Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa magu mafuta yalikua 1800 Lita,Leo elfu 4,we hutaki nauli iongezeke!?..unadhani wanatia mikojo kwenye gari ili liwake!?..hata hivyo nimeuliza ikiwa mafuta yamepanda tenaKama ni hivyo bora huyo ambae hakujua biashara. Kuliko huu utahira tulionao
Kwa hiyo suluhu ya kushusha mafuta ni kuongeza nauli za mabasi?Wakati wa magu mafuta yalikua 1800 Lita,Leo elfu 4,we hutaki nauli iongezeke!?..unadhani wanatia mikojo kwenye gari ili liwake!?..hata hivyo nimeuliza ikiwa mafuta yamepanda tena
Kamteua Makonda!Huyu mama hajui kitu kabisa.
Huyu mama hajui kitu kabisa.
Wakati wa magu mafuta yalikua 1800 Lita,Leo elfu 4,we hutaki nauli iongezeke!?..unadhani wanatia mikojo kwenye gari ili liwake!?..hata hivyo nimeuliza ikiwa mafuta yamepanda tena
Kvpdaah kuelekea uchaguzi Serikali za mitaa ndio haya mambo yanaibuka! Kama vile Muvi za kumkwamisha Mama naona
Dodoma punda weng mno fanyeni harakati mkanunue hw mbwa watakuuwen
"DP wedi wakichukua hatamu bandarin mafuta bei itakuwa sw na bure nauli____
Ameruhusu mwenyewe.daah kuelekea uchaguzi Serikali za mitaa ndio haya mambo yanaibuka! Kama vile Muvi za kumkwamisha Mama naona
Duh sijui Katarama yetu tutapanda kwa bei gani
Hawagombei kwa ajili ya wananchi bali kwa matumbo yao
Unatetea uharo?!Wakati wa magu mafuta yalikua 1800 Lita,Leo elfu 4,we hutaki nauli iongezeke!?..unadhani wanatia mikojo kwenye gari ili liwake!?..hata hivyo nimeuliza ikiwa mafuta yamepanda tena
Tanzania haichimbi mafutaKwa hivyo unakiri serikali imeshindwa kuthibiti Bei ya mafuta?
Ushushe Bei ya mafuta unachimba wewe!?Kwa hiyo suluhu ya kushusha mafuta ni kuongeza nauli za mabasi?