LATRA yapiga Stop usafirishaji kwa kutumia magari madogo kuepuka ajali za kila siku

LATRA yapiga Stop usafirishaji kwa kutumia magari madogo kuepuka ajali za kila siku

Nchi nzima michomoko iligongana hadi marufuku itolewe nchi nzima,? Hata Simiyu tu haikuwa sahihi kupiga marufuku mkoa mzima.Kila mtu anatakiwa kubeba mzigo wake .Huwezi bebesha zigo la michomoko miwili ukabebesha michomoko mkoa wote au nchi yote

Chama cha CCM na Serikali kazi kwenu .Huku sio kutenda haki

Waziri mkuu na Mama Samia ingilieni kati ni uonezi .Halafu watu wanaropoka tu wakati mbadala haujaandaliwa .Majaliwa tengua hiyo Amri hadi mbadala upatikane

Raisi ukiona Waziri Mkuu yuko kimya tengua wewe na uwatengue wote wakaa kimya wakikusubiri wewe

Ina maana kazi yao nini sasa kama hawakusaidii vitu vitu vidogo kama hiki
Ila wewe jamaa yaani kweli kumuelekeza ras wa nchi JF?
 
Tatizo watu wanafanya maamuzi wakiwa wamekaa kwenye ofisi kwenye makochi hawaelewi huko nje kuna nini

Michomoko ndio msaada mkubwa wa usafiri maeneo mengi tu yenye changamoto za usafiri
Muulize, RC mmoja akikosea ni sawa kuwafukuza kazi wote, akiwamo yeye?
Piga marufuku, na toa njia mbadala watumie usafiri upi
 
Ila wewe jamaa yaani kweli kumuelekeza ras wa nchi JF?

Sitafuti likes please

Raisi hupata habari popote ikiwemo jamiiforums mbona unapanick! Wote raia wake wakiwemo wa Jamiiforums
Tuliza Mzuka

Maamuzi yaliyotolewa bila mbadala kuandaliwa ni hopeless

Mkuu wa Mkoa na Latra sio Final kwenye maamuzi.Wakitoa maamuzi hopeless Waziri mhusika sekta yupo ,waziri mkuu yupo na Raisi yupo wa ku over rule stupid decisions
 
Muulize, RC mmoja akikosea ni sawa kuwafukuza kazi wote, akiwamo yeye?
Piga marufuku, na toa njia mbadala watumie usafiri upi
Kifupi Kafulila na hao Latra walichofanya sio collective responsibility ni collective stupidity

Unawezaje kupiga ban bila kutoa njia mbadala?

That is purely collective stupidity wanatakiwa wafungashwe virago wote hawamsaidii Raisi
 
Kifupi Kafulila na hao Latra walichofanya sio collective responsibility ni collective stupidity

Unawezaje kupiga ban bila kutoa njia mbadala?

That is purely collective stupidity wanatakiwa wafungashwe virago wote hawamsaidii Raisi
Wacha tusubiri maamuzi mengine
 
Kifupi Kafulila na hao Latra walichofanya sio collective responsibility ni collective stupidity

Unawezaje kupiga ban bila kutoa njia mbadala?

That is purely collective stupidity wanatakiwa wafungashwe virago wote hawamsaidii Raisi
Kabisa, nchi haina ajira, mnapiga marufuku tu kipuuzi, hawa wamejipatia kodi wamelipa bima, hiyo michomoko haina vts? Tuna uhakika gani kama michomoko ndio unamakosa
 
Kabisa, nchi haina ajira, mnapiga marufuku tu kipuuzi, hawa wamejipatia kodi wamelipa bima, hiyo michomoko haina vts? Tuna uhakika gani kama michomoko ndio unamakosa
Yaani nchi kuna baadhi ya viongozi wajinga mno kumjua kuwa mjinga ni kwenye maamuzi yake ndipo utajua kuwa huyo kiongozi mjinga ndipo utashangaa ahaaa kumbe huyu akili kichwani hazimo kumbe!!
 
Kabisa, nchi haina ajira, mnapiga marufuku tu kipuuzi, hawa wamejipatia kodi wamelipa bima, hiyo michomoko haina vts? Tuna uhakika gani kama michomoko ndio unamakosa
Ndio imeonekana kwenye ajali, Huo ndio ushahidi,
 
Pole yao sana wafiwa... Waangalie na uchakavu wa barabara pia...
 
Tatizo sio magari bali madereva na miundombinu ya barabara.bongo hapa hata ulete gari lililotengenezwa kwa zege bado litapata ajali.Kabla yakufikia kupiga marufuku wajiulize chanzo cha hizo ajali ni kipi.Hii tabia ya viongozi kukimbilia kupiga marufuku jambo ambalo linaweza kupatiwa ufumbuzi na wananchi wakaendelea kupata huduma kama kawaida haina tija kwa nchi.Uko vijijini kuna shida sana ya usafiri na mabarabara mabovu hayo magari madogo ndo msaada alafu mtu anakurupuka kupiga marufuku utafikiri nchi nzima iko kama New York.
 
Sasa umeshuka mwigumbi usiku na unataka kwenda bariadi unadhani utapata basi la kwenda huko?Ama itabidi ulale barabarani make hutopata basi mda huo.Lakini mchomoko utazikuta na safari yako itakuwa rahisi kuwahi uendako.
 
Hizi gari ni shida yaani mtu anapakia abiria hadi mwenyew dereva anakaa upande upande na zipigwe marufuku tu
Hapo tatizo ni ni la gari au la dereva?.Kosa la dereva na abiria wenyewe wanaokubali kipakiwa hivyo alafu unapiga marufuku gari.inaingia akilini kweli.
 
Madereva wa Tanzania ni kama wana mapepo ya ajali.

Maana wanakimbiza magari mpaka unajiuliza kama bado wanataka kuendelea kuishi au la?
 
Hata kama mbadala haujapatikana, maamuzi aliyochua Kafulila ni sahihi ili kuokoa maisha ya wananchi.
Kiongozi hawezi kukaa kimya akishuhudia watu anaowaongoza wakiteketea(ndani ya siku 12tu vifo 10!).

Kusema kosa ni la dereva ni sawa ila aina ya vyombo husika na mazingira vinaweza kuwa chanzo pia.
Ninakumbukuka kipindi cha nyuma huko kaskazini njia ya Arusha - Moshi kulikuwa na ajali nyingi sana ambazo chanzo kikuu ilikuwa mabasi madogo 'Hiece'. Serikali iliamua kuyapiga marufuku na zile ajali zikakoma.
Tatizo sio aina ya gari,kwasababu uko arusha unakokusema bado kuna hiace na noah zinazoenda mbali kama arusha-karatu nazinaenda vizuri tu kama ni ajali nizile zinazotokana na makosa ya dereva.Majuzi tu kuna ajali za costa imetokea uko tanga je nako costa zipigwe marufuku.njia sahihi yakupunguza ajali ni kumdhibiti dereva na kuboresha miundombinu.Hizo nyingine ni njia za mkato zasisi tusiotaka kuumiza kichwa kutatua tatizo.
 
Back
Top Bottom