Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Tupeni ridhaa muone mikakati yetu. Siyo miaka sirini yote ya uongozi hamna ubunifu wowote kazi yenu ni kuwasisitiza tu vijana wajiajiri. Kama mmeishiwa mbinu si mseme?
Kama mumekaa kwenye ubunge miaka 10 hakuna mlichofanya Kwa ngazi hiyo na Halmashauri mlioshika nani awape ridhaa watu wasio na sera wala mkakati?

Mkiacha kulalamika na kuorodhesha matatizo ya Nchi na mkaja na suluhisho ndio mtaaminiwa.
 
Laana watu Wanajenga wana maisha angetafuta namna nzuri ya kuongea aheshimu ajira za watu huyo kijana
Anajua laana ni Nini aende zake

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu Nabii alitabiri hadi kifo cha Jiwe, kwahiyo atakuwa kaambiwa na Mungu kuhusu hao bodaboda.
 
Ndio kawapelekee ujinga wako kwamba vikao vya retreat vimeletwa na Lema.
Mbona umekasirika tena?

Kwan Lema alikuja Kwa kushtukiza Arusha?

Iweje siku hiyo hiyo mkubwa apangiwe safari ya Arusha?

Vp ujio wa Lisu na mkeka wa ma DC?
 
Kama mumekaa kwenye ubunge miaka 10 hakuna mlichofanya Kwa ngazi hiyo na Halmashauri mlioshika nani awape ridhaa watu wasio na sera wala mkakati?

Mkiacha kulalamika na kuorodhesha matatizo ya Nchi na mkaja na suluhisho ndio mtaaminiwa.
Tulitaka kwanza yule killer jpm aondoke ilin chi iwe shwali
 
Mbona umekasirika tena?

Kwan Lema alikuja Kwa kushtukiza Arusha?

Iweje siku hiyo hiyo mkubwa apangiwe safari ya Arusha?

Vp ujio wa Lisu na mkeka wa ma DC?
Kwani Rais anafanya kazi Kwa kuangalia ratiba za Lema? 😁😁
Acha ujinga
 
Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha juu sana tena akili yako ni matope unafikiri Lema hana akili kutamka hivyo??Leo wanaodanga ni wasomi tena wasomi kweli kweli unafikiri wanapenda kuwa hivyo?Hata boda si wote wamependa kuwa boda boda bali wamelazimika kutokana na huduma mbovu ya Serikali ya ccm.
Mbona unarukaruka tu hueleweki unafafanua mambo ya nje ya mada? Hebu tueleweshe kwanini bodaboda ni laana, Huenda wewe ulimwelewa
 
Kwani Rais anafanya kazi Kwa kuangalia ratiba za Lema? 😁😁
Acha ujinga
Anyway, waeza Dhani najibizana nawe bt Nia yangu ni kujenga na kuboresha kiwango Cha Reasoning ya wengi wasomao majibizano yetu.

Ubarikiwe.
 
Mtu anamaliza degree kisha anapiga boda, hayo hayakua malengo. Hilo nijanga
Kazi hiyo sio yakujivunia. Hakuna boda anaejivunia kazi hiyo. Tatizo nikwamba hakuna mbadala ndio maana
 
Mbona unarukaruka tu hueleweki unafafanua mambo ya nje ya mada? Hebu tueleweshe kwanini bodaboda ni laana, Huenda wewe ulimwelewa
Unaweza kutajirika Kwa kufukuzana na upepo au kukwepa magari road?

Mfumo wa kuaminisha wanafunzi wanaofeli shule za kata kuwa wanaweza jiajiri kwenye boda ndo umelaaniwa.
 
Sawa. Wewe usiyekimbizana na magari hebu Tuambie NET WORTH yako ni kiasi Gani Ili uwa-inspire hawa wafukuza upepo
NET WORTH yangu binafsi inasaidiaje millions of Boda nchini?

Nashauri Tuipumzishe CCM maana imefika UKOMO wake kufikiri.
 
Hello!

Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana.

Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?

Nyie wafuasi wa CHADEMA mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa CHADEMA ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kenya badala yake hakuna cha maana anafanya; ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha yako juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba misaada ya chakula hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk.

Ujinga kama huu wa upinzani ulifanyika hata Malawi, kawaulize Wamalawi kama kuna nafuu wamepata, the likes ya Zambia.

Ukiwasikiliza CHADEMA huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watanzania kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza CHADEMA zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya, maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini.

Mwisho, ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza CHADEMA unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watanzania bila suluhisho.

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.

View attachment 2534553View attachment 2534613
Hebu niambie, ni wapi hapa duniani wanakojielewa ambako utaukuta huu usafiri wa bodaboda? Kama hakuna, tafakari..
Kama hoja ni kuendesha maisha, si hata wanaofanya ukahaba wanaendesha maisha kwa ukahaba wao.
 
Hello!

Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana.

Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?

Nyie wafuasi wa CHADEMA mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa CHADEMA ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kenya badala yake hakuna cha maana anafanya; ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha yako juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba misaada ya chakula hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk.

Ujinga kama huu wa upinzani ulifanyika hata Malawi, kawaulize Wamalawi kama kuna nafuu wamepata, the likes ya Zambia.

Ukiwasikiliza CHADEMA huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watanzania kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza CHADEMA zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya, maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini.

Mwisho, ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza CHADEMA unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watanzania bila suluhisho.

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.

View attachment 2534553View attachment 2534613
Sure Lema amekosea sana aisee maana vijana wamejiajiri sasa alitaka wakae mtaani kusubiri ajira hata nchi tajiri duniani zinazotoa mikopo haina maana eti wameajiri wananchi wote kwanza haya mawazo ya kivivu kabisa huyu anataka kutengeneza vijana wezi mpuuzi sana jamaa
 
Alichoongea Lema ni sahihi kabisa kazi ya kuendesha bodaboda haiwezi kuwa mbadala wa ajira rasmi iwe ya kuajiriwa au kujiajiri ni njaa tu ili watu waweze kusurvive.Uendeshaji wa bodaboda umewafanya vijana wengi wapoteze maisha au wawe tegemezi baada ya kupata ajali zilizotokana na bodaboda.
 
Hebu niambie, ni wapi hapa duniani wanakojielewa ambako utaukuta huu usafiri wa bodaboda? Kama hakuna, tafakari..
Kama hoja ni kuendesha maisha, si hata wanaofanya ukahaba wanaendesha maisha kwa ukahaba wao.
Kwaiyo unataka vijana waache kuendesha bodaboda wakajiuze wakawe mashoga kwakua mnatetea ushoga wapuuzi sana
 
Back
Top Bottom