Hakuna tv, hakuna gazeti? Hakuna redio wala hakuna gari la matangazo.
Yesu akasema" viwete wanapona , vipofu wanapona"
Ni baada ya wayahudi kuwa wanauliza uliza kwani huyu ndiye yesu mwenyewe au Tusubirie mwingine?? Hakuwajibu kama.yeye ndiye bali aliwajibu kuwa wakamwambie Yohana mbatizaji hivyo.
Yesu akasema" viwete wanapona , vipofu wanapona"
Ni baada ya wayahudi kuwa wanauliza uliza kwani huyu ndiye yesu mwenyewe au Tusubirie mwingine?? Hakuwajibu kama.yeye ndiye bali aliwajibu kuwa wakamwambie Yohana mbatizaji hivyo.