Vichaa wa kichaa Mkuu Shetani Magufuli bado wanashuta shuta tuu. Pumbavu.
Mfuateni Gambosh. Legacy yake ni wizi na uzinzi hata Mama Janet anajua.
 
Legacy ya ujambazi wa magufuli itadumu sana.Ameumiza watu wengi.
 

Nyuma ya hoja zako ni dhahiri umelishwa matango pori na Wanasiasa Uchwara wenye uchu wa madaraka.

Hitimisho lako (rangi nyekundu) linadhirisha kuwa wewe, kama ni mwanasiasa, au unawawakilisha hao Wanasiasa Uchwara, kwa pamoja hamjui mahitaji ya Watanzania.

Ushahidi: Tangu demokrasia ya vyama vingi vya siasa ianze, viongozi wa vyama vya upinzani hawajaonesha uwezo wa kukabidhiwa madaraka ya kuongoza nchi hii. Maeneo waliyofanikiwa kuongoza (Udiwani, Majimbo na Halmashauri) hawana la msingi walilolifanya la kukumbukwa. Tunachoshuhudia ni hoja zao za kudai demokrasia wasio iishi kwenye vyama vyao, haki pasipo kuwajibika na uhuru usio na mipaka.
 

Yeye mwenyewe ndo muasisi wa siasa uchwara. Lilishindwa kabisa kudeliver
 
Kuna wajinga wanamchukia Magu bila sababu, hawa ni wengi sana

Wanasema Magu alikua dikteta huku wanasubiri SGR kwa hamu,

Magu alikua dikteta huku wanausubiri umeme wa Rufiji Dam

Magu alikua hatupendi huku wanasubiri kuvuka kwenye daraja la kisasa la wami

Magu alikua dikteta huku wanalialia na makato ya miamala ya simu

Magu alikua hatupendi huku anasafiri kwa treni kwa mala ya kwanza kwenda arusha na moshi

Hapa utagundua wengi wa wanaomchukia Magu, wana shida ya kisaikolojia.
 
Magufuli kawa kama mkaa, ujutaja kujishughulisha naye kwa uchafu nawewe unachafuka, ukitaka kumchukulia poa ankuunguza.

Pumzika salama baharia wa kweli.
 
Kama unazungumzia (UCHU WA MADARAKA)
Vipi Yule alieamua kupora uchaguzi jumla jumla ?!. Huyo hakuwa na UCHU !!

Maghufuli alikuwa kiongozi muoga na mbovu kuwahi kutokea Tz . Kiongozi mzuri hawezi kudharau katiba ya nchi.
 
yaani kuteseka na kulalama mpaka mishipa ya shingo inakusimama hakutaisha leo wala kesho... magu bado ana mengi mazuri ambayo yatakuchoma na kukucharanga wewe mpaka vitukuu vyako na hamtaweza kushinda kamwe... endelea tu kuteseka mzee
Kodi yangu ndo iliyofanya kazi,sishindani na marehemu wala siteswi na marehemu
 
Kama unazungumzia (UCHU WA MADARAKA)
Vipi Yule alieamua kupora uchaguzi jumla jumla ?!. Huyo hakuwa na UCHU !!

Maghufuli alikuwa kiongozi muoga na mbovu kuwahi kutokea Tz . Kiongozi mzuri hawezi kudharau katiba ya nchi.
Hoja yako ya "kupora uchaguzi" ingekuwa na uzito kama ungeithibitisha kwa takwimu za kesi zilizofunguliwa mahakamani, hasa baada ya kile kinachoaminika kuwa Serikali ya Mama SSH ni ya utawala wa sheria km kufutwa kwa baadhi ya kesi.
 
Kodi yangu ndo iliyofanya kazi,sishindani na marehemu wala siteswi na marehemu
hahahaaaah! sasa mbona unaumia watu wakimsifia kama hakutesi? pambana na hali yako mzee... kivuli chake kina miaka zaidi ya 100 ya kuendelea kukukunja na kukucharanga mpaka kakitukuu kako!!! na bdo kuna kodi ya uzalendo nayo lazima ikuumize zaidi pale watakaposema mama samia kajenga!
 
🚮🚮
 
Doh! Sijui nikuambie pole au hongera?
 
Nyuma ya chuki yao dhidi yake wanamkubali sana tena sana kwa uthubutu wake katika kuinua uchumi wa nchi hasa kwa miundombinu, huduma za jamii na miradi ya kimkakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…