Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kivipi, Kilimanjaro Express ilikuwa inaitwa SAWAYA, Sawaya ni jina la Tajiri, Dar Express imeanza 1982 ikiwa ni malori ya kubeba magogo baadae akaja mabasi na malori na mpaka sasa Mzee Mremi unamuona na hayo mabasi,;Ni kweli mi ni wa 2000's ila huo kwaka mliokuwa mnayapanda naona kama umetupiga!!!
Huu mwaka 19990 we unaona uko Sawa?Kivipi, Kilimanjaro Express ilikuwa inaitwa SAWAYA, Sawaya ni jina la Tajiri, Dar Express imeanza 1982 ikiwa ni malori ya kubeba magogo baadae akaja mabasi na malori na mpaka sasa Mzee Mremi unamuona na hayo mabasi,;
Ngorika zipo mpaka sasam ndio familia moja akina Kley , Chakito, Kirumo charo,
Bazuu ilikuwa inatoka DAr- Moshi- Arusha, Nairobi kampaala kwa siku moja.
Oxygen ilianzia Nairobi-Arusha - moshi to Dar,
SUKIWA ilikuwa mabasi ya SHIRIKALA SERIKALI YA TANZANIA.
MALETHO and another Maletho na mengine mengi sijakutajia mjukuu wangu.
nipe shikamoo.
Airport pale ni masaa 24 je mabasi mnasubiri nini?Nadhani ni suala la muda tu, maana kuna mambo hayaepukiki kwenye dunia hii inayokwenda kwa kasi ajabu.
Ilianza saa 12 mara saa 11, sasa ni saa 9 kutoka popote pale ndani ya Tanzania kuelekea mikoa mingine ili mradi ukidhi vigezo hasa kigezo cha LATRA kukuruhusu.
Mamlaka ya usafiri ya udhibiti wa usafiri ardhini nchini imewaagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda kuanza safari muda huo wa saa tisa usiku wafike katika Ofisi zao kuomba upya leseni.
Salum Pazzy anayekaimu kitengo cha uhusiano na mawasiliano cha LATRA amesema, ni lazima madereva wasajiliwe ili kuwa na taarifa zao za msingi.
Kwa maoni yangu, angalau kidogo mnasogea japo bado sana maana tunapaswa kusafiri 24hrs katika dunia inayopungua ukubwa kila siku, ikiwa watu hawalali kwa sasa wakikimbia huko na huko.
kumbe marangu alikuepo mda nlijua wa juzi alivokuja na yutong meusi yaleMwaka 19990-95 tulipanda mabasi haya kutoka Arusha kuja Dar,
1. Fresh ya Shamba.
2. SUKIWA,
3. Njuweni
4. Shabaha,
5. Mkombozi,
6. Bazuu.
7. Oxygen.
8. Ngorika.
9. Mfahamiko.
11. Sukiwa.
12. Dar express.
13. SAWAYA [Kilimanjaro Express]
14. Marangu [Marangu coach].
15. Air Msae.
16. Buffalo.
Juzi ni Watoto Wamerudi, Marangu ameanza 1970kumbe marangu alikuepo mda nlijua wa juzi alivokuja na yutong meusi yale
ATC wana cancel na huna pa kushtakiPlus fly cancelled!.
We acha tu utajikuta kakubwaga mtaroni huko tena km ukiamka mzima.Jichanganye upande saa tisa usiku kwa madereva wetu hawa wasiotambua umuhimu wa kulala mapema