Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Suala la kulima sio suluhu ya kumaliza ukosefu wa ajira kwa wahitimu ni danadana tu hapa zinapigwa haya sio malengo angalia course outcome kwenye hizo prospectus za vyuo mbalimbali utaona sio kila course outcome yake kuandaa Wakulima tu hata sua university sio coz zote pale zinaandaa waitimu kuwa wakulima hapa serikali iache janja janja tufate coz outcome za wahitimu wetu kazi ya serikali kuakikisha ajira zipo kama awawezi wakae pembeni mbona ma v8 na viinua mgongo vya mamilion ya pesa yanalipwa kwa wabunge angali akuna kazi ya maana waifanyao na kigezo cha upatikanaji wao ni darasa la masela ukihitimu unakua na kigezo cha kugombea ubunge. Inauma kusomesha mtoto aje mtaani ajishughulishe na uokotaji wa makopo .kuna raha kufanya kitu ulichokipenda na ukakisomea serikali itoe ajira kwa wahitimu janja janja ya viproject vya zima moto atutaki
Mbinu zote zinatumika Kilimo, biashara,ufundi,viwanda na Ajira za kuahiriwa.
 
Ulitaka afanye nini ikiwa hawezi kutengeneza kazi?

Wewe ni mgeni na mfumo wa Elimu ya Tanzania na Dunia ya 3?

Wewe huku elewa alivyo maanisha, Lema ameiongelea hii kwenye upper Dimension!
Ni kwamba hii nchi niwtajiri sana tusikubali kuendesha mabodaboda na huku nchi yetu ni tajiri kuliko hata [emoji1190] Oman
Mawazo ya maendeleo yasiishie kuendesha bodaboda!
Nchi ina ibiwa mpaka inatia kichefuchefu na unaona sawa tu kwakuwa una bodaboda!
Change your thoughts, change your life!
Tafuta kitabu kilicho andikwa na HERIEL NAFTAEL KIDA kina itwa LAANA YA UMASKINI ndipo utakapo mwelewa vizuri Lema. That’s all!
 
Mtoa mada anaulewa finyu kiakili.je ikija tokea kila mtu apewe bodaboda itakuwaje? Jifunzeni technologia mtaishi carne hii ya science, shona nguo, zuia mitumba.lipa kodi.
 
Vijana wanafanya bodaboda baada ya kukosa njia mbadala za kujitafutia vipato,
USA,CAnada,South Afrika,Dubai Kuna bodaboda?hakuna,sababu ni kwamba kijana anapata ajira yenye staha,ya kufanya,na kipato Cha kukidhi maisha yake.
Zamani kabla ya bodaboda hazijaanza kulikuwa na asekdo,usafiri wa baiskeli.
Hizi ni njia za kujiaptia vipato kwa watu kwenye nchi zenye ufukara na umaskini uliokithiri.
Hivi kweli usomeshe mtoto umtayarishe awe bodaboda!!
Ulaana wake unaanzia hapo,kazi Haina akiba ya nssf,Haina bima,wakubwa wakiamua hata mjini unazuiwa usiingie,
Niambie mtoto gani wa mkubwa anafanya hiyo kazi.
Kazi Haina mkataba wa kazi,unaweza ukafukuzwa wakati wowote.
Ni kazi ya hovyo sana,acha kuwaza kimaskini,uchumi wako inabidi ukue,Ili uachane na hiyo kazi,ufanya kazi ya Uber,umiriki teksi kadhaa,na logistic company,
Nina jamaa yangu,tulipotoka chuo,2010,tukapata kazi,yeye baada ya muda,akazichanga pesa yake akanunua kakorola mkweche,akazama zake Arusha,akasema Bora akafanye kazi ya kubeba watalii,na wageni,2020,tulipokutana tayari ameishasajiri kampuni yake ya tours,anakodisha gari zake tatu,salon cars,na Noah,inabidi uwaze hivyo,na huyu ni engineer,akiwa Hana kazi anapiga kazi za ufundi.
Sasa wewe umeingia kwenye bodaboda,hukuwa na mbadala mwingine,na kwanini mbadala wako baada ya kupigika iwe bodaboda?kwanini hukuenda USA,,au mgodini,au viwandani,ukampiga pesa ndefu kwa kazi za kubeba boksi,sababu ni kwamba hizo fulsa hazipo,hata passport huna,mifumo sio rafiki kwako,hukopesheki,ulaana wa bodaboda unaanzia hapo,na si bodaboda,hata ajira zingine kama kutembeza Karanga,kuuza aiskrimu,kuuza mahindi ya kuchoma,zote ni laana tu,kipato chini ya milioni 1.5,ni umaskini tu
Unajichanganya sana unazungumzia boda boda za deliver na ofisi zenye kazi fulani.
Huku tanzania ni bodaboda kwa kupakiza
 
Nawashangaa hata Sekretarieti ya ccm wanatakiwa watumie hii kama. silaha ya Kisiasa, uzuri Kila Mkoa una Uongozi wa bodaboda,walaaniwe kabisa Hawa wapuuzi.
Hii propaganda imekushinda tafuta nyingine. Waambie Arusha waliosikia waitumie kama Bodaboda watawaelewa. Unaleta vitaarifa nusu bila kueleza urefu wake unajifanya unajua siasa? Waelekeze CCM Arusha waseme kwenye mikutano maana walikuwepo relini Jana uone kama itapokelewa na hao bodaboda.
 
Kulima ni kazi bwasheee.Jiulize kwa nini wewe sijakutuna?Ni kwa sababu umeongea vitu vya msingi tena vinavyojenga siyo vinavyodhalilisha utu wa mtu au uhai wa chama chochote.
Hujanituna ,sema hujanitukana.
Lema pia simlaumu wala sio dharau kayaona huko alikotoka.
Hao vijana wa boda ni tatizo hawana elimu wanarukia tu hizo pikipiki kesho wako MOI.
Moi kuna wajinga pale wana tenda ya kutengeneza magongo.
Kwahiyo unafikishwa pale mguu umeteguka dokta uchwara anasema ukakatwe mguu utaoza unapigwa antena kuna yule mtengeneza magongo yuko hapo nje anapima gongo lako futi ngapi.
Mpaka wanakuja ndugu zako we kilema wanapewa bili laki 3-6.
 
JF uwiiiiii [emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Great thinkers kweli[emoji35]
 
Wewe huku elewa alivyo maanisha, Lema ameiongelea hii kwenye upper Dimension!
Ni kwamba hii nchi niwtajiri sana tusikubali kuendesha mabodaboda na huku nchi yetu ni tajiri kuliko hata [emoji1190] Oman
Mawazo ya maendeleo yasiishie kuendesha bodaboda!
Nchi ina ibiwa mpaka inatia kichefuchefu na unaona sawa tu kwakuwa una bodaboda!
Change your thoughts, change your life!
Tafuta kitabu kilicho andikwa na HERIEL NAFTAEL KIDA kina itwa LAANA YA UMASKINI ndipo utakapo mwelewa vizuri Lema. That’s all!
Nani hajui Nchi ni tajiri? Na hiyo tajiri sama ameitoa wapi na kulinganisha na Nchi gani?

Pili alikuja na strategy au anaropoka tuu? Au strategy yenu ndio hiyo ya kusema tupeni Nchi miaka 5 tuu? Acheni upumbavu nq dharau nyie Chadema.

Mara kadhaa Huwa mnawaita Wananchi ni wajinga yet mnataka hao hao wajinga waandane Ili nyie muingie madarakani si.ndio?

Kila siku Huwa nasema humu kwamba sijawahi sikia mkakati wowote wa Chadema Kutatua shida za Nchi ila wao wimbo wao ni Katiba na Serikali ya Majimbo na kulaumu,kuorodhesha matatizo ya Watzn bila suluhu huku wakibeza juhudi za serikali..
 
Hii propaganda imekushinda tafuta nyingine. Waambie Arusha waliosikia waitumie kama Bodaboda watawaelewa. Unaleta vitaarifa nusu bila kueleza urefu wake unajifanya unajua siasa? Waelekeze CCM Arusha waseme kwenye mikutano maana walikuwepo relini Jana uone kama itapokelewa na hao bodaboda.
Sio propaganda ndio ukweli huo mnadharau sana nyie wapuuzi
Screenshot_20230302-100716.jpg
 
Hello!

Naona Lema ameanza Kwa gia ya matusi Kwa wanaojiita bodaboda..

Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana..

Hivi hizi si ni dharau Kwa Vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia Kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?.

Nyie Wafuasi wa Chadema mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa Chadema ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kunyaland badala yake hakuna Cha maana anafanya, ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha Yako Juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba Misaada ya Chakula Hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk..

Ujinga kama huu wa Upinzani ulifanyika hata Malawi kawaulize wamalawi kama Kuna nafuu Wamepata,the likes ya Zambia..

Ukiwasikiliza Chadema Huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watzn kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza Chadema zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini..

Mwisho,ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza Chadema unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watzn bila suluhisho..

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.View attachment 2534398

Haya matusii mengine bwanaaa, kwahiyo walivyojipanga kumpokea, inamaana amepokelewa na walio laaniwaa?? Hivi anajua maaana ya Hilo neno laaana??
 
Lema Yuko sahihi.

AJALI za barabarani zinaua vijana wengi nchini kuliko UGONJWA wowote.
 
Sie tusio na vyombo vya usafiri itakuaje ikitokea Bodaboda hawatafanya shughuli yao.
Utapanda gari - taxi kwa kuwa utakuwa na uwezo wa kulipia. Hivi kupanda pikipiki na upepo na baridi na mvua unafikiri ni raha, ni shida. Ni kweli bodaboda zimesaidia lakini kama mtu anapata namna nyingine ya kupata kipato, boda boda unaiacha.
Halafu watu wanalaumu bila kufuatilia mtiririko na logic aliyojenga
 
Elimu vs kipaji
Hua havikai pamoja..................
 
Back
Top Bottom