Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Jaribuni kufikiria kidogo, kwanini Bongo Kuna bodaboda, Dubai, Marekani, Canada hakuna bodaboda? Kwanini kijana wa Tanzania, akose ajira ya maana viwandani,akimbilie bodaboda kama mbadala wa kusongesha maisha?
Kuna wakati ni heri kijana akaendesha bodaboda kwa kipato cha kawaida na risks nyingi kuliko kwenda pale Kiboko kuwa mfanyakazi wa kiwanda cha bomba(hollow sections) na nondo. Trust me!
 
Ww km unakataa sio laana ni maoni yako na lema katoa maoni yake katiba unawapa uruhu nyie wote kutoa maone na fikla zake
Aache kudharau kazi za watu,Kwa nini hakukodisha magari badala yake akakofisha bodaboda?
 
Najiulizaga Hawa bodaboda wakifika miaka 45 na kuendelea itakuwaje?🏃🏃
 
Godbless Lema wa Chadema....



Kwamba Bodaboda ni Kazi ya Laana!

Sawa Tumekusikia! Ebu tuambie kama umeona hao ni laana!

Ina maana kwamba hata Abiria wao nao ni Laana kubwa zaidi. Maana wao ndio wanaowawezesha hao Bodaboda kuweza kujiendesha kutokana na malipo wanayowalipa.

Na ikumbukwe kwamba Wananchi wengi wa kipato cha kati na cha chini ndio wanaonufaika na huduma hii ya Bodaboda nchini Tanzania.

Na pia ikumbukwe kwamba kwa hapa nchini Tanzania.

Hilo tabaka pia ndio ambalo linashiriki siasa katika kiwango cha upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali.

Je, Lema unamaanisha hata wapiga kura wa nchi hii nao wamelaaniwa?

Pia tuambie ....kama Bodaboda ni laana nchi hii.Inakuwaje mkwawatumia kwenye shughuli zenu zote za kisiasa nchini.

Je, mnaitumia laana ili kupata Political mileage toka kwao?

#Lema na #Chadema njooni hapa mtutajie nchi ya Afrika ambako hakuna Bodaboda!

Na mnapowaita Bodaboda laana,ni kazi ipi mmewaandalia ambayo ni mbadala wa hiyo laana!

Msiishie kuchonganisha Wananchi huku mkiwa hamna lolote la mbadala vichwani.

Mfano mzuri ni hapo #Kenya kwa Rutto, aliwaahidi Paradiso kwa kujiita "Hustler" .....

Nenda leo Kenya au angalia media zao na uone kinachojiri huko...

Nabii fake wa siku za mwisho 😁😁
 
Lema amegundua tatizo kuwa ni mindset zetu.

Hongera sana Kamanda.
 
Lema kwa kuwa yeye amelipwa pesa za bure basi anataka kila mtu iwe hivyo. Bodaboda ni kazi nzuri
 
Godbless Lema wa Chadema....



Kwamba Bodaboda ni Kazi ya Laana!

Sawa Tumekusikia! Ebu tuambie kama umeona hao ni laana!

Ina maana kwamba hata Abiria wao nao ni Laana kubwa zaidi. Maana wao ndio wanaowawezesha hao Bodaboda kuweza kujiendesha kutokana na malipo wanayowalipa.

Na ikumbukwe kwamba Wananchi wengi wa kipato cha kati na cha chini ndio wanaonufaika na huduma hii ya Bodaboda nchini Tanzania.

Na pia ikumbukwe kwamba kwa hapa nchini Tanzania.

Hilo tabaka pia ndio ambalo linashiriki siasa katika kiwango cha upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali.

Je, Lema unamaanisha hata wapiga kura wa nchi hii nao wamelaaniwa?

Pia tuambie ....kama Bodaboda ni laana nchi hii.Inakuwaje mkwawatumia kwenye shughuli zenu zote za kisiasa nchini.

Je, mnaitumia laana ili kupata Political mileage toka kwao?

#Lema na #Chadema njooni hapa mtutajie nchi ya Afrika ambako hakuna Bodaboda!

Na mnapowaita Bodaboda laana,ni kazi ipi mmewaandalia ambayo ni mbadala wa hiyo laana!

Msiishie kuchonganisha Wananchi huku mkiwa hamna lolote la mbadala vichwani.

Mfano mzuri ni hapo #Kenya kwa Rutto, aliwaahidi Paradiso kwa kujiita "Hustler" .....

Nenda leo Kenya au angalia media zao na uone kinachojiri huko...

Umaskini ni LAANA.

Bt Maskini kama boda, matching guys nk Si LAANA maana wao wanapitia hapo kupanda juu kujikwamua kimaisha.

LAANA ni kuamini kuwa BODA ni AJIRA ya kudumu Kwa vijana kuepuka UNEMPLOYMENT problem.

Lema Yuko sawa kabisa.
 
Jaribuni kufikiria kidogo, kwanini Bongo Kuna bodaboda, Dubai, Marekani, Canada hakuna bodaboda? Kwanini kijana wa Tanzania, akose ajira ya maana viwandani,akimbilie bodaboda kama mbadala wa kusongesha maisha?

Ni ufukara tu na umaskini wa nchi yetu.

Ulaana wake upo hapo,waendesha boda hawana laaana,kazi yao jinsi isivyo na Mapato na staha za kuleta maisha Bora,ndio laaana hiyo, tunaamua kufanya kazi za hovyo Ili mkono uende kinywani. Hii haikupangwa na Mungu, ni mipango duni ya CCM kwa miaka 60!

Vijana wa Zenj, na wamasai wanakuwa ma beachboy wanatumika kama sex toys kwa wazungu,kwa vile wanapata vipato tuipambe hiyo kazi kama kazi ya maana? Ni laaana tupu.
Umemaliza mkuu..sina haja ya kuwajibu hawa wajinga tena. Wanadhani waendesha bodaboda wanapenda hiyo kazi,hawapendi kufanya kazi viwandani wapate mishahara mikubwa, bima,afya, mikopo... Haya majinga ya ccm hayajui
 
Lema kwa kuwa yeye amelipwa pesa za bure basi anataka kila mtu iwe hivyo. Bodaboda ni kazi nzuri
Ni mtoto wa waziri, RC, DC au kiongozi gani wa umma anayefanya kazi ya kuendesha bodaboda??
 
- Hoja yake ni kwamba serikali imeshindwa kutengeneza mazingira ya kutoa ajira rasmi na za staha.
Kama anaona serikali imeshindwa kutengeneza mazingira wezeshi ya ajira staha yeye kama mwanasiasa na Moja ya kiongozi wa Chadema, chama chake pamoja na yeye Wana Maoni gani au sera zipi zitakazotengeneza hizo kazi za staha si tu unabeza kazi za watu na mwisho utoi solution wewe utakuwa una tofauti gani na chama tawala?
 
Kama ni ujinga, huu ni ujinga uliopitiliza.
Watu wamefika kumpokea kwa Bodaboda, baada ya muda mfupi unaanza kuwaita wana laana.
Lema anatakiwa kuomba radhi haraka sana.
 
Back
Top Bottom