LATRA waruhusu Mabasi kuanza safari saa 9 Usiku

LATRA waruhusu Mabasi kuanza safari saa 9 Usiku

Ni kweli mi ni wa 2000's ila huo kwaka mliokuwa mnayapanda naona kama umetupiga!!!
Kivipi, Kilimanjaro Express ilikuwa inaitwa SAWAYA, Sawaya ni jina la Tajiri, Dar Express imeanza 1982 ikiwa ni malori ya kubeba magogo baadae akaja mabasi na malori na mpaka sasa Mzee Mremi unamuona na hayo mabasi,;
Ngorika zipo mpaka sasam ndio familia moja akina Kley , Chakito, Kirumo charo,
Bazuu ilikuwa inatoka DAr- Moshi- Arusha, Nairobi kampaala kwa siku moja.
Oxygen ilianzia Nairobi-Arusha - moshi to Dar,
SUKIWA ilikuwa mabasi ya SHIRIKALA SERIKALI YA TANZANIA.
MALETHO and another Maletho na mengine mengi sijakutajia mjukuu wangu.

nipe shikamoo.
 
Kivipi, Kilimanjaro Express ilikuwa inaitwa SAWAYA, Sawaya ni jina la Tajiri, Dar Express imeanza 1982 ikiwa ni malori ya kubeba magogo baadae akaja mabasi na malori na mpaka sasa Mzee Mremi unamuona na hayo mabasi,;
Ngorika zipo mpaka sasam ndio familia moja akina Kley , Chakito, Kirumo charo,
Bazuu ilikuwa inatoka DAr- Moshi- Arusha, Nairobi kampaala kwa siku moja.
Oxygen ilianzia Nairobi-Arusha - moshi to Dar,
SUKIWA ilikuwa mabasi ya SHIRIKALA SERIKALI YA TANZANIA.
MALETHO and another Maletho na mengine mengi sijakutajia mjukuu wangu.

nipe shikamoo.
Huu mwaka 19990 we unaona uko Sawa?
 
Nadhani ni suala la muda tu, maana kuna mambo hayaepukiki kwenye dunia hii inayokwenda kwa kasi ajabu.

Ilianza saa 12 mara saa 11, sasa ni saa 9 kutoka popote pale ndani ya Tanzania kuelekea mikoa mingine ili mradi ukidhi vigezo hasa kigezo cha LATRA kukuruhusu.

Mamlaka ya usafiri ya udhibiti wa usafiri ardhini nchini imewaagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda kuanza safari muda huo wa saa tisa usiku wafike katika Ofisi zao kuomba upya leseni.

Salum Pazzy anayekaimu kitengo cha uhusiano na mawasiliano cha LATRA amesema, ni lazima madereva wasajiliwe ili kuwa na taarifa zao za msingi.

Kwa maoni yangu, angalau kidogo mnasogea japo bado sana maana tunapaswa kusafiri 24hrs katika dunia inayopungua ukubwa kila siku, ikiwa watu hawalali kwa sasa wakikimbia huko na huko.
Airport pale ni masaa 24 je mabasi mnasubiri nini?
 
Mwaka 19990-95 tulipanda mabasi haya kutoka Arusha kuja Dar,
1. Fresh ya Shamba.
2. SUKIWA,
3. Njuweni
4. Shabaha,
5. Mkombozi,
6. Bazuu.
7. Oxygen.
8. Ngorika.
9. Mfahamiko.
11. Sukiwa.
12. Dar express.
13. SAWAYA [Kilimanjaro Express]
14. Marangu [Marangu coach].
15. Air Msae.
16. Buffalo.
kumbe marangu alikuepo mda nlijua wa juzi alivokuja na yutong meusi yale
 
Masaa 24 kwa madereva wepi? Ni hawa hawaa wa mabasi wanaotanua hovyo hovyo na kutowajali watumiaji wengine wa barabara? Trust me ajali zitakazofuatia hapo ….zitakuwa za kutisha sanaa!
Waziri Mkuu Dododma.jpg
 
Back
Top Bottom