Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Usijilinganishe na walioshindwa
Ndio umejibu nini Sasa hapo? Ujilinganishe na wao unaweza apply mechanisms zao huku Tanzania? Tuna mazingira linganishi?

Ndio maana Huwa nasema nyie machadema Huwa ni wapumbavu hamnaga strategy Wala solution..

Nakupa mfano mdogo tuu kwamba Africa Ina trade zaidi na Ulaya na Asia kuliko baina yake na conditions walizoweka Wazungu zinakinzana na uwezo Wetu.

Na bahati mbaya intra Africa trade ni kama hakuna Sasa Kwa mazingira haya yaliyo Nje ya uwezo wa Nchi nyie Chadema mtabadili kipi?

Mtawalazimisha watu wache kuzaa Kwa Kasi? Acheni ujinga nyie.
 
Lema kasema asilimia 70 ya waliopo kwenye mkutano hawajala mchana? 😀😀, halafu hao hao ndo walienda KIA kwa gharama zao kumpokea.
Yaani bodaboda aweze kuweka mafuta kwenda KIA na kurudi akose 3000 ya kula..
 
Lema kasema asilimia 70 ya waliopo kwenye mkutano hawajala mchana? 😀😀, halafu hao hao ndo walienda KIA kwa gharama zao kumpokea.
Yaani bodaboda aweze kuweka mafuta kwenda KIA na kurudi akose 3000 ya kula..
Sasa mtu kama huyo ana akili timamu? Anaongea uongo Kwa maslahi ya nani? Ehee yeye akatoa suluhisho lipi?

Hao hao kina Lema na Chadema ndio husema serikali Ina msululu.mkubwa wa misafara ila wao mbona ni hivyo hivyo kwenye misafara Yao?

Mbona hizo pesa hawatumii kujenga ofisi au kusaidia jamii kama social responsibility?
 
Hivi kuna maana gani kwa mhitimu wa chuo kikuu kurudi mtaani na kuwa bodaboda!
Kuwa mshabiki wa Chadema isikufanye ujitoe akili hao hao bodaboda anaowalaani wapo ambao wanalisha familia zao kupitia hiyo hiyo bodaboda
 
Huwa natamani sana kupata nafasi ya kumsaidia kijana mwenzangu. Ambaye ni wazi uelewa wake ni mdogo sana. Na ukosefu wa Elimu inaweza kuwa sababu.

Ukikaa ukamsikiliza Tundu Lissu unaona ana madini. Au Mnyika unamwona ana madini. But Lema....😂 Anaongea kwa hisia tu hana fact. Anabwabwaja tu kinachomjia.

Mbaya zaidi yeye anaamini ana akili. Yaani hapo ndo unachoka. Ni kama tu Joseph Mbillinyi naye uwezo wake mdogo katika kuongea. Huwa hana madini kichwani.

Mjaribu kumsaidia kuwa wakati mwingine ukinyamaza unaweza onekana una akili. If you talk too much you expose your weakness easily.
Hili ni tatizo la kuamini Mungu aliumba wanaccm wenye akili na wanachadema wasio na akili! Watanzania hapo ndipo tunapoonekana watu wa hovyo kwa ubaguzi wa kijingajinga.
 
Ameropoka nini kama wewe si mkurupukaji?
 
Huwa natamani sana kupata nafasi ya kumsaidia kijana mwenzangu. Ambaye ni wazi uelewa wake ni mdogo sana. Na ukosefu wa Elimu inaweza kuwa sababu.

Ukikaa ukamsikiliza Tundu Lissu unaona ana madini. Au Mnyika unamwona ana madini. But Lema....😂 Anaongea kwa hisia tu hana fact. Anabwabwaja tu kinachomjia.

Mbaya zaidi yeye anaamini ana akili. Yaani hapo ndo unachoka. Ni kama tu Joseph Mbillinyi naye uwezo wake mdogo katika kuongea. Huwa hana madini kichwani.

Mjaribu kumsaidia kuwa wakati mwingine ukinyamaza unaweza onekana una akili. If you talk too much you expose your weakness easily.
Tulieni myolewe....hizo ni rasha rasha Mapokeo ya Nabii yameumiza moyo wako wa roho mbaya na ya kimaskini
 
Kuwa mshabiki wa Chadema isikufanye ujitoe akili hao hao bodaboda anaowalaani wapo ambao wanalisha familia zao kupitia hiyo hiyo bodaboda
- mwenzio kakuuliza je ni sahihi Mtu kuhitimu Degree,Masters na kuwa bodaboda?.
 
- mwenzio kakuuliza je ni sahihi Mtu kuhitimu Degree,Masters na kuwa bodaboda?.
Unataka afanye kazi gani? huwezi kuita kazi ya mtu ni laana wakati utoi solution yoyote mbona pia wapo bodaboda wanamaisha mazuri kufanikiwa sometimes ni bahati ya mtu na bidii haki ya kazi
 
Lema Yuko sahihi.

AJALI za barabarani zinaua vijana wengi nchini kuliko UGONJWA wowote.
Kwenye Uchaguzi wakiwapuuza mkaambukia kura 1.2 mil mnaishia kulalamika eti mmeibiwa kura!!

Hapo CCM inachekelea tu UPUMBAVU wenu. KENGE
 
Huwa natamani sana kupata nafasi ya kumsaidia kijana mwenzangu. Ambaye ni wazi uelewa wake ni mdogo sana. Na ukosefu wa Elimu inaweza kuwa sababu.

Ukikaa ukamsikiliza Tundu Lissu unaona ana madini. Au Mnyika unamwona ana madini. But Lema....😂 Anaongea kwa hisia tu hana fact. Anabwabwaja tu kinachomjia.

Mbaya zaidi yeye anaamini ana akili. Yaani hapo ndo unachoka. Ni kama tu Joseph Mbillinyi naye uwezo wake mdogo katika kuongea. Huwa hana madini kichwani.

Mjaribu kumsaidia kuwa wakati mwingine ukinyamaza unaweza onekana una akili. If you talk too much you expose your weakness easily.
Anatengeneza mazingira ya kukataliwa kwenye uchaguzi Mkuu!!! Baadaye utasikia tumeporwa uchaguzi kumbe hawakuupima UPUMBAVU wao. KENGE
 
Nadhani ni bora mngeliacha lipite hivi hivi..

Boda boda sio kaz, sio career is risky and waste of youth.
Kama ni hivyo why mnawatumia kisiasa kwenye maandamano na mikutano yenu?

Mnatumia laana kupata political mileage?
 
Back
Top Bottom