LATRA waruhusu Mabasi kuanza safari saa 9 Usiku

LATRA waruhusu Mabasi kuanza safari saa 9 Usiku

Naona hii ni hatua nzuri ingawa bado.
Kinachihitajika ni kusafiri saa 24.
Tunafahamu kuwa hapa nchini mwetu, ukiondoa mabasi, vyombo vingine vyote vinasafiri saa 24.

Hivi sasa baadhi ya njia/barabara zinazosemekana kuzuiwa kusafiri saa 24, mabasi yanasafiri hadi saa 6 au 7 usiku kisha yanaendelea na sadari saa 11 au 12 alfajiri.
Je, tuamini kuwa ajali ambazo "Wataalamu" wanazizuia, zinatokea muda huo wa kati ya saa 7 usiku na 11 alfajiri?

Nashauri wenye mabasi waruhusiwe kupanga muda wa kuanza na kumaliza safari zao.
Kwanza ni utaratibu mbaya kuruhusu mabasi kuanza safari kwa wakati mmoja kama ilivyo sasa kwa kuondoka saa 12 asubuhia.
Hivi hii ni 'Marathon'?

Kwa nini.mabasi yote yafuatane?
Yakishaondoka alfajiri unakuwa umekwama kusafiri.
Hapo ndipo tunaleta umaarufu na kuhitajiwa sana hizo Coaster za "Hakuna kulala"

Kwa kuwa mabasi ni biashara na ni huduma, waachwe kupanga muda ufaao.

Mfano, basi linaloondoka Dar au mkoani saa 12 jioni litapata wateja wengi kwa kuwa abiria ambao wanahitaji kwenda kuona familia zao wataondoka muda huo (siku ya Ijumaa) wafike waendako asubuhi na Jumapili jioni wapande mabasi kurudi na wafike waendako alfajiri ya Jumatatu na waingie kazini.

Tunakumbuka mabasi yalivyokuwa yakisafiri usiku kucha.
Tulisafiri nayo.

Wataalamu leteni suluhisho badala ya vikwazo.
Mnatuumiza kwa masharti yenu.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Huwezi kushindana na maendeleo.Eti unaogopa kufanya kitu,kwasababu ya vikwazo vilivyondani ya uwezo wako?!!kuhusu usalama kwa sasa Tz nzima,maeneo kidogo korofi ni kagera na kigoma tu.Najua hii sheria bado kwa magari yatokayo dar kwenda bukoba haitawahusu,kwani bado kuna kikwazo huko mbele,ila kigoma wao itawasaidia.Kuhusu madereva hilo ni jukumu la LATRA,na POLICE,kuwadhibiti.Tena inatakiwa iwe saa 24 kabisa,mbona zambia wameweza?ni mikakati tu
Mabasi yaendayo Bukoba na Kigoma, yakiruhusiwa kuondoka Dar jioni, yatafika maeneo yanayotuhumiwa wakati wa mchana.
Hayatalazimika kulala popote.
 
Hahaha mpwa hujui usemalo, Wacha nikuonjeshe facts. Hii hapa chini nimechukua kutoka group Fulani sitalitaja.

MWANZA_DAR
[emoji625]KONGOWE

01:[emoji269]EBF[emoji521][emoji521]_ 22:49

02:[emoji269]KUFFI[emoji289][emoji289]_22:50

03:UNSTOPPABLE[emoji521][emoji521]_22:50

04:KATARAMA[emoji1095][emoji1095]_22:52


#VIDEO LOADING#[emoji91][emoji91]

Yaani saa nne wanaingia kongowe
Kwa nini turuhusu hali hii ya mtifuano wa mabasi.
Kwa nini yasianze safari muda tofauti?
 
Kwanza mkipata ajalali maporini muda huo msaada wa haraka mnaupataje? Kuna vijiji vingine wana asili ya uhalifu, mkianguka tu wanakuja kuwapora, muda huo utampata nani, haya mambo waache kuyaangalia kisiasa tu, waangalie na kiusalama zaidi wa wasafiri.
Umeongea ukweli mchungu lakini hutoeleweka mapema, watu hawatazami kwa pich kubwa wanaangalia kwa 'angle' ya kuwahi kufika.

Maana muda itabidi huduma zote za dharula ziwepo mapema ili kusaidia ajali na tatizo inapotokea.

Isije kutokea tukalazimisha watumishi wa Umma wakalazimishwa kufanya kazi masaa 24 ili kusaidia Jambo hili. Kwa sababu gani?
 
Umeongea ukweli mchungu lakini hutoeleweka mapema, watu hawatazami kwa pich kubwa wanaangalia kwa 'angle' ya kuwahi kufika.

Maana muda itabidi huduma zote za dharula ziwepo mapema ili kusaidia ajali na tatizo inapotokea.

Isije kutokea tukalazimisha watumishi wa Umma wakalazimishwa kufanya kazi masaa 24 ili kusaidia Jambo hili. Kwa sababu gani?
Ajali na changamoto zinazotokea kati ya saa 2 usiku na saa 6 au 7 usiku yawapo safarini zinatatuliwaje?
Tumejaribu kutafiti wenzetu nchi jirani wanafanyaje?
 
Saa 9 majambazi wanatokea wapi?
Huwa naona magari yenye namba PT na pembeni yameandikwa ROAD/HIGHWAY PATROL.
Serikali iwaongezee nguvu ili wasaidie kuondoa changamoto hizi au nyinginezo za aina hii.
 
Dar to moshi ni basI gani limesafiri saa tisa alfajiri?
Twende kwa data
BINAFSI NATAMANI MABASI KWA ROUTE ZILIZO SALAMA YASAFIRI 24HRS
Hakuna sehemu nimeandika basi limesafiri Dar to Moshi saa tisa alfajiri, NO!.

Kwa maana hiyo ulipaswa kuuliza siyo kuquote kitu ambacho sikuandika, na kaa hujawahi basi iko hivi, pale kimara kuna mabasi kuanzia saa 12 jioni hadi saa 2 usiku kwenda mbeya.

Haya, Ubungo mataa kupitia bagamoyo kuanzia saa 12 jioni hadi saa 3 usiku unapata, kwa njia ya Moshi/Arusha.
 
  • Safi! A good move!
  • Bado kutizama majira ya mchana pia. Nakwazika pale kila abiria wa ruti ndefu anapolazimika kuwahi stendi alfajiri kwa kuwa magari yote ya ruti ndefu yanaondoka asubuhi. Kwa maoni yangu, kuwe na basi za mchana hata chache kwa ruti ndefu. Kwa sasa kama unasafari ya Dar - Mbeya, Songea, Bukoba, Kugoma, n.k unalazimika kuamka alfajiri ili uwahi gari. Sio poa sana.
 
Mabasi yaendayo Bukoba na Kigoma, yakiruhusiwa kuondoka Dar jioni, yatafika maeneo yanayotuhumiwa wakati wa mchana.
Hayatalazimika kulala popote.
Hilo sawa!!kuna kipindi kuna bus la darlux lilikuwa linatoka dar saa 8 mchana ,sijui liliishia wapi,ila kwa muda huo wa saa tisa bado sio rafiki kwa route hiyo.
 
Ajali na changamoto zinazotokea kati ya saa 2 usiku na saa 6 au 7 usiku yawapo safarini zinatatuliwaje?
Tumejaribu kutafiti wenzetu nchi jirani wanafanyaje?
Miaka ya nyuma iliyokuwa kampuni ya Scandinavian Express ilikuwa na route za usiku, mojawapo ilikuwa inaanzia Moshi kwenda Mwanza.

Nakumbuka nilikuwa nafanya mishe zangu asubuhi hadi mchana napiga simu naletewa begi langu, saa 8:30 tunachomoa kuelekea Arusha, Namanga kisha uko Kenya ni night hadi tunafika boarder ya Sirali alfajiri km saa 10:30.

Tatizo la nchi yetu, tulikuwa tunavuka upande wa Tanganyika tunaambiwa subirini hadi saa 12:00, 🤗 unaona tatizo hapo?.
 
Watabamizana vizuri
Wakizidi kuwa viburi
Barabarani
Any way ni furaha kwq
Watengeneza majeneza

Ova
 
Wakianza watu kuporwa kunyongwa kubakwa mrudi mtuletee mrejesho…
 
Kupakuliwa apakuliwe dereva halafu aibu apate polisi!
Hebu tumia ubongo kufikiri, kazi ya kulinda usalama kwenye Barabara za Jamhuri ni kazi za Police wanatakiwa wafanye patrol 24 hrs kama yalivyo mataifa mengine.
 
Back
Top Bottom