Uchaguzi 2020 Lamadi: Wananchi wafunga barabara na kumtaka Tundu Lissu asipite bila kuzungumza chochote

Hakuna tv, hakuna gazeti? Hakuna redio wala hakuna gari la matangazo.

Yesu akasema" viwete wanapona , vipofu wanapona"
Ni baada ya wayahudi kuwa wanauliza uliza kwani huyu ndiye yesu mwenyewe au Tusubirie mwingine?? Hakuwajibu kama.yeye ndiye bali aliwajibu kuwa wakamwambie Yohana mbatizaji hivyo.
 
Kabisa Mkuu, silaha pekee ya CCM kwa sasa ni kufanya hujuma siku ya kupiga kura. Kwa kufanya KAMATAKAMATA ya Mawakala, kuzuia wasiwepo kwenye mchakato, kuwanyima nakala na kupora na KUKIMBIA na masanduku ya kura.
 
nyomi kama hili hutoliona kwenye TV saa 2 usiku. wataonyeshwa mpaka wagombea wa TADEA lakini sio Lissu.kujikosha sana wanamuonyesha Mwalimu
 
Kabisa Mkuu, silaha pekee ya CCM kwa sasa ni kufanya hujuma siku ya kupiga kura. Kwa kufanya KAMATAKAMATA ya Mawakala, kuzuia wasiwepo kwenye mchakato, kuwanyima nakala na kupora na KUKIMBIA na masanduku ya kura.
Nayo itashindwa tu. Kqani mpaka sasa wameshindwa mangapi?? Tena ambapo wako wamejipamga wakiwa organized kwa nguvu nyingi?? Siku ya uchaguzi kila mkoa, kila jimbo, kila kata itakuwa kivyake.
 
nyomi kama hili hutoliona kwenye TV saa 2 usiku. wataonyeshwa mpaka wagombea wa TADEA lakini sio Lissu.kujikosha sana wanamuonyesha Mwalimu
Wala hatuhitaji tena. Watanzania wanaongalia tv sasa hivi wote wanamuona Live kwenye majimbo yao na mahali walipo.

Matv waliona yana maana sana. Lissu amevuka kila mipaka.

Chains breaker.
 
Huyu jamaa aliyepiga spana ccm na magu wake anafaa sana kuwa mbunge
 
Wananchi wa Lamadi wakimdekia barabara Mhe. Tundu Lissu asubuhi hii
Jamani naombeni majibu aisee.
Mbona kama vile naona Lissu sijawahi msikia akisema Peopleeeeeeeeesssss.... Watu waseme poweeeeeeeeeerrrr...
Au kama haikubali hii
Hata juzi kati alipoenda usiku kule kibaha akasema uchaguzi uko kwenye makaratasi mnayosaini sio mnapiga tu peoples power majukwaani huku hamjasoma kilichoandikwa mnapo sign.
 
KMMK waklai wewe fundi25 tangu nijiunge JF tarehe 9/9/2009 sijawahi pewa "dislike"
Dah ndio ushantia gundu hivyo Hem ifute basi au njoo pm nukupe hata bakhshishi ufute HAHAHAHAHAHAHAH
 
Kumbe hata kuandika hujui. Ndio maana CCM inawatumia wajinga kama nyie.

Ngoja nikusahihishe siku nyingine uandike vizuri.
Balabala....... Barabara
Rakini............lakini
Akushinda..... Hakushinda
Ulais.......urais
Huyo ni kilaza, kiazi aka empty brain
 
Umeongea ukweli mtupu.... Wajinga wajinga ndio walikuwa washauri wakuu... Sasa mtu kama Bashiru, Pole Pole, Kabudi, Mpango hawajawahi kufanya hata biashara ya nyanya leo hii ndio wawe washauri katika uchumi? Kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…