Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema kuwa na genge la kuiba magari haoni ni laana Ila kuendesha boda ni laana Kwa kweli ni Bora angebaki Canada aendelee kuzibua vyoo vya wazungu
 
Utapanda gari - taxi kwa kuwa utakuwa na uwezo wa kulipia. Hivi kupanda pikipiki na upepo na baridi na mvua unafikiri ni raha, ni shida. Ni kweli bodaboda zimesaidia lakini kama mtu anapata namna nyingine ya kupata kipato, boda boda unaiacha.
Halafu watu wanalaumu bila kufuatilia mtiririko na logic aliyojenga
Je ni vema kusema Bodaboda ni laana?
Je!
Lema kwenye huo mtiririko unaousema wewe!
Ebu ainisha ni wapi ambapo ametaja mpango mbadala wa Chadema kwa kutengeneza ajira za hao Bodaboda?
Je!
Hiyo laana imesambaa nchini Tanzania pekee?

Kwa hiyo kama Bodaboda ni laana!
Ina maana hata watumia Bodaboda ni wamelaamiwa pia?
 

Kama Bodaboda ni laana,basi nchi nyingi Duniani zimelaaniwa.
Kenya kuna Bodaboda!
Uganda kuna Bodaboda.!
Rwanda kuna Bodaboda!
India ndiko zilikoanzia!
Philippines ziko Bodaboda!
Taiwan ziko Bodaboda!

Je!
Na huko wanaumizwa na Utawala wa CCM?

Je huko Canada alikotoka Lema, hakuna Maskini mitaani?

Maskini wapo duniani kote lakini namna serikali zinavyowajali ndiyo tofauti.
Kila nchi kuna utawala na chama kinachotawala
Kwamba kila nchi kuna bodaboda, hakuifanyi kuwa ni kazi nzuri ya kujivunia. Tunafanya kwa shida
 
Kwenye Uchaguzi wakiwapuuza mkaambukia kura 1.2 mil mnaishia kulalamika eti mmeibiwa kura!!

Hapo CCM inachekelea tu UPUMBAVU wenu. KENGE
Kura ya MPUMBAVU Imewahi saidia Nchi Gani duniani.

Boda wameelewa kuwa BODA haifai kuwa rasmi, ni Umaskini ndo tatizo.

Wanaonuna ni wanufaika wa boda kuwa AJIRA ambao ni CCM.
 
Je ajali za barabarani ni kwa Bodaboda pekee?

Je kuna kazi gani nyingine ambayo Chadema na Lema wake mmewaandalia hawa vijana nchini?
AJALI nyingi chanzo ni boda,

Protection ya boda ni ndogo ikitokea AJALI.

Kuhusu AJIRA mbadala inahitaji mjadala ingawa Kwa maoni yangu, Serikali ikiwa serious na KILIMO linaweza ajiri Boda na vijana wengi na tukapiga MARUFUKU boda kama Ajira kiuchumi.

KATIBA mpya itatoa Suluhu ktk Hilo.
 
Unataka afanye kazi gani? huwezi kuita kazi ya mtu ni laana wakati utoi solution yoyote mbona pia wapo bodaboda wanamaisha mazuri kufanikiwa sometimes ni bahati ya mtu na bidii haki ya kazi
- Hoja yake ni kwamba serikali imeshindwa kutengeneza mazingira ya kutoa ajira rasmi na za staha.
 
Shangaa Sasa na wewe,mavijana mengi ni majinga yanatumiwa na machadema huku hawana Cha kuwasaidia..

Si Bora Rais aliyeamua kuwasaidia Kwa kuwatafutia mashamba Moja kwa.moja watawezeshwa Kila kitu kuliko Hawa wanaotumiwa kama condom na Chadema
Umesema vyema ila jiulize kwa nini Rais kawatafutia mashamba na si bodaboda?
 
Godbless Lema wa Chadema....


Kwamba bodaboda ni kazi ya laana! Sawa tumekusikia! Ebu tuambie kama umeona hao ni laana! Ina maana kwamba hata abiria wao nao ni laana kubwa zaidi. Maana wao ndio wanaowawezesha hao bodaboda kuweza kujiendesha kutokana na malipo wanayowalipa. Na ikumbukwe kwamba wananchi wengi wa kipato cha kati na cha chini ndio wanaonufaika na huduma hii ya bodaboda nchini Tanzania. Na pia ikumbukwe kwamba kwa hapa nchini Tanzania, hilo tabaka pia ndio ambalo linashiriki siasa katika kiwango cha upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali.

Je, Lema unamaanisha hata wapiga kura wa nchi hii nao wamelaaniwa? Pia tuambie... kama bodaboda ni laana nchi hii. Inakuwaje mnaowatumia kwenye shughuli zenu zote za kisiasa nchini? Je, mnaitumia laana ili kupata political mileage toka kwao?

#Lema na #Chadema njooni hapa mtutajie nchi ya Afrika ambako hakuna bodaboda! Na mnapowaita bodaboda laana, ni kazi ipi mmewaandalia ambayo ni mbadala wa hiyo laana! Msiishie kuchonganisha wananchi huku mkiwa hamna lolote la mbadala vichwani. Mfano mzuri ni hapo #Kenya kwa Rutto, aliwaahidi Paradiso kwa kujiita "Hustler"... Nenda leo Kenya au angalia media zao na uone kinachojiri huko...
 
Bodaboda na Bajaji na Machinga wakiwekewa utaratibu mzuri na miundombinu na wawe operational maeneo Fulani Fulani ni kazi ya kuingiza kipato..

Huko Vijijini ni usafiri muhimu sana,kwanza sijajua inakuaje laana.
Sio vijijini hata mjini Zina umuhimu sana boda asidharau Kazi za watu Kwa kua zake haziwasaidii watu
Angejua bodaboda zimesaidia kupunguza wezi,wahuni na wakimbia majukumu mtaani asingesema
Leo graduate anajiajiri Kwa boda boda anapewa mkataba within a year ana yake na ndani ya miaka miwili anannua nyingine anampa mtu watu wanajenga Wanainuka kiuchumi Leo anaita laana
Kanikwaza mnooo,lema anaropoka sana anajifanya ana maoni kumbe msanii tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Amewatukana wapiga kura wake!

Watumia Bodaboda ni tabaka ambalo ndio linazalisha wapiga kura wa nchi hii kwa kiwango kikubwa kabisa!
Unalia nini kafute machozi..tema mate tumchape Lema...
 
Ww km unakataa sio laana ni maoni yako na lema katoa maoni yake katiba unawapa uruhu nyie wote kutoa maone na fikla zake
 
Hili ni tatizo la kuamini Mungu aliumba wanaccm wenye akili na wanachadema wasio na akili! Watanzania hapo ndipo tunapoonekana watu wa hovyo kwa ubaguzi wa kijingajinga.
So wewe unaamini ccm wote wana akili na cdm wote hawana akili?.huo ni wendawazimu.
 
Tulieni myolewe....hizo ni rasha rasha Mapokeo ya Nabii yameumiza moyo wako wa roho mbaya na ya kimaskini
Heeeeh.....Nyie wanawake ndo maana mnadanganywa sana. So tayari ameshaanzisha na Kanisa lake ni nabii wenu? Ndo maana, usije ukakutana na mwanamke wa Kiafrika ukasema kitu juu ya Nabii wake. Hapo nimekuelewa.
 
Jaribuni kufikiria kidogo, kwanini Bongo Kuna bodaboda, Dubai, Marekani, Canada hakuna bodaboda? Kwanini kijana wa Tanzania, akose ajira ya maana viwandani,akimbilie bodaboda kama mbadala wa kusongesha maisha?

Ni ufukara tu na umaskini wa nchi yetu.

Ulaana wake upo hapo,waendesha boda hawana laaana,kazi yao jinsi isivyo na Mapato na staha za kuleta maisha Bora,ndio laaana hiyo, tunaamua kufanya kazi za hovyo Ili mkono uende kinywani. Hii haikupangwa na Mungu, ni mipango duni ya CCM kwa miaka 60!

Vijana wa Zenj, na wamasai wanakuwa ma beachboy wanatumika kama sex toys kwa wazungu,kwa vile wanapata vipato tuipambe hiyo kazi kama kazi ya maana? Ni laaana tupu.
 
Back
Top Bottom