LATRA yatangaza ongezeko la nauli za Safari za Masafa Marefu na Mafupi kuanzia Desemba 8, 2023
Dodoma punda weng mno fanyeni harakati mkanunue hw mbwa watakuuwen
"DP wedi wakichukua hatamu bandarin mafuta bei itakuwa sw na bure nauli____
 
Wakati wa magu mafuta yalikua 1800 Lita,Leo elfu 4,we hutaki nauli iongezeke!?..unadhani wanatia mikojo kwenye gari ili liwake!?..hata hivyo nimeuliza ikiwa mafuta yamepanda tena

Kwa hivyo unakiri serikali imeshindwa kuthibiti Bei ya mafuta?
 
Hapa ndo ifike mahali kila mkoa ujitegemee hakuna kutembelewa wataenda wenye ma V8 pekee

Upande wa ma bus kuna wengine wakienda ndo basi tena wabaki huko huko

Mfano yule wa kigoma ataandaa nauli kiasi gank wakati huo huo anasomesha amepanga duu wacha tuu hata haya yatapita tuu Mungu ni mwema kila wakati
 
Mama yangu mama........ tuoneee huruma mama. Sasa Kama nauli ipo juu na huku EWURA wananoa kisu Cha Bei ya mafuta tutakimbilia wapi mama...., eeeeh! mama tusikie mama yangu.
 
Wakati wa magu mafuta yalikua 1800 Lita,Leo elfu 4,we hutaki nauli iongezeke!?..unadhani wanatia mikojo kwenye gari ili liwake!?..hata hivyo nimeuliza ikiwa mafuta yamepanda tena
Unatetea uharo?!

Kwamba unaona hizi nauli ni kwa ajili ya kucover gharama za wenye magari?
 
KIZIMKAZI hana muda na Watanganyika. Ona nauli imepanda mara mbili kwa MIAKA 2 tu. Sema kuteua na kutengua tu yuko fasta mnoo.
 
Back
Top Bottom