Kabisa Mkuu, silaha pekee ya CCM kwa sasa ni kufanya hujuma siku ya kupiga kura. Kwa kufanya KAMATAKAMATA ya Mawakala, kuzuia wasiwepo kwenye mchakato, kuwanyima nakala na kupora na KUKIMBIA na masanduku ya kura.Bado watanzania wanaendelea kufikiri ushindi wa kishamba wa kukimbia na masanduku ya kura ili kuiba ushindi.
Nakumbuka nikiwa mtwara nilimshuhudia Huyu waziri wetu mkuu enzi hizo akiwa mwalimu akifanikisha kutorosha masanduku ya kura za uraisi kwa usimamizi wa Meck sadiq aliyekua mkuu wa pale wakati ule wakitumia gari aina ya Izuzu pick up(van) mali ya kampuni ya Muhamad enterprises.
Hapa ndipo alipopatia uteuzi wa ukuu wa wilaya aliyoteuliwa na Mh Kikwete.
Zama zile kwa sasa zimebadilika, na hata huu ubunge majaliwa aliyopora haki ya watu kuchagua na kuamua kuwatawala kinguvu asistaajabu atakapo utapika kwenye kulazimishwa kuuachia kwenye vyombo halali vya kisheria vitakapokuwa huru kutenda haki
Pascal Mayalla umefikia hatua ya kujumuishwa na Buku 7. inasikitisha sana
nyomi kama hili hutoliona kwenye TV saa 2 usiku. wataonyeshwa mpaka wagombea wa TADEA lakini sio Lissu.kujikosha sana wanamuonyesha MwalimuHakuna tv, hakuna gazeti? Hakuna redio wala hakuna gari la matangazo.
Yesu akasema" viwete wanapona , vipofu wanapona"
Ni baada ya wayahudi kuwa wanauliza uliza kwani huyu ndiye yesu mwenyewe au Tusubirie mwingine?? Hakuwajibu kama.yeye ndiye bali aliwajibu kuwa wakamwambie Yohana mbatizaji hivyo.
Nayo itashindwa tu. Kqani mpaka sasa wameshindwa mangapi?? Tena ambapo wako wamejipamga wakiwa organized kwa nguvu nyingi?? Siku ya uchaguzi kila mkoa, kila jimbo, kila kata itakuwa kivyake.Kabisa Mkuu, silaha pekee ya CCM kwa sasa ni kufanya hujuma siku ya kupiga kura. Kwa kufanya KAMATAKAMATA ya Mawakala, kuzuia wasiwepo kwenye mchakato, kuwanyima nakala na kupora na KUKIMBIA na masanduku ya kura.
Fisi asusiwi buchaMkuu umenchanganya. Shetani ni nani watawala?? Hahahaha.
Wala hatuhitaji tena. Watanzania wanaongalia tv sasa hivi wote wanamuona Live kwenye majimbo yao na mahali walipo.nyomi kama hili hutoliona kwenye TV saa 2 usiku. wataonyeshwa mpaka wagombea wa TADEA lakini sio Lissu.kujikosha sana wanamuonyesha Mwalimu
Jamani naombeni majibu aisee.Wananchi wa Lamadi wakimdekia barabara Mhe. Tundu Lissu asubuhi hii
Atapewa na tume ipi?Huyu jamaa aliyepiga spana ccm na magu wake anafaa sana kuwa mbunge
KMMK waklai wewe fundi25 tangu nijiunge JF tarehe 9/9/2009 sijawahi pewa "dislike"Aisee mpaka chozi limenitoka.
Kwa sababu wanaoshabikia Chadema wanaonekana na watawala. Na I'm sure viongozi wao wa maeneo hayo wanawaona wanavyoishabikia Chadema.
I'm sure they will have hard times ahead. Sana tena. Maskini Lissu atakua kashaondoka. Tuseme na Lissu akashindwa na uchaguzi. Life baada ya hapo haitakua sawa kwa baadhi yao. I feel aisee kwa hawa watu.
Ila Mungu atawasaidia.
Sometimes I wonder why enzi za Kikwete na Mkapa uonevu wa waziwazi ulikua haufanyiki jamani.
Basi kama vipi vyama vingi tufute mpk Magufuli amalize uraisi.
Kumbe hata kuandika hujui. Ndio maana CCM inawatumia wajinga kama nyie.Hata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Kajifunze kuandika.....Hata Mzee alidekiwa balabala, rakini akushinda ulais. Kwahiyo ni utopolo mtupu tu
Huyo ni kilaza, kiazi aka empty brainKumbe hata kuandika hujui. Ndio maana CCM inawatumia wajinga kama nyie.
Ngoja nikusahihishe siku nyingine uandike vizuri.
Balabala....... Barabara
Rakini............lakini
Akushinda..... Hakushinda
Ulais.......urais
Umeongea ukweli mtupu.... Wajinga wajinga ndio walikuwa washauri wakuu... Sasa mtu kama Bashiru, Pole Pole, Kabudi, Mpango hawajawahi kufanya hata biashara ya nyanya leo hii ndio wawe washauri katika uchumi? Kweli!Magufuri angekuwa Kati ya marais bora walio tawala Tanzania nazani alikosa washauri wazuri
Akafuata ushauri wa akina makonda na wengine wajinga wajinga kama kina gambo chalamila hapi muro sabaya hawa wamemuhalibia sana magufuri na yeye alifanya kosa kubwa kuwaacha
Tatu walipo anza watu wasio julikana hapa ndio nikakichikia kabisa ccm pamoja na rais hata kufanya uchunguzi wa kinafiki akaa kimya
Kiukweli siwezi kuchangua ccm tena naenda na lisu
Ccm ya Leo vijana haitusamini kabisa watu wapo mtaani tu ajira hakuuna ila watoto wao wanapewa ajira ila si wa huku mgombe vijijini tujiajili jamani
Naongea kwa uchungu sana ila ccm tutawafurahisha safari hii mtaiba hadi mtashindwa tu tutapiga kula za kimbunga haijawahi tokea