TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

Hahahahahaha!!! Alikuwa mtata sana huyo mzee yaonekana!
 
Mkakaro huyu huyu aliekuwa pale jumba jeupe au? Mimi nilimfahamu kwa jina la Charles Mkakaro au baba Glady, bado mdogo nini kimemkuta?

Sema jamaa alikua anapenda kutishia watu maisha, zile za unanijua mimi alikua nazo sana
Dah....."Peace" 🤭
 
Mkakaro huyu huyu aliekuwa pale jumba jeupe au? Mimi nilimfahamu kwa jina la Charles Mkakaro au baba Glady, bado mdogo nini kimemkuta?

Sema jamaa alikua anapenda kutishia watu maisha, zile za unanijua mimi alikua nazo sana
Kwangu mtu akishaanza hizo mambo ( unanijua mimi nani) namtreat vibaya kuliko kawaida ili anioneshe yeye ni nani.
 
Sio Kila anacomment hapa ana kitambulisho Mzee Wengine Tulisoma nae Chuo

Sent using Jamii Forums mobile app

na pia anatakiwa afahamu kuna public security officers na pia kuna secrete security officer.
public security officers wanajulikana na jamii hawa mfano ni walinzi wa viongozi na watendaji wengine wa tiss kama ma DSOs ,RSOs na DG wa TISS ma secret security officer hawa hawajulikani na hawatakiwi kujulikana
 
Kimbola Hiko sio bure
 
Huyo alikuwa kiboko
 
Tutaj
Tutajie mwingine aliyekufa kiajabu basi tukuelewe kwamba unawajua
mbona wengi tu hadi huku jf zinarushwa
soma hapo chini na kuna nyingine naitafuta nitaileta

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…