Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Hello!

Naona Lema ameanza Kwa gia ya matusi Kwa wanaojiita bodaboda..

Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana..

Hivi hizi si ni dharau Kwa Vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia Kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?.

Nyie Wafuasi wa Chadema mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa Chadema ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kunyaland badala yake hakuna Cha maana anafanya, ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha Yako Juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba Misaada ya Chakula Hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk..

Ujinga kama huu wa Upinzani ulifanyika hata Malawi kawaulize wamalawi kama Kuna nafuu Wamepata,the likes ya Zambia..

Ukiwasikiliza Chadema Huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watzn kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza Chadema zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini..

Mwisho,ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza Chadema unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watzn bila suluhisho..

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.
View attachment 2534553View attachment 2534613
Wewe utakuwa ni mpenzi wa kukandamizwa makalio, utajuta yatakapokuja kulegea na ndipo utamkumbuka Lema.
Pikipiki si chombo cha kubeba abiria, ni chombo cha matumizi binafsi.
 
Hello!

Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana.

Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?

Nyie wafuasi wa CHADEMA mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa CHADEMA ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kenya badala yake hakuna cha maana anafanya; ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha yako juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba misaada ya chakula hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk.

Ujinga kama huu wa upinzani ulifanyika hata Malawi, kawaulize Wamalawi kama kuna nafuu wamepata, the likes ya Zambia.

Ukiwasikiliza CHADEMA huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watanzania kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza CHADEMA zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya, maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini.

Mwisho, ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza CHADEMA unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watanzania bila suluhisho.

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.

View attachment 2534553View attachment 2534613
 
Hello!

Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana.

Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?

Nyie wafuasi wa CHADEMA mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa CHADEMA ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kenya badala yake hakuna cha maana anafanya; ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha yako juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba misaada ya chakula hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk.

Ujinga kama huu wa upinzani ulifanyika hata Malawi, kawaulize Wamalawi kama kuna nafuu wamepata, the likes ya Zambia.

Ukiwasikiliza CHADEMA huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watanzania kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza CHADEMA zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya, maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini.

Mwisho, ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza CHADEMA unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watanzania bila suluhisho.

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.

View attachment 2534553View attachment 2534613
Nalakala imfikie UMUGHAKA
 
Mumeanza kubadili gia angani? 😁😁
Ndo UKWELI wenyewe, umelaaniwa mfumo unaowaweka vijana na watoto wa maskini wakimaliza shule za KATA waone BODA ni Ajira rasmi.

Mtoto wa Kitila Mkumbo au MZEE MAKAMBA mbona hawajajiajiri kupiga BODA?
 
Hello!

Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana.

Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?

Nyie wafuasi wa CHADEMA mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa CHADEMA ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kenya badala yake hakuna cha maana anafanya; ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha yako juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba misaada ya chakula hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk.

Ujinga kama huu wa upinzani ulifanyika hata Malawi, kawaulize Wamalawi kama kuna nafuu wamepata, the likes ya Zambia.

Ukiwasikiliza CHADEMA huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watanzania kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza CHADEMA zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya, maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini.

Mwisho, ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza CHADEMA unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watanzania bila suluhisho.

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.

View attachment 2534553View attachment 2534613
Huku ni kukosa hekima.
Kaharibu kabisa.
Kama wamelaaniwa basi angetuambia cha kufanya ili laana yao iwaondoke
Ipo siku atasema mama nitilie wamelaaniwa.
Tuwe makini naye,hana nia njema Kwa vijana wetu.
 
Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha juu sana tena akili yako ni matope unafikiri Lema hana akili kutamka hivyo??Leo wanaodanga ni wasomi tena wasomi kweli kweli unafikiri wanapenda kuwa hivyo?Hata boda si wote wamependa kuwa boda boda bali wamelazimika kutokana na huduma mbovu ya Serikali ya ccm.

Ukiendelea kuilaumu CCM kwa hali yako ngumu ya maisha, amini nakwambia, hautatoka kamwe kwenye huo mzunguko wa umasikini uliopo.
 
Huku ni kukosa hekima.
Kaharibu kabisa.
Kama wamelaaniwa basi angetuambia cha kufanya ili laana yao iwaondoke
Ipo siku atasema mama nitilie wamelaaniwa.
Tuwe makini naye,hana nia njema Kwa vijana wetu.
Labda ndio maono ya kinabii 🤪🤪🤪
 
Ndo UKWELI wenyewe, umelaaniwa mfumo unaowaweka vijana na watoto wa maskini wakimaliza shule za KATA waone BODA ni Ajira rasmi.

Mtoto wa Kitila Mkumbo au MZEE MAKAMBA mbona hawajajiajiri kupiga BODA?
Subirieni kushughulikiwa kwenye kura,mtakumbushwa haya matusi na dharau
 
Hello!

Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana.

Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?

Nyie wafuasi wa CHADEMA mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa CHADEMA ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kenya badala yake hakuna cha maana anafanya; ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha yako juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba misaada ya chakula hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk.

Ujinga kama huu wa upinzani ulifanyika hata Malawi, kawaulize Wamalawi kama kuna nafuu wamepata, the likes ya Zambia.

Ukiwasikiliza CHADEMA huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watanzania kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza CHADEMA zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya, maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini.

Mwisho, ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza CHADEMA unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watanzania bila suluhisho.

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.

View attachment 2534553View attachment 2534613
Hata mi nasema ni laana Wala hajakosea. Hakuna anayetaka kuwa bodaboda Bali ni ccm kufeli kuwapa ajira vijana kwa hiyo bodaboda ni last option. Hivyo kwa kifupi ccm Haina mbinu za kuwakwamua vijana
 
Hata mi nasema ni laana Wala hajakosea. Hakuna anayetaka kuwa bodaboda Bali ni ccm kufeli kuwapa ajira vijana kwa hiyo bodaboda ni last option. Hivyo kwa kifupi ccm Haina mbinu za kuwakwamua vijana
Chadema mumetoa Ajira gani Hadi Sasa?
 
Mimi nadhani vijana wengi wa chadema wajaribu kuchagua maneno ya kuongea, hawako makini , boda boda ni ajira , na zinatoa msaada mkubwa wa huduma nchini, Bora angesema uboreshwe zaidi, lakini sio kusema ni laana.

Ume toa ajira nyingi Kwa vijana, ndio private sector yenyewe hiyo imbayo inatakiwa ikuzwe.

Hivi lema katika Canada kweli? Mbona deliveries nyingi za fast food duniani Zina tumia motor bike kufanya delivery za chakula? Hizo ni laana pia?
 
Back
Top Bottom