Nchi nzima michomoko iligongana hadi marufuku itolewe nchi nzima,? Hata Simiyu tu haikuwa sahihi kupiga marufuku mkoa mzima.Kila mtu anatakiwa kubeba mzigo wake .Huwezi bebesha zigo la michomoko miwili ukabebesha michomoko mkoa wote au nchi yote
Chama cha CCM na Serikali kazi kwenu .Huku sio kutenda haki
Waziri mkuu na Mama Samia ingilieni kati ni uonezi .Halafu watu wanaropoka tu wakati mbadala haujaandaliwa .Majaliwa tengua hiyo Amri hadi mbadala upatikane
Raisi ukiona Waziri Mkuu yuko kimya tengua wewe na uwatengue wote wakaa kimya wakikusubiri wewe
Ina maana kazi yao nini sasa kama hawakusaidii vitu vitu vidogo kama hiki