LATRA yapiga Stop usafirishaji kwa kutumia magari madogo kuepuka ajali za kila siku

LATRA yapiga Stop usafirishaji kwa kutumia magari madogo kuepuka ajali za kila siku

Kwa hiyo LATRA wamezidiwa akili na mkuu wa Mkoa moja tu kwa akili. Wenyewe wamekaa tu pfisini hawana ubunifu wowote. Siyo ifunjwe litaasisi ambalo halina kazi? Noah ziondolewe barabarani, huwezi kusafirisha abiria kM 150 kutumia Noah na abiria wamebanana, line ya abiria watatu wao wanalazimisha wanne hata huwezi kupumua vizuri. Nauli yao kubwa kishenzi, kwa mfano Arusha-Karatu KM140 nauli sh. 8,000/
Hizo noah zina shida gani?,au unachuki binafsi.
 
Mfano nilioutoa magari ni mengi tena sana. Arusha-Karatu kuna mabasi makubwa, kuna Coaster, kuna Hiace. Yapo mpaka mabasi ya kwenda Dar Es Salaam moja kwa moja.
Abiria waliopo hiyo njia ni wengi sana.kama noah zipo nyingi na zinapiga nenda rudi pamoja nakuwepo kwa hizo costa unadhani bila hizo noah hao abiria wangepanda nini?.Tuache siasa wakati tunajua bado nchi yetu haina uwiano sahihi wa huduma na idadi ya watu ukilinganisha na shughuli za kiuchumi.
 
Hapo tatizo ni ni la gari au la dereva?.Kosa la dereva na abiria wenyewe wanaokubali kipakiwa hivyo alafu unapiga marufuku gari.inaingia akilini kweli.
Wapige marufuku then Hao madereva akili itawakaa sawa Nini kifanyike siku wakiruhusiwa watakuwa na adabu
Alafu hayo magar yanatumika vijijin ambako hawaelew hapa atharzake ni zipi wanaona borawafike safariyao lkn pia wasimamiz wa Sheria kunaupnde wanafail kukomesha iyo hali lkn madereva wabishi sana

Kunasehemu nilikuwa na safari traffic akasimamisha akamuomba a PO unguze abiria na akamtoza faini akaupunguza akalipa safari ikaendelea ni vijijin baada ya hapo yule dereva alipndisha watu mpaka pa kukaa hamna akampa mzee mmoja dumu akalie kumbe lile dumu Lina petrol yule mzee alimwagikiwa na petrol matakon 😭
Hadi niliposhuka hamu nilikuwa Sina kunamadereva washenzi sana
 
Usafiri hatari Sana huu kama jina lenyewe mchomoko!
Madereva Vijana na masihara Barabarani hatari tupu,
Hongera Sana kuepusha Ajali Kwa kufungia hizi gari.
 
Kigoma wapunguze speed Tu maana michomoko ya Kasulu- Mvugwe au daladala za Kasulu-Kibondo zinakimbia utadhani dreva ameitwa na shetani.
Ni balaa safari ya kasulu to makere utadhan mnaenda bukoba kwa speed wanazotembea nazo
 
Ni balaa safari ya kasulu to makere utadhan mnaenda bukoba kwa speed wanazotembea nazo
Maendeleo huja kwa kwenda mbio iwe magari au kutembea kwa miguu

Nchi zote zisizo na maendeleo watu wake hutembea Taratibu sana hata kwa miguu .Tanzania ikiwemo watu hutembea Taratibu utafikiri mwendo wa Twiga hata katikati ya mji au sokoni au sehemu za misongamano au wazi

Kigezo kimoja cha kupima maendeleo ni kasi ya watu kutembea kwa miguu au magari

Magari yanatakiwa yakimbie spidi hatari kuwaisha abiria na mizigo.Slow motion ni slow development.

Kujua nchi imeendelea au la angalia motion ya magari au watu

Ukiona slow motion au jam kibao hakuna maendeleo hapo

Nenda nchi zilizoendelea motion kali hatari na watu hutembea spidi kali hata kwa miguu

Tanzania hata ukitaka kwenda spidi matuta kibao barabarani,ma torch ya traffic kibao barabarani na hata bila torch unapigwa mkono na traffic polisi kila kona kila baada ya robo kilomita kukupunguzia spidi na kuwahi uendako.kuwahisha watu au mizigo!
Ndio maana ukatungwa msemo No hurry in Africa. Sababu hata uwe na kila kitu kiko vizuri ,matuta barabarani,speed governor kudhibiti speed ya aliyetengeneza bus na na Traffic police watakupiga mkono kila hatua chache kuhakikisha uendako hufiki on time kwa time uliyojipangia au ya abiria au mteja wa mzigo,Kuhakikisha your hurry is delayed !! Kwa matuta,speed governor au mkono wa Traffic

Nchi ukisikia haijaendelea Tatizo sio teknolojia tu kuna factors zingine hovyo kabisa ikiwemo vizuizi vya spidi kubwa vingi na Mikono ya traffic kila mwendo mfupi na matuta na abiria wasiojielewa kama wewe wasio na hurry in Africa

Afrika gari pekee zinazoenda mbio.za kufa mtu ni za maraisi tu
 
Kahama - Nyakanazi via runzewe asee hiace zinakimbia mpaka unatosha mwenyewe
Wako sahihi kukimbia kuwaisha abiria na mizigo
Mwendo goigoi hauleti maendeleo uwe wa gari au wa miguu

Kasi ya maendeleo ni pamoja na kutembea kwa kasi iwe kwa miguu au gari

Uwahi uendako iwe shamba sokoni ,mjini nk time is money
 
Madereva wa Tanzania ni kama wana mapepo ya ajali.

Maana wanakimbiza magari mpaka unajiuliza kama bado wanataka kuendelea kuishi au la?
Ma dereva wa bariadi wastaarabu mno, barabara ndo mbovu kutoka mwigumbi hadi njia panda ya mwamapalala
 
Maendeleo huja kwa kwenda mbio iwe magari au kutembea kwa miguu

Nchi zote zisizo na maendeleo watu wake hutembea Taratibu sana hata kwa miguu .Tanzania ikiwemo watu hutembea Taratibu utafikiri mwendo wa Twiga hata katikati ya mji au sokoni au sehemu za misongamano au wazi

Kigezo kimoja cha kupima maendeleo ni kasi ya watu kutembea kwa miguu au magari

Magari yanatakiwa yakimbie spidi hatari kuwaisha abiria na mizigo.Slow motion ni slow development.

Kujua nchi imeendelea au la angalia motion ya magari au watu

Ukiona slow motion au jam kibao hakuna maendeleo hapo

Nenda nchi zilizoendelea motion kali hatari na watu hutembea spidi kali hata kwa miguu

Tanzania hata ukitaka kwenda spidi matuta kibao barabarani,mo torch ya traffic kibao barabarani na hata bila torch unapigwa mkono na traffic polisi kila kona kila baada ya robo kilomita kukupunguzia spidi na kuwahi uendako.kuwahisha watu au mizigo!
Ndio maana ukatungwa msemo No hurry in Africa. Sababu hata uwe na kila kitu kiko vizuri ,matuta barabarani,speed governor kudhibiti speed ya aliyetengeneza bus na na Traffic police watakupiga mkono kila hatua chache kuhakikisha uendako hufiki on time kwa time uliyojipangia au ya abiria au mteja wa mzigo,Kuhakikisha your hurry is delayed !! Kwa matuta,speed governor au mkono wa Traffic

Nchi ukisikia haijaendelea Tatizo sio teknolojia tu kuna factors zingine hovyo kabisa ikiwemo vizuizi vya spidi kubwa vingi na Mikono ya traffic kila mwendo mfupi na matuta na abiria wasiojielewa kama wewe wasio na hurry in Africa

Afrika gari pekee zinazoenda mbio.za kufa mtu ni za maraisi tu
Hakuna maendeleo ya haraka kama maamuzi yako hayana uhusiano na jela
 
Wako sahihi kukimbia kuwaisha abiria na mizigo
Mwendo goigoi hauleti maendeleo uwe wa gari au wa miguu

Kasi ya maendeleo ni pamoja na kutembea kwa kasi iwe kwa miguu au gari

Uwahi uendako iwe shamba sokoni ,mjini nk time is money
Sikupingi, basi waboreshe miundombinu kuwe na barabara ya magari yanayotembea speed kuanzia 80+
 
Abiria waliopo hiyo njia ni wengi sana.kama noah zipo nyingi na zinapiga nenda rudi pamoja nakuwepo kwa hizo costa unadhani bila hizo noah hao abiria wangepanda nini?.Tuache siasa wakati tunajua bado nchi yetu haina uwiano sahihi wa huduma na idadi ya watu ukilinganisha na shughuli za kiuchumi.
Uko sahihi nchi Haina uwiano wa huduma za magari ya abiria na idadi ya watu na shughuli za kiuchumi

Kupiga marufuku kulikofanywa na Latra na mkuu wa mkoa hakuko sahihi
 
Kwani mabasi hayapo?
Hiace haziko?
Si ndiyo hapo
Tatizo watu wanakuambia tunataka
Uharaka wa kufika,na madereva hao huwa wanasifiwa kweli na mwendo wao,
Ache wafilieee mbali si wanajifanya vichwa ngumu bado ardhi ipo ya kutosha watazikwaa tu

Ova
 
Ila hivi vipanya na vibajaji vinaharibu sana mandhari ya Jiji, zipelekwe maeneo ya vijijini ndanindani kabisa huko, zisionekane mijini
 
Back
Top Bottom