Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Maskini roho zetu..Subutuuu jamaa wanatembea balaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini roho zetu..Subutuuu jamaa wanatembea balaaa
Tena kati ya saa 9 mpaka kunakucha ndo pa kupaogopa. Watakimbia kama wanawahi kufumania.Muhimu kutozidisha speed na umakimi njian
Huwezi kushindana na maendeleo.Eti unaogopa kufanya kitu,kwasababu ya vikwazo vilivyondani ya uwezo wako?!!kuhusu usalama kwa sasa Tz nzima,maeneo kidogo korofi ni kagera na kigoma tu.Najua hii sheria bado kwa magari yatokayo dar kwenda bukoba haitawahusu,kwani bado kuna kikwazo huko mbele,ila kigoma wao itawasaidia.Kuhusu madereva hilo ni jukumu la LATRA,na POLICE,kuwadhibiti.Tena inatakiwa iwe saa 24 kabisa,mbona zambia wameweza?ni mikakati tuUsalama vipi? Mnachekelea tu kuruhusiwa kwa safar za usiku lkn hamuwazi side effects za hizo safar? Vip ujambaz, ubovu wa barabara na ujinga wa wale madereva wanaobeti kuendesha speed kubwa?
Hili walitolee ufafanuzi
Juzi nilikuwa nakuja kigoma tulifika kaliua saa tano kasoro tukalala pale had saa 12 asubuhi nikafika kigoma saa sita mchana nikashangaa Sana kulikuwa na sababu gani ya muhimu kulala kaliua...Sisi wa kasulu hakuna Tena kulala njiani Kaliua. Kasulu na Kigoma tunafika saa sita usiku
Huko ni kutumia rasilimali watu vibaya tu!!kwenye hizi barabara kubwa funga cctv cameras zote,mtu aki over speed atakutana na mkeka wake kwenye simu yake!!Toa binadamu kabisa,kwani ndio wametufikisha hapa acha mfumo ufanye kazi !!Nenda Rwanda uone!!!Serekali iwapatie traffic tochi za usiku
Mkuu watu W dar ni kweli uwa nakuja arusha kuchukua mitumba?Habari njema. Saa 9 nachomoka Dar, saa , 5 nashuka zangu hapo Tengeru kuwahi mitumba.
Baadhi ya Madereva wa Mabasi n watu wa hovyo kabsa awapendi kufuata taratibu za barabarani isije kuwa shida.Subutuuu jamaa wanatembea balaaa
Tunateseka sana na imagine Dar unatoka saa 12 asubuhi mnakimbizana mchana kutwaJuzi nilikuwa nakuja kigoma tulifika kaliua saa tano kasoro tukalala pale had saa 12 asubuhi nikafika kigoma saa sita mchana nikashangaa Sana kulikuwa na sababu gani ya muhimu kulala kaliua...
Mbona sasa hivi pia wanakimbia??Watakimbia balaa Ili kuwahi matrafic saa moja asubui
Ushawahi kusafiri usiku mara ngapi?Jichanganye upande saa tisa usiku kwa madereva wetu hawa wasiotambua umuhimu wa kulala mapema
Nipo barabarani muda huu magari yanakimbia vibaya sana
Jioni labdaMbona sasa hivi pia wanakimbia??
Hahaha mpwa hujui usemalo, Wacha nikuonjeshe facts. Hii hapa chini nimechukua kutoka group Fulani sitalitaja.Jioni labda