Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

"Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo" mbona hata wezi na makahaba wanaendesha familia zao, nao tuwapongeze!
Unaweza tuonyesha hao wezi na makahaba ambao wanalipa na Leseni?
Mtakutano na hili kwenye uchaguzi Wala msiwaze,wait
 
Unaweza tuonyesha hao wezi na makahaba ambao wanalipa na Leseni?
Mtakutano na hili kwenye uchaguzi Wala msiwaze,wait
Kulipa leseni hakukufanyi usiwe mwizi, wapo wafanyabiashara ambao wamewahi kukamatwa kwa ujambazi na baadhi ya nchi makahaba wa leseni japo ni kazi ya laana.
 
Laana watu Wanajenga wana maisha angetafuta namna nzuri ya kuongea aheshimu ajira za watu huyo kijana
Anajua laana ni Nini aende zake

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
watu tumejenga na tunawakula wake za watu na degree zao za udsm kiulaini kabisa. Hamna kazi nzuri kama ya bodaboda especially ikiwa yako. Mbususu nje nje
 
Hello!

Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana.

Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?

Nyie wafuasi wa CHADEMA mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?

Ujinga kama huu wa CHADEMA ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kenya badala yake hakuna cha maana anafanya; ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha yako juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba misaada ya chakula hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk.

Ujinga kama huu wa upinzani ulifanyika hata Malawi, kawaulize Wamalawi kama kuna nafuu wamepata, the likes ya Zambia.

Ukiwasikiliza CHADEMA huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watanzania kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.

Toka nimeanza kuwasikiliza CHADEMA zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya, maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini.

Mwisho, ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza CHADEMA unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watanzania bila suluhisho.

Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.

Laana ni ujambaz wa kutumia mitutu kuiba magari ambao Lema alifanya.
 
Kaongea ukweli sema wengi tunaona katukana bodaboda.
Hakuna utatuzi wa ajira na wasomi wameangukia kazi hiyo huku wakilalamika uoni ni laana.

Wimbi la ajari za pikipiki na matukio ya kufa kwa vijana wizi wa kuibiwa pikipiki uoni ni laana.

Wana ccm na serikali yao ijawai kuwazia utatuzi wa ajira na kushabikia hiyo kazi uoni ni laana.

Ukienda kituo cha polisi pikipiki ni nyingi uoni ni laana.

Bodaboda wamekuwa wakinyanyaswa mijini uoni ni laana.

Serikali aiwezi kumuheshimu bodaboda uoni ni laana
Lakini bila hao bodaboda kupewa 10000 na mafuta hiyo shughuli isingenoga kamwe
 
Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha juu sana tena akili yako ni matope unafikiri Lema hana akili kutamka hivyo??Leo wanaodanga ni wasomi tena wasomi kweli kweli unafikiri wanapenda kuwa hivyo?Hata boda si wote wamependa kuwa boda boda bali wamelazimika kutokana na huduma mbovu ya Serikali ya ccm.
pumbavu ni wewe,
na huyo lema hana akili kama wewe coconut head kabisa
 
Wewe huku elewa alivyo maanisha, Lema ameiongelea hii kwenye upper Dimension!
Ni kwamba hii nchi niwtajiri sana tusikubali kuendesha mabodaboda na huku nchi yetu ni tajiri kuliko hata [emoji1190] Oman
Mawazo ya maendeleo yasiishie kuendesha bodaboda!
Nchi ina ibiwa mpaka inatia kichefuchefu na unaona sawa tu kwakuwa una bodaboda!
Change your thoughts, change your life!
Tafuta kitabu kilicho andikwa na HERIEL NAFTAEL KIDA kina itwa LAANA YA UMASKINI ndipo utakapo mwelewa vizuri Lema. That’s all!
Sawa lema kuna mahali bodaboda anaingiza 40000 kwa siku .amenunua kiwanja amejenga .huta ukimpa hiyo ajira hawezi kukubali
 
Lema Yuko sahihi.

AJALI za barabarani zinaua vijana wengi nchini kuliko UGONJWA wowote.
Ajali ni nyingi ni kwa wale walevi mtu anaendeamsha boda boda huku ameshika bia mkononi na kubinua tairi za mbele kwa sifa unategemea nini
 
Sio vijijini hata mjini Zina umuhimu sana boda asidharau Kazi za watu Kwa kua zake haziwasaidii watu
Angejua bodaboda zimesaidia kupunguza wezi,wahuni na wakimbia majukumu mtaani asingesema
Leo graduate anajiajiri Kwa boda boda anapewa mkataba within a year ana yake na ndani ya miaka miwili anannua nyingine anampa mtu watu wanajenga Wanainuka kiuchumi Leo anaita laana
Kanikwaza mnooo,lema anaropoka sana anajifanya ana maoni kumbe msanii tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio ushangae sasa tanzania tuna watu wenye vituko halafu unakutu keshokutwa bodaboda huyo na bendera ya chaderma acha awatukane mpaka wakome
 
Ajali ni nyingi ni kwa wale walevi mtu anaendeamsha boda boda huku ameshika bia mkononi na kubinua tairi za mbele kwa sifa unategemea nini
No ni wengi wa boda, bodi ya boda ni mwili wake.

Mungu awaepushe boda na AJALI na awape KAZI zingine Ili kupata kipato.
 
Sio boda boda tu bali maisha ya kutumia pikipiki kama chombo chako cha usafiri kila siku ni risk na huwezi kifikisha miaka 50 ukiwa mzima Wa afya
 
Back
Top Bottom