi na yeye anvurugwa na mahaba huko lakini mtakutana tu 😜😜
Kuna kitu umesema kilinigusa! Nilishindwa kusamehe.

Na Kila kitu kilivyoharibika, nikapoteza kabisa nguvu juu ya mahusiano na mapenzi.

Mimi ni mtu ambaye sipendi kunidanganya mwenyewe! Popote alipo huyo ubavu wangu Mungu azidi kumtunza.

For sure story yako, Kuna kitu kipya na tumaini kubwa imeeingiza ndani yangu.
 
we
Inataka moyo kushinda huo mtihani hasa uwe na mtu anaekupenda na kukuelewa nafikiria mapito ya shida na maradhi Kuna kipind nilipitia huyohuyo ndo alisimama na mm
Kumtenga kisa dini najiona katili sana
Mungu anisaidie
we ulijiwekea expectations zipi aje yoyote tu kwneye dini? mimi nilijiambia aje wa dini yangu awe hivi anipende nimpende
 
Naona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano thabiti

Fast forward hiki kisa kinanihusu mm japo kuna vitu sitaexpose sana na 95% kinanihusu mwenyewe.

Ilitokea siku moja nimekwenda mkoa fulani kwa ajili ya likizo, ni mwishoni mwa mwaka 2009, sjui nisemeje lakini sehemu niliokwenda nikakutana na huyu mwanaume ile kumuona tu kwa mara ya kwanza kuna kitu nikahisi hakiko sawa kwenye nafsi yangu na mwili wangu, nilikua natamani kumuona yan nimuone apite tu roho yangu iridhike, niko radhi khjitumisha dukan bila sababu ya msingi ili mradi tu nimuone na ilikua tukionana tu lazima atabasam bas mm mwenzie nakua hoi sijiwez.

Nikajikaza mtoto wakike nisonekane dhaifu tenambele ya stranger,lakini tukionana lazima tupeane eye contact halafu aniachie zawadi ya tabasam lake, bas nahisi hata yeye alikua amenielewa na hapo mwenyewe sio kua nilikua virgin siku mingi ilishakwenda hivi,nilishajua mapenzi n nn yanaumaje japo sio kiviiile lakini hizo exprience tayar nilishakua nazo so hakikua kitu geni then boom moyo unamuangukia mtu hata sjawah kujua ningekuja kukutana naye,bas mimi hapo kumbuka niko likizo ugenini,

Mungu sio athumani akanipa sound unaitwa nani nikamjibu, mimi sitaki kujua yeye anaitwa nani anafanya nn anaishi wapi eneo hilo mana tunaonana tu nyumba yetu ilikua barabarani so watu wengi hupita na movements n nyingi na maduka mengi hupatikana eneo hilo karibu na kwetu, hii siku sitaisahau mimi sina subiri nikufikirie sijui kuchelewesha wakat mtu ninayemwelewa ninaye mbele ya macho yangu.

Nikatabasamu akamwaga vyombo mimi nimetokea kukupenda sana nimeona leo nikuambie tu kilichopo moyoni, mimi meno yote niliyobarikiwa nje nikamkubalia nikaondokanzangu kurud nyumbani, sasa baada ya kurud nyumban ndio akili inarudi mahali pake nikaanza kujiuliza hivi mm n mzima au kitu gani, huyu mtu nimemkubali bila hata kumpa muda wa kumjua kama kaniona mgeni mtaani anitumie tu anibwage?

Sijui anaishi wapi sjui chochote kumhusu nimeanza lini kua mwehu wa kuhangaika na mapenzi? nimesahau kilichotokea nyuma? mimi ni mtu hua napenda kusema na nafsi yangu unaweza sema niko kimya kumbe nina kikao kizito cha kunihusu, bas najiuliza hayo huku majibu hutoka papo kwa papo, mpe muda utamjua, huwez jua watu hawafanani, lakini unakiri moyoni mwako unampenda s unajiona unavyobehave juu yake, kubali unampenda, mengine utayajua taratibuu!!


itaendelea.
Mimi sioi na mbinguni nitaenda
Sina dhambi
Kataa ndoa mixx by yaas
 
Story yako mwanzon inafana Na yangu...tulikutana kanisan Ibada ilivoisha kwenye kusalimiana....the way alivokua ananiangalia while tunaongea made me fall in love with him hata siku alivokuja kunifungukia sikupoteza muda Kesho yake nilimpa jibu la yes
Ukafunguka mutoto ya Joseph 😃
 
halaf watu wananikwot wrong, kumhudumia sikumaanisha kifedha japo hata leo hii tubasaidiana akikwama mm kutoa yangu sioni ubahili lakini enzi hizo n msoso ndio sana, nikipika namcheki baby leo nimetoa chapat uje nmekuekea akija maji yamoto ya kunawia pemben chai ya viungo kwneye chupa akitoka hapo akaoge yan as if amenioa hiki ndio nilimaanisha sio kumhonga hela mimi mwneyewe hela nasubiri nitumiwe
 
we

we ulijiwekea expectations zipi aje yoyote tu kwneye dini? mimi nilijiambia aje wa dini yangu awe hivi anipende nimpende
Nikiri hiko kipande huenda sikuzingatia nilibase kwenye mengine zaidi na ninapata sifa zote karibia 90%ninazohitaji Yan kabla sijasema nimeitikiwa,nikiomba kitu napewa napendwa natambulishwa Kwa ndugu bila kuomba napendwa na ndugu zake but huku kwangu ndio mtiti
 
Mtupe mbinu za kuchagua aisee
Nawish kuwa na ndoa yenye amani hata nikiangalia rafikizangu na ndoa zao hazitii moyo ukiangalia vijana wa kiume wengi ni wajinga na utoto kibao
Hao unaowaona ni mabishoo Wanaume Au Mume Akija Kwako Kwa Akili ya Kawaida Unamzalau Kumbe ndio Jembe hilo Ila kwa Akili za Kawaida huwezi Kumzania Huwaga wapo Kawaida tuu Kuna Siri Kumpata Mume wa Kweli Muombe Mungu Akufunulie ya Rohoni
 
Nikiri hiko kipande huenda sikuzingatia nilibase kwenye mengine zaidi na ninapata sifa zote karibia 90%ninazohitaji Yan kabla sijasema nimeitikiwa,nikiomba kitu napewa napendwa natambulishwa Kwa ndugu bila kuomba napendwa na ndugu zake but huku kwangu ndio mtiti
weka kmyupi umtakaye atakuja huku ukiweka imani yupo hata hayo yanaytokea amini ni lazima ulikua upitie hiyo segment ujue
 
Hao unaowaona ni mabishoo Wanaume Au Mume Akija Kwako Kwa Akili ya Kawaida Unamzalau Kumbe ndio Jembe hilo Ila kwa Akili za Kawaida huwezi Kumzania Huwaga wapo Kawaida tuu Kuna Siri Kumpata Mume wa Kweli Muombe Mungu Akufunulie ya Rohoni
Mwanaume Cha kwanza uwezo wa kufikiri uwe juu kuliko mwanamke wako
Siwez kuwa na mwanaume hajui anatak nn kwenye maisha hivi unaweza kumruhusu dadaako aolewe na mwanaume hata akiwa anaumwa hamjulii hata hali huyo mwanaume atakuwa na uwezo wa kumtunza huyo mke
Upendo na huruma ndio best thing kwenye relation ship
 
Back
Top Bottom