Kwenye msafara wa Kiserikali wa Rais Dubai, Shaka ana nafasi gani?

Kwenye msafara wa Kiserikali wa Rais Dubai, Shaka ana nafasi gani?

Kuna jambo limenistua kidogo japo linaonekana la kawaida lakini ni kubwa sana katika siasa na uadilifu,

Huyu Mwenezi wa CCM Bwana Hamdu Shaka, ana role gani kwenye ziara ya Rais huko Dubai katika mkutano huu wa kibiashara?

Mlinzi?
Mwekezaji?
Mfanyabiashara?
Mjasiliamali?
Machinga?
Kangomba?
Mwandishi?
Mpishi?
Msanii?
Ni Kayemba?
Ntu ya Dili?

Mkutano wa Kibiashara, Viongozi wa Ccm wanatumia pesa ya umma kwenda kusaka wanachama huko au ndio zamu yao ya kula nchi kwenyewe?

Ujio wa YerickoNyerereApp.

App imekamilika na itazinduliwa soon,
App hii itakuwa ni ya kulipia kwa

Wiki 5,000/=,
Mwezi 10,000/=,
Miezi Mitatu 20,000/=
Miezi sita 25,000/=
Mwaka mmoja 30,000/=

Ukishalipia vitabu vyote utasoma Soft copy BURE yaani FREE kupitia simu yako kuanzia Kitabu cha Ujasusi, Madaraka, Strategy na Mtu baada ya Mtu.

Malengo ni kuwa na platform inayomfanya kila mtu asome vitabu kwa kiasi chochote cha pesa alichonacho, na mtu atasoma kitabu kwa simu, iPad yake bila kuhangaika kunipigia simu mimi.

View attachment 2135726
hawa wazanzibari wanaona sasa ni zamu yao kula. come 2025 nchi itakuwa kavu bila akiba yo yote....mainyesho ya biashara rais wa nini ikiwa mawaziri wapo?
 
Kuna jambo limenistua kidogo japo linaonekana la kawaida lakini ni kubwa sana katika siasa na uadilifu,

Huyu Mwenezi wa CCM Bwana Hamdu Shaka, ana role gani kwenye ziara ya Rais huko Dubai katika mkutano huu wa kibiashara?

Mlinzi?
Mwekezaji?
Mfanyabiashara?
Mjasiliamali?
Machinga?
Kangomba?
Mwandishi?
Mpishi?
Msanii?
Ni Kayemba?
Ntu ya Dili?

Mkutano wa Kibiashara, Viongozi wa Ccm wanatumia pesa ya umma kwenda kusaka wanachama huko au ndio zamu yao ya kula nchi kwenyewe?

Ujio wa YerickoNyerereApp.

App imekamilika na itazinduliwa soon,
App hii itakuwa ni ya kulipia kwa

Wiki 5,000/=,
Mwezi 10,000/=,
Miezi Mitatu 20,000/=
Miezi sita 25,000/=
Mwaka mmoja 30,000/=

Ukishalipia vitabu vyote utasoma Soft copy BURE yaani FREE kupitia simu yako kuanzia Kitabu cha Ujasusi, Madaraka, Strategy na Mtu baada ya Mtu.

Malengo ni kuwa na platform inayomfanya kila mtu asome vitabu kwa kiasi chochote cha pesa alichonacho, na mtu atasoma kitabu kwa simu, iPad yake bila kuhangaika kunipigia simu mimi.

View attachment 2135726
Shaka ni mzanzibar!!!
 
Threads za kipumbavu zinaanzishwa kila siku humu JF kuponda kila hatua ambayo Rais SSH anafanya. Halafu eti Yericko Nyerere naye ni mtunzi wa vitabu vya KIJASUSI.

Tafuteni mada fikirishi siyo haya maongezi ya jikoni
Mbona unadharau jiko wakati wewe mwenyewe ndiyo kazi yako kukuna nazi jikoni?
JamiiForums830553590_240x180.jpg
 
Kuna jambo limenistua kidogo japo linaonekana la kawaida lakini ni kubwa sana katika siasa na uadilifu,

Huyu Mwenezi wa CCM Bwana Hamdu Shaka, ana role gani kwenye ziara ya Rais huko Dubai katika mkutano huu wa kibiashara?

Mlinzi?
Mwekezaji?
Mfanyabiashara?
Mjasiliamali?
Machinga?
Kangomba?
Mwandishi?
Mpishi?
Msanii?
Ni Kayemba?
Ntu ya Dili?

Mkutano wa Kibiashara, Viongozi wa Ccm wanatumia pesa ya umma kwenda kusaka wanachama huko au ndio zamu yao ya kula nchi kwenyewe?

Ujio wa YerickoNyerereApp.

App imekamilika na itazinduliwa soon,
App hii itakuwa ni ya kulipia kwa

Wiki 5,000/=,
Mwezi 10,000/=,
Miezi Mitatu 20,000/=
Miezi sita 25,000/=
Mwaka mmoja 30,000/=

Ukishalipia vitabu vyote utasoma Soft copy BURE yaani FREE kupitia simu yako kuanzia Kitabu cha Ujasusi, Madaraka, Strategy na Mtu baada ya Mtu.

Malengo ni kuwa na platform inayomfanya kila mtu asome vitabu kwa kiasi chochote cha pesa alichonacho, na mtu atasoma kitabu kwa simu, iPad yake bila kuhangaika kunipigia simu mimi.

View attachment 2135726
Komredi Shaka Hamdu Shaka ni kiongozi wetu CCM....

Komredi Shaka Hamdu Shaka ana haki zote za kukiwakilisha CHAMA DOLA katika safari za serikali.....

Huo ndio ukweli ndugu yangu Yericko.........

Huo ndio ukweli ewe swahiba wa "mwamba tuvushe" 🤣🤣

Nisalimie hapo "KIBANDANI" ufipa street🤣

#Siempre CCM🙏
 
Shaka Hamdu Shaka,
Kipenzi Cha Mama

Yaani kama hii nchi ni familia ,basi Shaka ni last born[emoji23][emoji23][emoji23]

Mama yoyote kwenye family hawezi kumwacha mtoto wake wa mwisho Tena mtoto mdogo [emoji23][emoji23][emoji23]

Miaka hiyo my mom alisafiri kwenda Kenya tu hapo

Jambo kubwa kwangu lilikuwa kumuona Kenyatta senior liiiive lilikuwa jambo kubwa sana nilishindwa nawasimuliaje hata friendmate wenzangu

Mama hakuniacha Mimi licha ya kuwa nilikuwa +20 lakini alikuwa ananiona mtoto

Kaka na dada zangu wote hawajawahi kutoka nje ya bongo hata

weeeee Mimi kurudi ndugu zangu nilikuwa nawaonaje sijui[emoji23][emoji23][emoji23]

Achilia mbali majirani ,nilijiona natoka Paris, Amsterdam,New York [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Acha Shaka ale maisha, Duniani tunapita,nafasi yake imefika
umesema kweli shaka na mama ni damu damu wanatoka eneo moja
 
Shaka Hamdu Shaka,
Kipenzi Cha Mama

Yaani kama hii nchi ni familia ,basi Shaka ni last born[emoji23][emoji23][emoji23]

Mama yoyote kwenye family hawezi kumwacha mtoto wake wa mwisho Tena mtoto mdogo [emoji23][emoji23][emoji23]

Miaka hiyo my mom alisafiri kwenda Kenya tu hapo

Jambo kubwa kwangu lilikuwa kumuona Kenyatta senior liiiive lilikuwa jambo kubwa sana nilishindwa nawasimuliaje hata friendmate wenzangu

Mama hakuniacha Mimi licha ya kuwa nilikuwa +20 lakini alikuwa ananiona mtoto

Kaka na dada zangu wote hawajawahi kutoka nje ya bongo hata

weeeee Mimi kurudi ndugu zangu nilikuwa nawaonaje sijui[emoji23][emoji23][emoji23]

Achilia mbali majirani ,nilijiona natoka Paris, Amsterdam,New York [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Acha Shaka ale maisha, Duniani tunapita,nafasi yake imefika
Mkuu utakua umekula chumvi nyingi hongera Sana.

Kenyatta senior ulimuona na ulikua 20+ ?

Shikamoo!
 
Kuna jambo limenistua kidogo japo linaonekana la kawaida lakini ni kubwa sana katika siasa na uadilifu,

Huyu Mwenezi wa CCM Bwana Hamdu Shaka, ana role gani kwenye ziara ya Rais huko Dubai katika mkutano huu wa kibiashara?

Mlinzi?
Mwekezaji?
Mfanyabiashara?
Mjasiliamali?
Machinga?
Kangomba?
Mwandishi?
Mpishi?
Msanii?
Ni Kayemba?
Ntu ya Dili?

Mkutano wa Kibiashara, Viongozi wa Ccm wanatumia pesa ya umma kwenda kusaka wanachama huko au ndio zamu yao ya kula nchi kwenyewe?

Ujio wa YerickoNyerereApp.

App imekamilika na itazinduliwa soon,
App hii itakuwa ni ya kulipia kwa

Wiki 5,000/=,
Mwezi 10,000/=,
Miezi Mitatu 20,000/=
Miezi sita 25,000/=
Mwaka mmoja 30,000/=

Ukishalipia vitabu vyote utasoma Soft copy BURE yaani FREE kupitia simu yako kuanzia Kitabu cha Ujasusi, Madaraka, Strategy na Mtu baada ya Mtu.

Malengo ni kuwa na platform inayomfanya kila mtu asome vitabu kwa kiasi chochote cha pesa alichonacho, na mtu atasoma kitabu kwa simu, iPad yake bila kuhangaika kunipigia simu mimi.

View attachment 2135726
Yericko naye MSANII?!!!

Kwani alionekana sana kule NGOME YA CHADEMA mitaa ya mbezi beach kwa "ULIPO TUPO" baada ya KUHAMIA CHADEMA......

#Siempre JMT🙏
2991488_images_7.jpeg
 
Zamu yenu wazanzibar kuitafuna Tanganyika
Mimi si mzanzibari......

Sina tone la damu na huko.....

Ila mzanzibari ni MTANZANIA kama nilivyo mimi na wewe.....

Tanganyika haipo.....ilishakufa.....ilishazikwa.....huwezi kuifufua.....

Anayeitaka Tanganyika kwanza afe halafu atakutana nayo KUZIMU.....
 
Mimi si mzanzibari......

Sina tone la damu na huko.....

Ila mzanzibari ni MTANZANIA kama nilivyo mimi na wewe.....

Tanganyika haipo.....ilishakufa.....ilishazikwa.....huwezi kuifufua.....

Anayeitaka Tanganyika kwanza afe halafu atakutana nayo KUZIMU.....
Hakuna mtanzania mjinga kama hivi, wewe tunakujua ni mpemba
 
Back
Top Bottom