Bm wameanza toka March , 2023 na mabasi yanajaa, Wakatu unaumwa wenzako wanapona, wakati unasubiri liive wenzio wanakula na chumvi, wakati unatembea wenzio wanakimbia, wakati unawaza wenzio wanatenda "Wachagga kila siku wako mbele hatua 3 zaidi yetu watu wa kusini".
Sikudhihaki ila utakuwa mtoto wa mika ya 2000's, toka tumepata uhuru mpaka mwaka 1998 safari za Treni kutoka Arusha-Moshi-Tanga zilikuwa saa 11 jioni mpaka asubuhi.
Safari za mabasi ilikuwa kuanzia saa 12 jioni na kufika asubuhi[nikufahamishi ] namna tunavyosonga mbele ndio akili zetu zilikuwa zinadumaa na safari zikalazimishwa ziwe mchana.
huu si utaratibu mpya, ulikuwepo kabla haujatungishwa mimba[ukiwa kiunoni kwa mshua wako].