LATRA yatangaza ongezeko la nauli za Safari za Masafa Marefu na Mafupi kuanzia Desemba 8, 2023
tanzania_bound_buses_1701149157675493.jpg

baadhi ya makosa.
kuanzia Km za baadhi ya maeneo na nauli
mf
Dodoma to iringa Km 1,107 nauli 80,000/= kwa daraja la kati.
dodoma to dar Km 80 nauli 5,000/=
dodoma moro Km 1,140 nauli 77,000/=
 
Tatizo sisi hatuna uthubutu Unga wa watz ila kiukweli viongozi wanatukosea Sana haifai Tena CCM kurudi madarakani mishahara mfano kima cha chini 310000 alipe kodi anasomesha nauli kwa mwezi pandisheni na mishahara
 
Tunakoelekea Nchi hii ni zaidi ya Gaza nauli ya Mwanza Dar elf 90 mama tafadhali kuwa na huruma tusemee wanyonge na Sasa hivi watu wengi tunasafiri kwa matatizo mfano misiba au Tiba please serikali mtuonee huruma wajameni hii sio sawa kabisa
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za masafa marefu na masafa mafupi baada ya kupitia maoni ya wadau wa usafiri nchini.

Kwa mujibu wa LATRA nauli za safari zisizozidi kilometa 10 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 500 sasa itakuwa 600. Kwa safari za kilometa 11 hadi 15 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 550 sasa itakuwa shilingi 700.

Kwa kilometa 15 hadi 20 ambapo nauli ilikuwa shilingi 600 sasa itakuwa 800 huku kwa safari za kilometa 21 hadi 25 nauli imetoka 700 hadi shilingi 900. Safari ya kilometa 26 hadi 30 nauli ni shilingi 1100, safari ya kilometa 31 hadi 35 ni shilingi 1300 na kilometa 36 hadi 40 nauli ni 1400.

Aidha nauli za wanafunzi zitaendelea kusalia 200 kwa safari za masafa mafupi.

Nauli za mabasi zimeorodheshwa kwenye jedwali hapa chini.

View attachment 2826735View attachment 2826734View attachment 2826733View attachment 2826732
Sasa inakuwaje Dodoma Via Manyoni to Singida ni km 1268 halafu Dodoma via Manyoni,Singida to Mwanza 621km only????
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za masafa marefu na masafa mafupi baada ya kupitia maoni ya wadau wa usafiri nchini.

Kwa mujibu wa LATRA nauli za safari zisizozidi kilometa 10 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 500 sasa itakuwa 600. Kwa safari za kilometa 11 hadi 15 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 550 sasa itakuwa shilingi 700.

Kwa kilometa 15 hadi 20 ambapo nauli ilikuwa shilingi 600 sasa itakuwa 800 huku kwa safari za kilometa 21 hadi 25 nauli imetoka 700 hadi shilingi 900. Safari ya kilometa 26 hadi 30 nauli ni shilingi 1100, safari ya kilometa 31 hadi 35 ni shilingi 1300 na kilometa 36 hadi 40 nauli ni 1400.

Aidha nauli za wanafunzi zitaendelea kusalia 200 kwa safari za masafa mafupi.

Nauli za mabasi zimeorodheshwa kwenye jedwali hapa chini.

View attachment 2826735View attachment 2826734View attachment 2826733View attachment 2826732
Duh! Kweli namba inasomeka
 
Mafuta yalipanda bei ikafikaga 1ltr 3200 wakapandisha nauli, yakaja yakashuka bei nauli haikushuka.. hv karibun yamepanda tena kwa bei ile ile iliyopanda mwanzo 3200-3300tsh per ltr wanakuja kupandisha nauli tena.. sijui wametumia vigezo gan nadhan haikutakiwa kupanda kwasababu walishapandishaga nauli na hawakushusha nauli
.
 

Nimesema kutoka Dodoma kupita Babati kwenda moshi hakuna Kms 1090 bali ni kms 502. Mbuzi wee
Tena mbuzi ni afadhali huyo ni mende kabisaaaaa !!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za masafa marefu na masafa mafupi baada ya kupitia maoni ya wadau wa usafiri nchini.

Kwa mujibu wa LATRA nauli za safari zisizozidi kilometa 10 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 500 sasa itakuwa 600. Kwa safari za kilometa 11 hadi 15 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 550 sasa itakuwa shilingi 700.

Kwa kilometa 15 hadi 20 ambapo nauli ilikuwa shilingi 600 sasa itakuwa 800 huku kwa safari za kilometa 21 hadi 25 nauli imetoka 700 hadi shilingi 900. Safari ya kilometa 26 hadi 30 nauli ni shilingi 1100, safari ya kilometa 31 hadi 35 ni shilingi 1300 na kilometa 36 hadi 40 nauli ni 1400.

Aidha nauli za wanafunzi zitaendelea kusalia 200 kwa safari za masafa mafupi.

Nauli za mabasi zimeorodheshwa kwenye jedwali hapa chini.

View attachment 2826735View attachment 2826734View attachment 2826733View attachment 2826732
Tumeisha kigoma kasulu kilometa zote hizo pesa kibao hivo😂😂
 
Shida kubwa ni kuwa watunga sera na wafanya maamuzi wa nchi hii ni watu ambao wameshiba, hivyo hawamjui mwenye njaa.
Ni wabobevu wa kwenye makaratasi, utasikia wakijinasibu mimi ni mchumi na blah blah kibao, 😅 mchumi wa matako au uchumi wa nyoko, leteni sera nzuri zisizo za kinyonyaji na kandamizi kwa mtanzania wa hali ya chini kabisa.

#Enewei wale wenye wese la serikali waendelee kupiga misele ya kiafisa, wachumia tumbo tuendelee kuimba mapambio.
 
Serikali nayo iache upuuzi bhana.. hivi treni ya mwendokasi imeishia wapi?. Nauli imepandishwa mwaka jana mwezi aprili, leo tena nauli mnapandisha
. Hivi mnajua athari zake kiuchumi kweli?. Mama Samia usicheke na wafanyabiashara watakuharibia. Namkumbuka sana Magufuli kwa kweli.
Mlisema hapendi wafanyabiashara na matajiri🤣 leo hii unamkumbuka tena?
 
Back
Top Bottom